Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.
Mwanaume ninaemuhitaji...
Mwanaume mwenye uhitaji wa kuwa na mke naomba aje private tuzungumze ili tujenge maisha, mimi ni mwajiriwa serikalini sector ya afya, umri 28 karibu sana, kama hauko na malengo ya mke usjisumbue...
Natafuta mke atakaekubaliana na hali yangu nina shida ya nguvu za kiume na uume mdogo, umri wangu miaka 48.
Mwenye kujali tuwasiliane kwa email hii mbilimbi4@gmail.com au PM
I am a christian young man in my late twenties. I am looking for a girlfriend with future aims in life if everything goes well with us.
Minimum education: diploma
Age: at least 24 and no more...
Mimi ni kijana wa miaka 25, sina kazi wala sina kibarua, elimu yangu ni degree ni mwalimu wa arts ila serikali imekataa kuniajiri ni mfupi kupitiliza na mweusi tena mweusi kweli kweli. Nahitaji...
Hello JF,
Mimi ni kijana wa miaka 31, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiriwa na kampuni moja hapa jijini Dsm.
Ni mrefu wa wastani, mnene wa wastani, rangi maji ya kunde na mkristo. Natafuta...
nipo single natafuta wa kuanzia nae tarehe 14.2.2013 mpaka milele
awe mwanaume mkristo kuanzia miaka 38 na kuendelea kama yupo tayari anipm msg zote zitajibiwa
Hi wana jamii,
Mimi ni kijana niliyejiajiri, elimu yangu chuo kikuu, mkristo, umri wangu miaka 27. Natafuta rafiki wa kike aliye Moshi/Arusha umri 18 - 24, dini yeyote, ila awe mchangamfu. Awe...
Natafuta mchumba mstaarabu na anayaejielewa ambaye baadae baaada ya kufahamiana na kujuana tabia na misimamo tukiridhiana tuoane.
Vigezo ni tabia njema, sichagui umri wala kabila wala dini, mimi...
Wadau nashindwa Kupata Jawabu Kama Mapenzi NI Hisia Za Mtu Binafsi Kwanini Vijana Wakianzisha Mahusiano Na Wanawake wakubwa Inakuwa Gumzo?:rolleyes::mad::mad:
Lakini Vibabu Inakuwa Kawaida Tyuu...
Hi wakuu,
Nimejisikia mzigo moyoni kuwashirikisha wale wote ambao tunatafuta wenzi wetu wa maisha ni vema tukashiriki katika semina ya MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE ya KUPANDA NA KUVUNA
Tarehe...
Wadau
Nahitaji mchumba wa kike aliyetayari kuishi maisha ya ndoa mida mfupi baada ya kujuana (angalau miezi miwili ya kujuana). kikubwa awe na maadili ya kiislamu, umri angalau isizidi miaka 24...
Habari zenu Wana jf,
Natafuta marafiki( male and female) wa kushare nao ideas za kimaisha especially mambo ya kimaendeleo,
Mm ni msichana (25yrs)
Elimu yangu bachelor degree
Mjasiriamali
Naamin...
Wanabodi kheri ya mwaka Mpya 2017!!!!! Napenda kuwatangazia kuwa mwaka huu mungu akinijalia nitatoka katika maisha ya useja na kuanza maisha ya ndoa ila Sina mchumba hivyo naleta tangazo langu...
Habari zenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, niko chuo kikuu kimojawapo hapa Tanzania, natafuta msichana ambaye yuko serious tukajuana kiundani ikiwezekana hadi kucheck afya then tukawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.