Swali: Nape ataweza kutenganisha propaganda na utendaji?

Mzee Mchopu

JF-Expert Member
Sep 24, 2014
1,031
268
Wakuu
Nape Moses Nnauye
Si jina geni hasa kwa siasa za Tanzania kwanzia mwaka 2009 mpaka sasa hapa napoandika andiko hili

Sote humu tunatambua nafasi ama wazifa alonao katika chama chake cha Mapinduzi (ya dhulma na haki)

Nape ni Waziri ila vile vile ni Mwenezi na kama ilivyo mazoea yake yeye amekua akipenda sana kuwananga wapinzania wa CCM muda mwingi wa maisha yake

Na hata alivyokua katika kampeni jimbo la masasi mjini alitumia nafasi yake kama mr. Propaganda kuwashawishi wananchi wa masasi wasimchague Kundambanda kwani kwa kufanya hivyo watakua ni kama wanapoteza tu kwani ahadi za kundambanda zitaishia kwenye kampeni na hatozipeleka popote akasikilizwa
Akanikumbusha kule same Mgombea mwenza alisema wakichagua wapinzania hawatofunguliwa mlango wa IKULU

Niachane na Mwenza leo nipo na Mh Waziri Nape.
Akiwa bado huko kusini na PM alikua akitumia nafasi yake kama mwenezi kuwananga wapinzani sasa mi najiuliza hivi huyu nape Anamapenzi makubwa na wananchi au na Chama

Vipi ataweza kutumikia MABWANA wawili??
Mi rai yangu Nape ajitathmini kama bado Anafaa kuwa mwenezi wa chama

Au anafaa kuwa Waziri wa Michezo!

Na nnasema haya huko baadae asije kuyakoroga zaidi.
 
ondoa shaka mzee, nape hawezi kuyakoroga kwani ana shahada ya uzamili. ni msomi mzuri tu, ni jembe hilo. mantahof.
 
Kumchagua Nape na kumpa uwaziri ni kosa lingine kubwa alilolifanya Magufuli. Huyu mtu hana uwezo hata kidogo wa kutengenganisha hizo kqzi mbili. Na kwakuwa huwa anapenda sifa, atafanya mambo ya ajabu ajabu siku si nyingi.
Wakuu
Nape Moses Nnauye
Si jina geni hasa kwa siasa za Tanzania kwanzia mwaka 2009 mpaka sasa hapa napoandika andiko hili

Sote humu tunatambua nafasi ama wazifa alonao katika chama chake cha Mapinduzi (ya dhulma na haki)

Nape ni Waziri ila vile vile ni Mwenezi na kama ilivyo mazoea yake yeye amekua akipenda sana kuwananga wapinzania wa CCM muda mwingi wa maisha yake

Na hata alivyokua katika kampeni jimbo la masasi mjini alitumia nafasi yake kama mr. Propaganda kuwashawishi wananchi wa masasi wasimchague Kundambanda kwani kwa kufanya hivyo watakua ni kama wanapoteza tu kwani ahadi za kundambanda zitaishia kwenye kampeni na hatozipeleka popote akasikilizwa
Akanikumbusha kule same Mgombea mwenza alisema wakichagua wapinzania hawatofunguliwa mlango wa IKULU

Niachane na Mwenza leo nipo na Mh Waziri Nape.
Akiwa bado huko kusini na PM alikua akitumia nafasi yake kama mwenezi kuwananga wapinzani sasa mi najiuliza hivi huyu nape Anamapenzi makubwa na wananchi au na Chama

Vipi ataweza kutumikia MABWANA wawili??
Mi rai yangu Nape ajitathmini kama bado Anafaa kuwa mwenezi wa chama

Au anafaa kuwa Waziri wa Michezo!

Na nnasema haya huko baadae asije kuyakoroga zaidi.
 
Mkuu kwema?
Hivi ulitaka Nape aanze kumsifia Kundambanda hali ili ashinde hali ukijua wazi kua ule ni ushindani?

Mbona wabunge wanapewa majimbo na wizara ma wanaziongoza vyema,je nape kubaki na uenez ni tatzo sana katika wizara? Au huoni kama hawa nao ni mabwana wawil japo wanakubalika kisheria?

Ok unaongelea propaganda zipi za Nape,ni zile white,grey au black propaganda??
 
Mkuu kwema?
Hivi ulitaka Nape aanze kumsifia Kundambanda hali ili ashinde hali ukijua wazi kua ule ni ushindani?

Mbona wabunge wanapewa majimbo na wizara ma wanaziongoza vyema,je nape kubaki na uenez ni tatzo sana katika wizara? Au huoni kama hawa nao ni mabwana wawil japo wanakubalika kisheria?

Ok unaongelea propaganda zipi za Nape,ni zile white,grey au black propaganda??
Duh!
 
Wakuu
Nape Moses Nnauye
Si jina geni hasa kwa siasa za Tanzania kwanzia mwaka 2009 mpaka sasa hapa napoandika andiko hili

Sote humu tunatambua nafasi ama wazifa alonao katika chama chake cha Mapinduzi (ya dhulma na haki)

Nape ni Waziri ila vile vile ni Mwenezi na kama ilivyo mazoea yake yeye amekua akipenda sana kuwananga wapinzania wa CCM muda mwingi wa maisha yake

Na hata alivyokua katika kampeni jimbo la masasi mjini alitumia nafasi yake kama mr. Propaganda kuwashawishi wananchi wa masasi wasimchague Kundambanda kwani kwa kufanya hivyo watakua ni kama wanapoteza tu kwani ahadi za kundambanda zitaishia kwenye kampeni na hatozipeleka popote akasikilizwa
Akanikumbusha kule same Mgombea mwenza alisema wakichagua wapinzania hawatofunguliwa mlango wa IKULU

Niachane na Mwenza leo nipo na Mh Waziri Nape.
Akiwa bado huko kusini na PM alikua akitumia nafasi yake kama mwenezi kuwananga wapinzani sasa mi najiuliza hivi huyu nape Anamapenzi makubwa na wananchi au na Chama

Vipi ataweza kutumikia MABWANA wawili??
Mi rai yangu Nape ajitathmini kama bado Anafaa kuwa mwenezi wa chama

Au anafaa kuwa Waziri wa Michezo!

Na nnasema haya huko baadae asije kuyakoroga zaidi.

@Nape Nnauye ni kiongozi makini sana
 
Wakuu
Nape Moses Nnauye
Si jina geni hasa kwa siasa za Tanzania kwanzia mwaka 2009 mpaka sasa hapa napoandika andiko hili

Sote humu tunatambua nafasi ama wazifa alonao katika chama chake cha Mapinduzi (ya dhulma na haki)

Nape ni Waziri ila vile vile ni Mwenezi na kama ilivyo mazoea yake yeye amekua akipenda sana kuwananga wapinzania wa CCM muda mwingi wa maisha yake

Na hata alivyokua katika kampeni jimbo la masasi mjini alitumia nafasi yake kama mr. Propaganda kuwashawishi wananchi wa masasi wasimchague Kundambanda kwani kwa kufanya hivyo watakua ni kama wanapoteza tu kwani ahadi za kundambanda zitaishia kwenye kampeni na hatozipeleka popote akasikilizwa
Akanikumbusha kule same Mgombea mwenza alisema wakichagua wapinzania hawatofunguliwa mlango wa IKULU

Niachane na Mwenza leo nipo na Mh Waziri Nape.
Akiwa bado huko kusini na PM alikua akitumia nafasi yake kama mwenezi kuwananga wapinzani sasa mi najiuliza hivi huyu nape Anamapenzi makubwa na wananchi au na Chama

Vipi ataweza kutumikia MABWANA wawili??
Mi rai yangu Nape ajitathmini kama bado Anafaa kuwa mwenezi wa chama

Au anafaa kuwa Waziri wa Michezo!

Na nnasema haya huko baadae asije kuyakoroga zaidi.
Kwa nape kila kitu ni siasa hakuna jipya
 
Mkuu kwema?
Hivi ulitaka Nape aanze kumsifia Kundambanda hali ili ashinde hali ukijua wazi kua ule ni ushindani?

Mbona wabunge wanapewa majimbo na wizara ma wanaziongoza vyema,je nape kubaki na uenez ni tatzo sana katika wizara? Au huoni kama hawa nao ni mabwana wawil japo wanakubalika kisheria?

Ok unaongelea propaganda zipi za Nape,ni zile white,grey au black propaganda??
Hariri maandishi yako

Mkuu umeandika PUMBA
 
Ataweza akiacha kutumia ID zote alizonazo humu. Kila siku anashinda humu kuweka mabandiko yake ya kipropaganda. Ni sawa na kutenganisha ngozi na nyama. Si kazi ndogo hata kidogo
 
Ataweza akiacha kutumia ID zote alizonazo humu. Kila siku anashinda humu kuweka mabandiko yake ya kipropaganda. Ni sawa na kutenganisha ngozi na nyama. Si kazi ndogo hata kidogo
Kumbe ndo zake Naskia ndo anamtumaga @Lizaboni aandike ujinga humu ili abakie kuwa mkuu wa wilaya maarufu kwa kujikomba komba
 
@Nape Nnauye ni kiongozi makini sana
Bila haya na ww unathibitisha hili..
..!!!hatareee!!
Mkuu kwema?
Hivi ulitaka Nape aanze kumsifia Kundambanda hali ili ashinde hali ukijua wazi kua ule ni ushindani?

Mbona wabunge wanapewa majimbo na wizara ma wanaziongoza vyema,je nape kubaki na uenez ni tatzo sana katika wizara? Au huoni kama hawa nao ni mabwana wawil japo wanakubalika kisheria?

Ok unaongelea propaganda zipi za Nape,ni zile white,grey au black propaganda??
 
Yuko sawa ngoja afanye kazi ila kama Mzee wa kujinyea angepita Nnape asingekuwa waziri lakini ameingia msafi anaenda na team ya wasafi
 
Back
Top Bottom