Nani asiyemjua kada wa ccm wasra!
-JPM ameshindwa kumpatia ubunge mzee wetu wasira na kumpa uwaziri. hivi kweli ccm wamesahau ukindakindaki wa wasira
mimi nilikuwa naamini wasra ndiyo ccm na...
Nimepata taarifa kutoka kwa mmoja wa rafiki zangu aliyepo Dar es Salaam, ameniambia kwamba Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Leticia Nyerere, amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Tangu awali mbunge...
Wapo kwenye picha hizi hizi... na picha hazisemi uongo...
Wanaangalia, wamekaa kimya...
Wanafuatilia na wanajua majibu ya maswali yanayoulizwa
Wanasikiliza kwa makini lakini nyuso zao hazisemi...
Nilifanikiwa kuhama vzr tu, ikafikia kuhamisha mishahara wangu. Boss wangu wa zamani kuzuia nisihamishe mishahara nifanye nini.
Bosi mpya ashanipokea kazi nimeanza, nikiwa unafanyakaz na wakati...
Naye Mkurugenzi wa Ulcers Clinic Tabibu Rahabu
Rubago alieleza jinsi alivyosikitishwa na taarifa
za agizo la serikali linalowapiga marufuku
kujitangaza hali iliyomsababishia kulazwa
hospitalini...
KWANINI TANZANIA HAITAKI KUANZISHA MIRADI MIKUBWA
Ukiangalia miradi yote ya maendeleo ni midogo midogo ya zima moto karibia sect zote
1. Barabara: Toka uhuru serikali haijaweza kuwekeza...
Monday, December 28, 2015
Serikali Yasema Tamko Lake La Tiba Mbadala na Asilia Liko Palepale [/paste:font]
Serikali imesema kwamba tamko lake lilitolewa hivi karibuni kuhusu matangazo ya Tiba...
Kikao kilicho fanyika zanzibar hapo kisiwandui, kwa habari tulizo zipata ni kwamba hali ya wanaccm haikuwa nzuri, agenda ilikuwa hasa ni kufikishwa kwa ujumbe kutoka kwa Magufuli.
Katika kikao...
Mzee wa site masaa yote yuko kwenye miradi, kusema kweli huu ndo utendaji unaotufaa. Badala ya kushinda airport ni mara mia ukashinda site kwa kushtukiza, inalipaaaaaaa.
AJALI: Msafara wa Waziri wa Nishati na Madini Prof
Sospeter Muhongo umepata ajali baada ya magari mawili kuacha njia katika Kijiji cha Kagorogoro Wilaya ya Kyerwa
Mkoani Kagera.
Hata hivyo...
WanaJF,
Wakati Lowassa akiwa zizini anachunga Ng'ombe, huku Dar wale marafiki zake wa karibu wakati wa kampeni wameanza kujitenga nae na baadhi wameenda mbali zaidi na kusema HAWAJAWAHI kumuunga...
PAP ni mbadala wa Dowans.
Singh Sethi ni mbadala wa Rostam Aziz (wakala).
Wizi wa pesaya Tegeta Escrow account ni mbadala wa wizi wa pesa za EPA account.
Kamailivyokuwa mwaka 2005, mkakati wa...
Sead Kubenea amuombe radhi Makonda baada ya Mh Ridhiwan kukanusha habari na kutoa picha kwamba Makonda alimfunga kamba Ridhiwan ili apewe ukuu wa wilaya.
Ni jambo la kusikitisha kiongozi...
Katibu wa itikadi na uenezi wa Zanzibar akizungumza baada ya kikao cha kamati kuu amesema hata kama mazungumzo yatachukua miezi mitatu basu wanaccm wajipange kwa uchaguzi.
Mytake;
Maalifu Seif...
Mi nimeamua kuwaita maana inaonekana wamesahau kuja kutubomolea nyumba za huku kwetu. Sisi tunaishi bondeni tupo miaka mingi sana zaidi ya 20. ina maana serikali haikutuona? Na umeme ilituletea...
Anajiita kama siyo kujinasibu kuwa yeye ni msomi sana kwa kuwa ana master's degree ya Public Administration na kwamba ana mafanikio lukuki tu ya kimaisha.
Jana ktk press conference pale...
Ndio !!
Mwaka huu Mchezo wa Mwizi kumkimbiza mwizi watanzania tumeumaliza !!!
Watuhumiwa wote wa ufisadi wapelekwe Mahakamani tuamini wanauchukia ufisadi
Hongera Lowassa kupata zaidi ya...
Nimechunguza mijadala mingi.. inaonekana wengi wetu hatuna au hatujui mapato mbali yanayo tokana na serikali.. Laiti serikali ingeweka wazi naamini wadau wengi wengeweza kuchangia maoni yao namna...
Heri ya sikukuu wana jf nimshukuru dr magufuli kutambua uwezo wa ummy mwalimu waziri wa afya ambae ameonyesha uhai kwa muda mfupi bila kuogopa mtu amewahi kuwa nani nikiangalia kitendo cha kumpiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.