KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,290
Wadau nashindwa Kupata Jawabu Kama Mapenzi NI Hisia Za Mtu Binafsi Kwanini Vijana Wakianzisha Mahusiano Na Wanawake wakubwa Inakuwa Gumzo?
Lakini Vibabu Inakuwa Kawaida Tyuu Wala hawashangai akina MZee Majuto Wanaoa Makinda Tyuu, Inaonekana Sio Tatizo Lakini Kijana Ukitangaza Nia Kwa Watu Wazima Weeeee?Watu Watajua Tayari Unataka Kulelewa.
Hivi Nikweli Kijana Hawezi Kumpenda Mwanamke Mtu Mzima?
Nadhani Kama Jambo Hili Likiwa NI Kinyume Basi Inabidi Tuanze Kusema Mapenzi Ni Umri Sasa!
Na Mapenzi Ni Upofu Tuitoe Sasa Na Ndege Hutua Mti Aupendao Tuipinge Sasa
Eti Wengine Hili Mnalionajeee
Lakini Vibabu Inakuwa Kawaida Tyuu Wala hawashangai akina MZee Majuto Wanaoa Makinda Tyuu, Inaonekana Sio Tatizo Lakini Kijana Ukitangaza Nia Kwa Watu Wazima Weeeee?Watu Watajua Tayari Unataka Kulelewa.
Hivi Nikweli Kijana Hawezi Kumpenda Mwanamke Mtu Mzima?
Nadhani Kama Jambo Hili Likiwa NI Kinyume Basi Inabidi Tuanze Kusema Mapenzi Ni Umri Sasa!
Na Mapenzi Ni Upofu Tuitoe Sasa Na Ndege Hutua Mti Aupendao Tuipinge Sasa
Eti Wengine Hili Mnalionajeee