Walimu zaidi ya 5000 waingia mitini
Takwimu hiyo imetajwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) Angela Kairuki wakati akizungumza na watumishi wa umma wanawake katika...
Waungwana,
Kumekuwa na tabia ya watawala duniani kudiverge attention ya watawaliwa kutoka kwenye mijadala/matukio ya muhimu na yenye kuzua sintofahamu na kuelekeza macho na maskio yao kwenye...
Kuna kipindi chadema walikuwa wanakwenda vizuri sana kama Chama cha Upinzani, walikuwa wanaleta mambo mazuri na yenye akili, walikuwa wanajulikana wanasimamia nini lkn hizo zilikuwa ni enzi za...
WIKI YA SHERIA ..
"AIBU YETU" ANAANDIKA WAKILI MSOMI JUMA NASSOR
Wakili Juma Nassoro
AIBU YETU
sheria ya kuzuia ugaidi ilipitishwa na bunge mwaka 2002 na kusainiwa na Mhe. Rais Mkapa 2004...
Hotuba ya Rais Magufuli aliyoitoa jana katika sherehe za uzinduzi wa mwaka wa Mahakama (Siku ya Sheria) zilizofanyika katika uwanja wa Mahakama uliopo Mtaa wa Chimala kama vile imetoa dokezo la...
Central to the piece ni yale yale ambayo yaliyokuwa yanazangumzwa humu:
1. Incompetent Tanzania Investment Centre (TIC)
2. Nchi kutokuwa na coherent Industrialisation Strategy
3.Nchi kutokuwa na...
Serikali ya ccm yapigwa mwereka rasmi juu ya siasa za kihalifu za Zanzibar. Hatua hiyo imefuatiwa na uamuzi wa mahakama kuu katika kesi iliyofunguliwa na mwananchi wa kawaida akasimamiwa kituo cha...
Katika kile kinachooneka ni kujiweka kwenye fikra za watu, aliyekuwa spika wa bunge la Tanzania ndgu. Samwel Sitta ameibuka Rasmi na kutangaza waziwazi nia yake ya kugombea Urais wa Jamhuri ya...
CCM KWAVURUGIKA.
Wabunge wake waishukia
Kamati ya Ngwilizi
Waishutumu
`kuwakandamiza` wabunge wa
Chadema.
Kutajwa kwa wabunge wanne wa
Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) kuwa vinara...
MAJINA MENGINE YA WANAOHUSIKA NA DAWA ZA KULEVYA: Mwanamuziki Vanesaa Mdee, Tunda wa kwenye Video za wasanii mbalimbali, mfanyabiashara Haidary Kavira pamoja na askari 3 wameongezwa kwenye Orodha...
#Habari:Uongozi wa WILAYA ya Kigamboni umetangaza kuwavua nafasi za ukuu wa shule wakuu wa shule za Kidete na Somangila Day baada ya shule hizo kufanya vibaya zaidi katika matokeo ya kidato cha...
NAKUBALI UTENDAJI WA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI KWA ASILIMIA 99.9 KUWA UNAWEZA KUMALIZA RUSHWA,UFISADI NA KUPOROMOKA KWA MAADILI NCHINI.
Na
JUMA GEORGE CHIKAWE
MWALIMU alisema kiongozi...
HUMPHREY POLEPOLE:Salamu zangu
za Mwisho wa Wiki kwenu:
1. Nilipata fursa ya kuwapitisha wanachama 180 wa Jukwaa la Katiba katika Rasimu ya Katiba Toleo la Pili. Nikazungumza nao pia juu ya wajibu...
Waafrika tumekuwa tukidanganywa au labda niseme tumekuwa hatuilewi vizuri mifumo ya Kizungu matokeo yake tumekuwa tukiiga mambo ambayo kiuhalisia Wazungu wenyewe hawayafanyi!
Sasa hili na Uraisi...
Kama mlifatilia kwa makini jana, katika maswali ya papo kwa papo kwa waziri mkuu, licha ya Naibu spika Tulia Acson Mwansasu kuonyesha dhahiri kutokutaka serikali ijibu maswali kadhaa ya kiongozi...
FULL PRESS
Bellow are important quotes za Mkuu wa mikoa Yote Tanzania
'Furaha yetu si idadi ya watu wangapi tumewakamata kwa dawa za kulevya, furaha yetu ni DSM kutokuwa sehemu ya dawa za...
Mkuu Chipukizi ameweka kwenye thread nyingine link yenye habari muhimu na sensitive sana ambazo bado hazijadhibitishwa kuhusiana na biashara ya madawa ya kulevya hapa nchini, lakini naona kama...
Hivi ugumu wa vita dhidi ya madawa ya kulevya unatokana na nini ilhali watumiaji wapo wazi kabisa. Chid benz yupo anauziwa dawa, kila siku, TV na redio kibao zinahoji mateja alafu uzuri wake...
Mh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda anajitaidi kufanya kazi na kutafuta namna ya kukuza CV yake ya utawala ni jambo jema kabisa na anastahili kuungwa mkono katika ndoto zake za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.