Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya...
Hello,
I'm looking for a woman who isn't all about games and at-least has something going for herself. Someone who is respectful, has morals and values, someone that just basically is...
Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na...
Ni matumaini yangu kila mtu yuko poa.
Baada ya kukaa nikatafakari sana nimeona maisha ndo haya haya, wakati ndo huu. Hakuna sababu ya kusubiri sana.
Mimi ni kijana miaka 27.
Nina shahada ya...
Habarini zenu wana JF,
Kwa jina naitwa Langston, nimejitokeza hapa kwa lengo moja tu kubwa la kutafuta ubavu wangu, mi ni mwajiriwa naishi Dar maeneo ya Tabata, umri wangu ni 24 ni mweusi na...
Heri ya mwaka mpya ndg zangu.!Mimi naitaji rafiki au marafiki wa kushare ideas tofauti za kimaisha.for nina elimu ya chuo kikuu na pia ni muajiriwa ktk taasisi ya kifedha (bank).napenda kuwa na...
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 nahitaji mwanaume wa kuishi nae mimi, nipo serious, maelezo zaidi ni pm tuzungumze kuhusu dini, na kazi na ninapoishi, kejeli pembeni.
Sifa zangu:
RANGI=>maji ya kunde
MIAKA=>21Years
KAZI=>Miner
DINI=>Musilm
Sifa za anaehitajika:
RANGI~Awe mweupe,maji ya kunde au softblack sio darkblack
MIAKA~25kurudi nyuma
KAZI~Awe mchakarikaji...
Hadi leo hii bado kutokana na sababu mbalimbali na mojawapo ni kutokuwa serious kwa baadhi ya wahusika, nina miaka 30 na ni vyema zaidi mtarajiwa aka chini ya hapo.
Aliyeko tayari karibu PM...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30,natafuta mpenzi/mchumba wa kuoa,umri kuanzia 18_27,mimi niko morogoro. Unaweza nitafuta moja kwa moja kupitia namba 0629160442. Karibuni akina dada wenye...
Habari,
Mimi ni kijana wa Kitanzania Government Servant, ninahitani mwanamke umri 23-30 HIV Negative, Superstitious Negative nikipata mnene mwenye mwili itakuwa safi, kwa aliyetayari.
Salaam wana jamii;
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na "threads" nyingi zenye MSG ... NATAFUTA MCHUMBA ama NATAFUTA MUME .......
Shida yangu si hilo hitaji bali TERMS and CONDITIONS...
Iam looking for a female friend who have a positive attitude, courage and self determination. should not exceed 30 years with any belief (christian or muslim). anybody who is ready can send a...
Heri ya mwaka mpya wana JF,
Leo nimekuja hapa natafuta mchumba/mke wa kuoa na tujenge familia mimi nina miaka 30 ninaishi Moshi Kilimanjaro, naomba ambaye yuko tiyari anicheck pm au kwa namba...
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 20-25, awe na shughuli halali inayomwingizia kipato.
Aliye tayari tuwasiliane pm
Wakuu Natafuta mke
Umri awe na miaka 25 kuendelea.
Elimu diploma na kuendelea.
Umri miaka 38.
Nimeajiliwa serikalini.
Wewe dada unayejiona unaweza kuisha na mwanauame kwa upendo na...
Seriously kwa aliye tayari ani pm.
Natafuta mchumba, sifa ni kama zifuatazo;
. Awe binti asiyezidi miaka 28
. Mrefu kiasi
. Mwembamba si lazima sana ili hata akija nenepa asiwe tinginya
. Elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.