Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

  • Redirect
Simon Nyakoro Sirro alizaliwa eneo la Kiabakari wilaya ya Butiama mkoani Mara mwaka 1963. Kuhusu elimu yake, Simon Sirro alisoma Shule ya Sekondari ya Ilboru jijini Arusha na Tosamaganga kabla ya...
11 Reactions
Replies
Views
Kila naposikiliza au kusoma chambuzi za baadhi ya watu mashuhuri, wanasiasa, wanasheria na baadhi ya wasomi wenye maono chanya katika nchi hii mapigo ya moyo yanaongeza kasi yakiashiria woga wa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Marehemu Mzee Ndesamburo kama almaarufu kama Ndesa Pesa, ni watu waliojiondoa CCM mara baada ya vyama vingi kuanza rasmi nchini Tanzania, huku akiwa muasisi na mwenyekii wa kwanza wa Chadema mkoa...
6 Reactions
79 Replies
6K Views
Katika hali isiyo ya kawaida Naibu kamanda wa vijana wilaya ya Newala na Ni Afisa elimu wilaya ya Ludewa Haji Mnasi anatajwa sana jimboni kwa Waziri ofisi ya rais utawala bora George mkuchika...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
SAKATA LA MADINI: JE, WATANZANIA TUKO TAYARI KUNYWA SIFONGO? Katika makala mbili zilizopita, nilimpa kongole Mhe. Rais kwa kutambua kwamba tunaibiwa katika uvunaji wa rasilimali madini. Hili ni...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Makala ya mwisho ya Hayati Dkt Philemon Ndesamburo aliyoiandika akimshauri Rais Magufuli kupunguza ukubwa wa serikali, kabla ya umauti kumfika kwenye gazeti la Rai, Tarehe 25 May, 2017...
19 Reactions
32 Replies
5K Views
Wadau, naomba mwenye uelewa anifafanulie baada ya mh.Rais kutengua uteuzi wa aliyekua waziri wa nishati na madini Prof. Muhongo, nimeona budget ya wizara ya nishati na madini inasomwa na waziri wa...
0 Reactions
6 Replies
906 Views
Kwa kipindi kifupi kilichopita bunge letu lilianza kurudi kwenye misingi ya kizalendo, ila tokea hii budget ya madini ianzwe kusomwa vijembe,majigambo,maneno ya kuudhi,kejeli zimerejea mahali...
14 Reactions
183 Replies
22K Views
  • Redirect
Walikuwemo ndani ya bunge wakati mikataba mibovu ya madini ilipopitishwa, na sauti zao za ndiyoooooo zilirekodiwa. Leo eti nao ni watu wa kwanza kumuunga mkono Rais kwa hatua anazozichukua dhidi...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Sheria ya madini walitunga wao na kuipitisha wa kwa wingi wao,Kodi wakachukua wao,Raha wakala wao. Shida na Hasara ni Taifa Leo hii Eti upinzani Wamehongwa kutetea.kweli Watanzania Hapa kazi tu
2 Reactions
Replies
Views
Ukifuatilia hoja ya wapinzani wengi katika issue ya mchanga Wa madini ni kuwa eti CCM haina haki yakujifanya inalinda Mali za nchi kwa kigezo kuwa wakati mikataba inapitishwa wabunge Wa CCM...
1 Reactions
10 Replies
840 Views
Takriban miaka mitatu iliyopita tulibahatika kuwa na kambi ya upinzani iliyosheheni watu wenye ueledi na uzalendo mkubwa. Laana ya kula 'matapishi' yao imewafanya watumwa na sasa wamegeuka kuwa...
13 Reactions
88 Replies
5K Views
  • Redirect
Kwa kweli sisi wazalendo na wana kindakindaki wa kuutetea mchanga wetu tunawapongeza kwa dhati kabisa wana CCM viongozi kwa kuonyesha kukerwa na kwa kweli wapo tayari kuupigania mchanga kwa jasho...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
hatua anazochukua kukomesha rushwa, uzembe, wizi, kunyoosha mifumo ya utendaji serikalini na kupanda upya mbegu ya uzalendo ni mambo ambayo mwalimu Nyerere aliyahubiri sana na kuyasimamia wakati...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Magufuri (JPM) tunaomba report ya Tume ya pili ''Makinikia''ulipokelee ikulu ndogo KAHAMA au GEITA Shikamoo. Salute commende in Chief Tunashukuru kwa taarifa ya tume ya kwanza ya Prof Mrumma...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Aende Kimberly RSA, akaone Maendeleo ya wanao zunguka mgodi wa alimasi. Kimberly ni mji Mdogo kuliko Geita na Mwadui, ingawa wao wanaibiwa lakini wana nafuu kumbwa sana kulinganisha na Watu wanao...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwajulisha kuwa Kongamano la uzinduzi wa kitabu "Sauti ya watetezi wa Haki Vyuoni" kilichoandikwa na kijana Alphonce Lusako, lililokua lifanyike leo katika Hotel ya...
0 Reactions
Replies
Views
Taarifa ya mwaka 2017 iliyotolewa na Reporters Without Borders(RST) kuhusu World Press Freedom Index inaonyesha Tanzania bado inaongoza katika uhuru wa vyombo vya habari ukilinganisha na nchi...
5 Reactions
86 Replies
7K Views
  • Redirect
Mwili wa Mzee Francis Maige Kanyasu alimaarufu kwa jina la Mzee Ngosha ambaye anayetajwa kuwa ni moja wa wachoraji wa nembo ya Taifa aliyefariki tarehe 30 mwezi wa 5 unatarajiwa kusafirishwa leo...
0 Reactions
Replies
Views
Mzee Francis Kanyasu aliyechora Nembo ya Taifa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa kwenye matibabu Muhimbili Hospital ====== Mzee Francis Kanyasu maarufu kama Ngosha alisikika kwa nguvu...
7 Reactions
225 Replies
36K Views
Back
Top Bottom