Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Are you a Christian with the age of 25-30? Graduate? Do you wish to have family? Please lets talk for a serious relationship, PM me.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Awe umri wa miaka 19~28. Follow me PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Deleted! Deleted!
1 Reactions
0 Replies
867 Views
Mimi kijana mwenye miaka 30 nahitaji mpenzi ambaye kama akiqualify vigezo aje awe mke na mama wa watoto wangu. Awe musilamu awe angalau anashughuri yoyote inayomuingizia kipato Hata kama amezaa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta rafiki (jinsia yoyote) anayesoma au aliyesoma maswala ya journalism especially utangazaji wa TV/Redio. Kwa ambaye atakuwa tayari kwa hilo, please send me a message!
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Nataka friend wa kike wa kuchat nami facetime Ani PM facetime user ID yake kama ni email or number.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
I am looking for a woman who is going to be my wife. Age of 22-27 and should be independent. I'll consider mostly those from lake zone except kagera region. I am 29 yrs old. More details will be...
1 Reactions
0 Replies
769 Views
Habari zenu wapendwa, Natafuta mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 35-40 awe mkristo, najua mtaanza kushangaa umri lakini najua kabisa wapo hapa wanaume wenye umri huo na bado hawajaoa kwasababu...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 18~30 Johnkipepe@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kaka yangu anahitaji mke ambaye ni very simple, yaani asiwe mcharuko na mpenda starehe hasa pombe n.k umri wake ni 34years. Mwanamke yoyote ambaye yupo serious awasiliane naye kwa 0629141421...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini, Naitwa Innocent(Me),Natafuta rafiki/marafiki wa kubadilishana nae/o mawazo ya kimaisha;awe dereva au kondakta wa magari ya abiria yafanyayo safari ndani ya jiji la Dar es Salaam.Umri...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimeamua kujitosa kutafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo:_ a. elimu angalau kidato cha sita b.awe anatoka nchi za A/ mashariki c. awe anaishi USA au UK d. hanakazi au anakazi - sintojali e. awe...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana! Kama heading inavyojieleza hapo juu. Natafuta mwanamke ambaye ana utayari na maisha ya ndoa. Sifa za mwanamke nimtafutae ni kama zifuatazo:- 1. Awe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello wapendwa, Poleni na mihangaiko ya kila siku. Nimejitokeza humu kwa mara ya kwanza kabisa. Kifupi natafuta mwanamke ambaye badaye atakuja kuwa mke wangu seriously. Mimi na mwajiriwa na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Ninajitokeza kwenu kutafuta rafiki wa kike ambaye kwa baadae aje awe my wife to be.Niko Lindi umri miaka 26. Kabila ni Sukuma asiwe mwanachuo na ikiwezekana atokee au awe wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Awe na sifa zifuatazo, Elimu Chuo kikuu hata kama hajapata kazi, Mrefu wastani, sichagui kabila wala Dhehebu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Awe binti wa kiislam na asizidi umri wa miaka 27, aliyetayari aje PM kwa mawasiliano zaidi. Elimu yangu ya chuo kikuu, nafanya Kazi serikalini
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mwanamke mwenye maambukuzi ya UKIMWI karibu awe tayari kuishi maisha ya matumaini tuwasiliane kwa 0714560515 mimi nina miaka 48.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinajieleza,nina umri wa miaka 27,ni mwajiriwa serikalini, kwa umbile ni mrefu maji ya kunde,elimu yangu ni barchelor degree. Nahtaj binti wa kiislamu wa kufunga nae pingu za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu mwanamke mwenye elim ya dini ya kiislam anatafutwa
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom