Mfuta matokeo na M'badilisha mshindi na kumtangaza, yupi anakubalika?

montroll

JF-Expert Member
Jul 31, 2011
319
126
Wana Jf, nimekuwa nikjiuliza sana swali hili na kwa kweli kila nikipata jibu naona linanichanganya zaidi, natafuta lingine, bado linanichanganya kuliko la kwanza!
Sasa hivi sehemu kubwa ya jamii ya waelewa na wenye fikra huru, wako" concerned" sana na kitendo alichofanya M/kiti wa ZEC Jecha, kufuta uchaguzi na matokeo yake halali kwasababu tu aliyeshinda hakutakiwa kushinda- kikundi cha watu wachache kikikataa kwa mabavu matakwa ya wananchi walio wengi. Huyo ni Jecha.

Kwa upande mwengine wenye fikra huru pia wanajua kwamba M/kiti wa NEC, Jaji Lubuva alimtangaza mshindwa kuwa mshindi- Lubuva nae amewakilisha kikundi cha wachache wenye mabavu kukataa matakwa ya walio wengi.

Tatizo langu ni hili: Je Jecha na Lubuva wote wamefanya makosa yanayo fanana ila kwa staili tofauti?, au bac yupi aliye tenda haki zaidi ya mwengine?. Kwann Jecha hakufanya exactly kama Lubuva au Lubuva hakufanya exactly kama Jecha?

Wajuvi na wachambuzi wa systems na democracia na wana Jf tuliangalie hili bila ushabiki wa kisiasa wala dini.

Tuliangalie kama GTs.
 
Wana Jf, nimekuwa nikjiuliza sana swali hili na kwa kweli kila nikipata jibu naona linanichanganya zaidi, natafuta lingine, bado linanichanganya kuliko la kwanza!
Sasa hivi sehemu kubwa ya jamii ya waelewa na wenye fikra huru, wako" concerned" sana na kitendo alichofanya M/kiti wa ZEC Jecha, kufuta uchaguzi na matokeo yake halali kwasababu tu aliyeshinda hakutakiwa kushinda- kikundi cha watu wachache kikikataa kwa mabavu matakwa ya wananchi walio wengi. Huyo ni Jecha.

Kwa upande mwengine wenye fikra huru pia wanajua kwamba M/kiti wa NEC, Jaji Lubuva alimtangaza mshindwa kuwa mshindi- Lubuva nae amewakilisha kikundi cha wachache wenye mabavu kukataa matakwa ya walio wengi.

Tatizo langu ni hili: Je Jecha na Lubuva wote wamefanya makosa yanayo fanana ila kwa staili tofauti?, au bac yupi aliye tenda haki zaidi ya mwengine?. Kwann Jecha hakufanya exactly kama Lubuva au Lubuva hakufanya exactly kama Jecha?

Wajuvi na wachambuzi wa systems na democracia na wana Jf tuliangalie hili bila ushabiki wa kisiasa wala dini.

Tuliangalie kama GTs.

Kwa asilimia kubwa ZEC ipo Independent kuliko NEC na ndiyo sababu hadi leo hakuna kitakachoamuliwa bila kuwa na ridhaa ya Wakurugenzi wa ZEC ambao kwa kiasi kikubwa wanatokana na vyama vyao.Hawa wanamisimamo ya kichama na Kitaifa.Zanzibar kwanza mengine baadaye.Na ndiyo sababu ilikuwa ngume kwa Jecha kuchakachua kura.

Niliingia kwenye ofisi zao za Tume kwa hakika hawa watu walijipanga vizuri,na ninauhakika come 2020,Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar itakuwa huru kwa asilimia 90 kama si 95.Wanavifaa vya kisasa zaidi.

Wapiga kura walioandikishwa ni lazima Sheha wa eneo athibitishe kumjua aliyeandikishwa,na kama hayupo basi jinalake linaondolewa kwenye dafatari kabla hajapewa kadi.

Utaratibu wao ni mzuri sana na ndiyo sababu kinachoongelewa kuwa kuna idadi ya kura zimezidi siyo kweli.Na ndiyo sababu inakuwa ngumu kulazimisha kurudiwa upigaji kura.Maana ni idadi ile ile ndiyo itakayopiga kura.Na possibility ya kushinda kwa CCM nayo ni 50-50.Kwa sasa hata wanCCM wameshaungana na CUF.

Kumbuka hawa wakiwa Zanzibar ni Zanzibar kwanza Muungano baadaye.

Tofauti na huku kwetu NEC inayumbishwa na kiti cha Rais,akizungusha kidole chake lazima Lubuva azunguke pia.Yaangalie matukio ya utangazaji wa kura za Ubunge Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa akikohoa tu Mkurugenzi hana sauti anatii amri.Kwa maana ingekuwa Tume huru Lubuva angekaripia utendaji wa Wakurugenzi kwa Maana kwamba wakati wa Uchaguzi ni Staff wa NEC na wanatakiwa kuwa Royal kwa NEC.

Bila kuifanyia marekebisho Tume ya Uchaguzi hata aje nani bado atakuwa Lubuva tu,asiye na sauti,a Rais akiyumba na yeye anayumba.RAis akikohoa lazima akimbie mbio kumsikiliza anasema nini.

Mfano Mzuri sijaona sababu ya kesi nyingi kupelekwa mahakamani ,kwanza malalamiko yangepelekwa NEC na kama NEC iko huru ingepangua Matokeo na kumpa ushindi yule aliyeshinda.Na baada ya hapo kama abdo mtu anahisi ameonewa basi aende mahakamani.Tunaona Wagombea Ubunge wasio na uwezo wanashindwa kutetea haki zao baada ya kukosa pesa za kuweka kama security,hapo Mahakama na sheria inaondoa haki za msingi za mtu wa kawaida kupata haki yake kwa sababu tu ya uwezo wake kifedha
 
Wana Jf, nimekuwa nikjiuliza sana swali hili na kwa kweli kila nikipata jibu naona linanichanganya zaidi, natafuta lingine, bado linanichanganya kuliko la kwanza!
Sasa hivi sehemu kubwa ya jamii ya waelewa na wenye fikra huru, wako" concerned" sana na kitendo alichofanya M/kiti wa ZEC Jecha, kufuta uchaguzi na matokeo yake halali kwasababu tu aliyeshinda hakutakiwa kushinda- kikundi cha watu wachache kikikataa kwa mabavu matakwa ya wananchi walio wengi. Huyo ni Jecha.

Kwa upande mwengine wenye fikra huru pia wanajua kwamba M/kiti wa NEC, Jaji Lubuva alimtangaza mshindwa kuwa mshindi- Lubuva nae amewakilisha kikundi cha wachache wenye mabavu kukataa matakwa ya walio wengi.

Tatizo langu ni hili: Je Jecha na Lubuva wote wamefanya makosa yanayo fanana ila kwa staili tofauti?, au bac yupi aliye tenda haki zaidi ya mwengine?. Kwann Jecha hakufanya exactly kama Lubuva au Lubuva hakufanya exactly kama Jecha?

Wajuvi na wachambuzi wa systems na democracia na wana Jf tuliangalie hili bila ushabiki wa kisiasa wala dini.

Tuliangalie kama GTs.
Kwani lazima upost kitu??Lubuva kakosea kumtangaza nani??Labda angemtangaza mamvi ndio angekuwa kakosea lakini kwa sasa yuko 100% right, huyo Jecha malizaneni nae
 
Kwani lazima upost kitu??Lubuva kakosea kumtangaza nani??Labda angemtangaza mamvi ndio angekuwa kakosea lakini kwa sasa yuko 100% right, huyo Jecha malizaneni nae

kwani wewe uko huru kifikra?-nadhani hii thread haikuhusu. maneno '100%','mamvi' na 'malizaneni nae' -hayawezi kutoka kwa mtu mwenye fikra huru na mtazamo chanya.
 
Back
Top Bottom