Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari wana JF, Mimi ni kijana wa kitanzania niliyejitokeza kwenye jukwaa hili nikiamini kuwa upo uwezekano mkubwa wa kukutana na life partner katika jukwaa hili. Sababu kubwa iliyo nifanya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana above 30yrs, ninafanya kazi hapa hapa Dar, naishi maisha ya standard,yaani nina nyumba na nina gari, natafuta mchumba ambaye baadae baada ya...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Hi there, I am man from Tanzania, and I am 23years of age, 65kg and 178cm tall. By now am still a student attending my studies at a certain institute at Dar es salaam. I am a caring, truthful...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello, Najitokeza hapa kutafuta rafiki wa kike kwani naamini anapatikana popote pale.Napenda rafiki huyo awe mkristo mwenye kumjua Mungu, awe mkweli na mwenye malengo ya maisha. Asizidi miaka...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Sifa muhimu 1. Awe mweupe hata kama ni kwa mkorogo 2. Awe na kazi halali inayomwingizia kipato 3. Umri miaka 25- 45 4. Kama ameelimika kuanzia diploma mpaka PHD huyo atapewa kipaumbele Mimi nina...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Umri awe miaka 18-25 awe na hofu ya Mungu. Asiwe mwembamba Elimu yoyote Mimi mrefu mwembamba Nafanya kazi Elimu yangu form four but nina ujuzi Njoo pm Kama alikuhusu pita kimya usitoe kejeli
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I'm a man 33 yrs of age, currently working and living in Dar. I'm looking for a Christian female life mate, living or wiling to live in Dar, preferably employed of age ranging from 26-28. A...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwanaume mwenye miaka 28, nahitaji msichana kwa ajili ya kufunga ndoa. Umri kati ya 20-28, awe mcha Mungu. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane PM.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Dada zangu,kaka zangu na wadau wote wa Jf,naombeni mnisamehe,nimekuwa kihelehele kutafuta wachumba mitandaoni hasa kwa humu sasa nimejifunza. Naahdi kurudi shule tena,na kamwe sitapost thread...
2 Reactions
105 Replies
15K Views
Natafuta marafiki wa kuchat nao, sina vigezo, yeyote yule. Namba yangu ni 0624082051
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello, Najitokeza hapa kutafuta mwenza/ mchumba wa kike kwani naamini anapatikana popote pale. Napenda mwenza huyo awe dini yeyote mwenye kumjua Mungu, awe mkweli na mwenye melango ya maisha...
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Hi JamiiForum, Mimi ni kjana natafuta au rafiki wa kike wa kuchat nae. Umri miaka 18-26. Kwa aliye tayari ani pm.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sifa za huyo mwanamke awe anapatikana Dar es salaam, awe mkristo na mcha Mungu, miaka kuanzia 23-26.awe ni mtu wa kujishughulisaha either amehajiriwa au amejiajiri. Imani yangu ni kwamba yupo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 22 natafuta mpenzi mwenye sifa zifuatazo. 1:Jina lake liwe linaanzia na herufi A,hapa kuna akina Asha,Angel,Amina,Anna,Asma,Aneth na wengineo(hii...
0 Reactions
98 Replies
8K Views
Mimi ni msichana Nna miaka 25,mkristo(RC),mchagga Nimeajiriwa Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde) Makazi yangu ni dar Elimu-BA Nna mtoto mmoja Sifa: Awe na umri kati ya 29-35 Awe mkristo Awe...
3 Reactions
87 Replies
12K Views
Si mara yangu ya kwanza wala ya pili kujitokeza katika jukwaa hili, sijafanikiwa bado natafuta.. Natafuta msichana anayejitambua, awe matured! awe mkweli mcha Mungu wa kweli, awe at least form...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Lookin for friends to chat with .. A girl i prefer .. Am a boy 26yrs of age ... I wana kick my boredom away ... Have a blessed day
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni ukwel na sio uongo wana jf.Mimi nina miaka 26 mwanaume kamili..natafuta binti wa miaka 20~28.lakini tuanze kama marafiki kwa mda kadhaa ili tuweze kuzoeana kwa kila hali... pm inahusika
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Wana JF, Natafuta msichana mkristu ambae atakuwa mchumba au mke wangu baadae,awe na shughuli ya kufanya,awe na elimu kuanzia darasa la saba,akiwa mwalimu ni poa zaidi mimi. Wasifu wangu...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Ni mara yangu ya kwanza kutafuta mrembo aliyetayari kuolewa. Vigezo; Asiwe mfanyakazi sehemu yeyote Maji ya kunde rangi yake Mwembamba wastani Asiwe na mtoto Anayetokea mikoa ya kanda ya Pwani...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom