Natafuta girlfriend

Natafuta girlfriend

Solo1992

New Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1
Reaction score
0
Habari zenu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, niko chuo kikuu kimojawapo hapa Tanzania, natafuta msichana ambaye yuko serious tukajuana kiundani ikiwezekana hadi kucheck afya then tukawa wapenzi.

Msichana awe na sifa zifuatazo, awe mkristo(Lutheran), awe na umri kuanzia 18-25, awe anaishi Dar es Salaam na awe na elimu kuanzia kidato cha 4 na kuendelea, aliyetayari plz nitext inbox.

Angalizo; Kama hautakuwa na cha ku-comment basi ni bora upite tu coz
niko serious.
 
25``, mbona bado mdogo, kwann usikaze tu kwenye masomo. mapenzi ni maumivu, utajitia tu stress za bure.
NOTE, sitegemei mapovu ni ushauri wa bure tu.
 
Mbona umetoa masharti magumu ya mpaka awe anasali kanisani kwenu kwani huko kanisani huja waona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom