Natafuta mchumba tukielewana awe mke baadae

tpmazembe

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
2,469
581
Natafuta mchumba mstaarabu na anayaejielewa ambaye baadae baaada ya kufahamiana na kujuana tabia na misimamo tukiridhiana tuoane.

Vigezo ni tabia njema, sichagui umri wala kabila wala dini, mimi niko miaka ya 30 naenda 40, hivyo kwanzia miaka 20 mpaka 40 haina tatizo.

Anayehitaji ani pm au comment tuwasiliane.
 
Natafuta mchumba mstaharabu na anayaejielewa ambaye baadae baaada ya kufahamiana na kujuana tabia na misimamo tukiridhiana tuowane. vigezo ni tabia njema, sichagui umri wala kabila wala dini.mimi niko miaka ya 30 naenda 40,hivyo kwanzia miaka 20 mpaka 40 haina tatizo.

anayehitaji ani pm au comment tuwasiliane
Ni pm tuelewane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom