Hongera sana sana mh. Lukuvi njoo na Kinondoni,wananchi wana muda mrefu sana wanafutilia hati zao kila ukienda njoo kesho njoo kesho utafikiri kiwanja mmenunua shea na hao wafanya kazi.
Mh...
Zanzibar imejitangaza na kuaminiwa na jumuiya ya kimataifa kwamba imefanikiwa kumaliza malaria, imejiweka katika nafasi ya kupigiwa mfano katika mapambano dhidi ya ugonjwa huu hatari kabisa...
Katika taarifa ya habari ya saa 2 usiku ITV kwa mara nyingine tena serikali imewasamehe wakwepa kodi wa makontena bandarini kwa kuwapa muda wakalipe kodi walizokwepa. Kwa mfumo huu watu hawataacha...
Nitoe angalizo kwa huyu bwana mdogo kuanza mazingaumbwe ya kumchafua zitto kabwe kwa mawazo ya kummaliza kisiasa nimpe pole ameumia
Pili nia yake ya kuutaka uongozi wa PAC ni sawa na maji maji...
Wakuu
Nape Moses Nnauye
Si jina geni hasa kwa siasa za Tanzania kwanzia mwaka 2009 mpaka sasa hapa napoandika andiko hili
Sote humu tunatambua nafasi ama wazifa alonao katika chama chake cha...
Kwa mbali nakiona kiburi cha wanasiasa kutaka kutumia kete ya mradi huu kuzidi kujijenga kisiasa. Naamini wataalamu walishafanya tafiti zao na kutoa mapendekezo ya namna bora ya kuuendesha mradi...
ni kuhusu hali ya kipindupindu
hints
watu zaidi ya 12000 waugua
>maambukizi yapungua kwa desemba
>wagonjwa wapya 76
>wagonjwa waliopo 115
>ushauri watolewa
source...
Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amepewa siku 14 kufuta kauli yake na kuomba radhi kwa kumhusisha rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein na makosa ya...
Nimeamka asubuhi natoka kuelekea kazini. Nimefika kituoni nikakuta daladala imesimama inapakia abiria huku ikiwa tayari imejaa, nikaitwa nipande nikakumbuka AMRI ya serikali kwamba ni marufuku...
wakuu watu wa kusini Mbeya,Iringa Ruvuma na Lindi na sisi ni wakati wetu wa kutoa katibu mkuu wa CHADEMA tusikubali kama hatoki kusin basi atoke Lake Zone
Taarifa
Akitoka kaskazini basi...
Wana Jf, nimekuwa nikjiuliza sana swali hili na kwa kweli kila nikipata jibu naona linanichanganya zaidi, natafuta lingine, bado linanichanganya kuliko la kwanza!
Sasa hivi sehemu kubwa ya jamii...
Tumeshuhudia wizara nyeti kama wizara ya elimu na fedha zikishikiliwa na mburula wakati wa awamu ya 4 tofauti na awamu ya 3 na ya 5..
Nini siri ya JK kuamua kuweka hao mburula wake hali akijua...
Dr. KIngwangalla, nakupa pongezi kwa spidi uliyoanza nayo kazi kama Naibu Waziri, lakini ningependa kukuuliza swali ndogo kama reality check.
Juzi hapa panapo saa 1:32 asubuhi ulifunga geti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.