Kama nchi tunahitaji 'overhaul' ya kambi ya upinzani, wamegeuka maadui wa nchi

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Takriban miaka mitatu iliyopita tulibahatika kuwa na kambi ya upinzani iliyosheheni watu wenye ueledi na uzalendo mkubwa. Laana ya kula 'matapishi' yao imewafanya watumwa na sasa wamegeuka kuwa adui namba moja wa nchi yetu Tanzania. Dhambi ya kufunika midomo na gundi imewafanya kuwa kama mazuzu na sasa wameamua kumtumikia kafiri.

Ukiangalia sasa ni fujo, sijui nini kimewapata. Wapo radhi nchi iingie vitani kuliko wananchi kunufaika na rasilimali zake eti kisa sifa zitamwendea Rais. Hapa ndipo ninapopata mashaka, kuna msemo unasema 'ukizoea kupinga au kubisha kila kitu mwishowe akili yako inaingia sumu na kuanza kujipinga au kujikana mwenyewe', sasa ndipo tulipo, wapinzani wanajikana.

Ukiangalia leo, Lema,Tundu,Msigwa,Mnyika ambao walishawishi wanchi waandamane ili rasilimali zisitoke bila masilahi yao kuzingatiwa leo wanapiga debe rasilimali hizo zitoke tu huku wakiweka vitisho na kuungana na makaburu,bure kabisa. Nikikumbuka jinsi kambi ya upinzani ilivyojipatia sifa zama za gesi ya Mtwara kwa kuungana na wananchi lakini leo wanawakana wananchi nawaonea huruma.

Wito, lazima mjue wananchi wanawaona vituko mnavyofanya mwaka 2020 sio mbali na hawatawaacha, mtapigwa ngwara kali kisiasa itakayowaacha hoi. Endeleeni kutumika na mabepari huku wakiwalipia kupata fursa ya picha zenu kukaa ukurasa wa mbele wa magazeti.

Nawasilisha
 
Wito, lazima mjue wananchi wanawaona vituko mnavyofanya mwaka 2020 sio mbali na hawatawaacha, mtapigwa ngwara kali kisiasa itakayowaacha hoi. Endeleeni kutumika na mabepari huku wakiwalipia kupata fursa ya picha zenu kukaa ukurasa wa mbele wa magazeti.
Wananchi wataangalia kama urahisi wa kuweka chakula mezani upo, vinginevyo endeleeni kubuni njia za kuiba kura.
Wananchi vile vile wanaweza kukosa hamasa ya kupiga kura, kwani wanakuwa wameshajua matokeo ya kura yatakuwaje, kutokana na uzoefu wa kuibiwa kura na kutangaza walioshindwa kuwa ndio wameshinda. Na mbinu zote za wizi zinapoenda mrama, huwa mnafuta uchaguzi mzima.
 
Wewe ni zaidi ya mwendawazimu. Wapinzani ndio waliopitisha na kusaini mikataba ya kijambazi inayolitesa taifa leo? Kama huna la kuongea funga domo lako mjinga wewe.
Sasa hata kama wao hawakusaini, lakini walipinga sana kuibiwa, iweje Leo tunadai rasilimali zetu wao sasa wanasapoti makaburu kwa vigezo walivyovipinga wao?

Machadema are bunch of criminals.
 
We mtoa mada umekosa namna ya kutetea uamuzi wa kipuuzi unaanza kuneng'enekea upinzani. Ukweli utabaki ukweli. Suala la mashapo ya shaba kamati imechemka.

Sasa hivi mpo kwenye damage control na pia hamuwezi kuitekeleza vizuri. So ugulieni tu maana awamu hii hata kuitetea ni ngumu sana. Hamjamaliza la kutetea upuuzi wa bashite kawaangushia la mashapo.

Unadai upinzani uko tofauti na wananchi? Sikiliza na fuatilia maoni ya wengi utagundua kila walio timamu wanapinga kilichofanywa na rais na wanahoji taarifa ya tume. Hadi huku vijijini wameshtuka kuna shida. Haiwezekani mashapo yawe na dhahabu nyingi kuliko udongo madini wenyewe.
 
takriban miaka mitatu iliyopita tulibahatika kuwa na kambi ya upinzani iliyosheheni watu wenye ueledi na uzalendo mkubwa. Laana ya kula 'matapishi' yao imewafanya watumwa na sasa wamegeuka kuwa adui namba moja wa nchi yetu Tanzania. Dhambi ya kufunika midomo na gundi imewafanya kuwa kama mazuzu na sasa wameamua kumtumikia kafiri.

Ukiangalia sasa ni fujo, sijui nini kimewapata. Wapo radhi nchi iingie vitani kuliko wananchi kunufaika na rasilimali zake eti kisa sifa zitamwendea raisi. Hapa ndipo ninapopata mashaka, kuna msemo unasema 'ukizoea kupinga au kubisha kila kitu mwishowe akili yako inaingia sumu na kuanza kujipinga au kujikana mwenyewe', sasa ndipo tulipo, wapinzani wanajikana.

Ukiangalia leo, Lema,Tundu,Msigwa,Mnyika ambao walishawishi wanchi waandamane ili rasilimali zisitoke bila masilahi yao kuzingatiwa leo wanapiga debe rasilimali hizo zitoke tu huku wakiweka vitisho na kuungana na makaburu,bure kabisa. Nikikumbuka jinsi kambi ya upinzani ilivyojipatia sifa zama za gesi ya Mtwara kwa kuungana na wananchi lakini leo wanawakana wananchi nawaonea huruma.

Wito, lazima mjue wananchi wanawaona vituko mnavyofanya mwaka 2020 sio mbali na hawatawaacha, mtapigwa ngwara kali kisiasa itakayowaacha hoi. Endeleeni kutumika na mabepari huku wakiwalipia kupata fursa ya picha zenu kukaa ukurasa wa mbele wa magazeti.

Nawasilisha

Msitufanye watanzania wapumbavu,ifike mahali muwaheshimu watanzania na wakati mwingine mkubaliane ndani ya CCM kwamba nyie ni zaidi ya MAFISI,acheni upuuzi wa kuuza raslimali zetu halafu mnakuja kwa gia nyepesi ati mchanga,hivi mchanga unathamani kuliko dhahabu aliyouza mwenzawazimu amabye alikuwa Mining Director wa Kampuni ya majausi leo mmemuweka ati Naibu waziri wa Madini na Nishati na huyu ndiye mzalendo.Kama ni kick imegonga mwamba.Acheni wizi kuanzia juu mapka chini.

Kama kweli mnajinadi nyi ni wazalendo MIKATABA ya NDEGE iko wapi??

Haya na hawa mahawara wa wazungu ndiyo mnawaamini kuliko waliofanya utafiti na kuweka kila kitu ubaoni mwaka 2008?Hawa wawili walikuwa wapi enzi hizo??Na JPM alikuwa na wadhifa gani?

Kanuni za TANU zilisema Nitasema ukweli fitina kwangu mwiko.


Douglas Lake Minerals Board of Directors and Director of Exploration Appointments



Last update: 3:15 p.m. EDT Aug. 4, 2008



VANCOUVER, Aug 04, 2008 /PRNewswire-FirstCall via COMTEX/ -- Douglas Lake Minerals Inc. (OTC BB: DLKM./ Frankfurt: D6O.F) announced today the appointment of two senior Tanzanian officials to the Board of Directors. Mr. Gus Sangha and Dr. David Groves have stepped down from the Board and the Company thanks them for their valuable assistance during their tenure. Dr. Groves will remain with Douglas Lake as Director of Exploration.



1.Dr. Medard M.C. Kalemani, LLB, LLM, PhD, Mining Management - Director

Dr. Kalemani is the General Counsel to the Millennium Challenge Account Tanzania, Ministry of Finance, which is an autonomous government entity responsible for managing energy, transportation and water projects in Tanzania. He served as State Attorney of the Tanzanian Ministry of Energy and Minerals from 1999 to 2007, and from 1997 to 1998, he was a Legal Officer and Manager of the Tanzanian Branch of the International Rescue Committee, UNHCR. He was also legal consultant to UNDP Vienna in Tanzania and an independent consultant on a team that reviewed the Minerals Act of the Republic of South Africa. In 2002, Dr. Kalemani authored a thesis titled "Comparative Study of Mineral Laws" which compared laws between Tanzania, South Africa, Namibia and Botswana.



2.Prof. Abdulkarim Mruma, BSc, MSc, PhD, Geology - Director

Prof. Mruma is the Chief Executive Officer of the Geological Survey of Tanzania, Ministry of Energy and Minerals and since 2004, he is the Vice Chairman of the Association of Geological Survey of Africa. He was the Head of the Department of Geology at the University of Dar es Salaam from 1994 to 2004. Other positions he has held include: National Coordinator, International Geological Correlation Programs; External Examiner, Department of Geology of the University of Nairobi in Kenya and the University of Makerere in Uganda. He also has had extensive involvement as a board and steering committee member of numerous geological and environmental research projects and groups. Prof. Mruma has published over thirty international publications, mainly in the fields of structural geology, precambrian geology, stratigraphy and mineral deposits. He has consulted on and authored more than twenty technical reports in the fields of resource assessments and engineering geology. He is currently a member of the Geological Society of Africa and the Tanzania Geological Society. Prof. Mruma is also a Board Member of Williamson Diamonds Limited, Diamond Mine at Mwadui. The Williamson Diamond Mine is owned by De Beers and the Government of Tanzania.



Dr. David Groves, BSc, PhD, Geology - Director of Exploration

Dr. David Groves, BSc Honours and PhD, started his career working for the Geological Survey of Tasmania. In 1972, he joined the University of Western Australia where he progressed to full Professor by 1987, teaching undergraduate classes in field and structural geology and ore genesis/economic geology. From 1987 to 2005, Dr. Groves was Director of both the Centre for Strategic Mineral Deposits and Centre for Global Metallogeny. During his academic career, he authored and co-authored over 500 papers and is widely published on Archaean evolution, the nature and genesis of komatiite-hosted Ni-Cu and orogenic gold deposits, global metallogeny and conceptual targeting of mineral deposits. He was President of the Geological Society of Australia and the Society of Economic Geologists, and is currently President-Elect of SGA (European Society of Economic Geologists). He has received nine medals for his research, including the Silver Medal of the Society of Economic Geologists and the Geological Association of Canada Medal. Dr. Groves has also been contracted as a consultant to the Geological Survey of Tanzania.



About Douglas Lake

DLKM is an emerging mineral exploration company focused on exploring and developing gold, copper, nickel, uranium, and diamond mining opportunities in Tanzania. For more information, go to www.douglaslakeminerals.com



This release contains forward-looking statements which involve risks and uncertainties. Complete forward-looking statement available at www.douglaslakeminerals.com/forwardlooking.html.
 
Wananchi wataangalia kama urahisi wa kuweka chakula mezani upo, vinginevyo endeleeni kubuni njia za kuiba kura.
Wananchi vile vile wanaweza kukosa hamasa ya kupiga kura, kwani wanakuwa wameshajua matokeo ya kura yatakuwaje, kutokana na uzoefu wa kuibiwa kura na kutangaza walioshindwa kuwa ndio wameshinda. Na mbinu zote za wizi zinapoenda mrama, huwa mnafuta uchaguzi mzima.
wapiga kura wengi ni wakulima, anagalia namna serikali inavyopaisha bei ya mazao yao na kwaondolea utitiri wa kodi za mazao yao, mfano: Korosho, Ufuta, Kahawa, Pamba,Katani, na mazao ya chakula, especially Mwaka huu ndio bei itakuwa juu mara dufu, na ukichanganya na hili la kurudisha rasilimali zetu toka kwa mkoloni, unadhani nani ataangalia ujinga wenu wa sijui operation Sangara, M4C, Kata funua, Ukuta na maporojo ya kila aina, zaidi wataangalia kipato chao kitakacho waongezea ulaji. Nyie kumbatieni mafisadi mamvi na wezi wenzao muone 2020 mtakuwa na hali gani.
 
Na hawa wawili uanawaaminije baada ya kukosa ulaji wameamua kutudanganya kwa report fake??

Hivi kwa akili hata za mtoto mchanga utakuwaje na madini mengi ya dhahabu kuliko mawe ya dhahabu??

Haya waangalieni hawa mnaodhani ndiyo wazalendo na ndiyo wamepewa uwaziri kwenye the same sector.Hakika Mchawi mpe mwanao akulelee


Douglas Lake Minerals Board of Directors and Director of Exploration Appointments



Last update: 3:15 p.m. EDT Aug. 4, 2008



VANCOUVER, Aug 04, 2008 /PRNewswire-FirstCall via COMTEX/ -- Douglas Lake Minerals Inc. (OTC BB: DLKM./ Frankfurt: D6O.F) announced today the appointment of two senior Tanzanian officials to the Board of Directors. Mr. Gus Sangha and Dr. David Groves have stepped down from the Board and the Company thanks them for their valuable assistance during their tenure. Dr. Groves will remain with Douglas Lake as Director of Exploration.



Dr. Medard M.C. Kalemani, LLB, LLM, PhD, Mining Management - Director

Dr. Kalemani is the General Counsel to the Millennium Challenge Account Tanzania, Ministry of Finance, which is an autonomous government entity responsible for managing energy, transportation and water projects in Tanzania. He served as State Attorney of the Tanzanian Ministry of Energy and Minerals from 1999 to 2007, and from 1997 to 1998, he was a Legal Officer and Manager of the Tanzanian Branch of the International Rescue Committee, UNHCR. He was also legal consultant to UNDP Vienna in Tanzania and an independent consultant on a team that reviewed the Minerals Act of the Republic of South Africa. In 2002, Dr. Kalemani authored a thesis titled "Comparative Study of Mineral Laws" which compared laws between Tanzania, South Africa, Namibia and Botswana.



Prof. Abdulkarim Mruma, BSc, MSc, PhD, Geology - Director

Prof. Mruma is the Chief Executive Officer of the Geological Survey of Tanzania, Ministry of Energy and Minerals and since 2004, he is the Vice Chairman of the Association of Geological Survey of Africa. He was the Head of the Department of Geology at the University of Dar es Salaam from 1994 to 2004. Other positions he has held include: National Coordinator, International Geological Correlation Programs; External Examiner, Department of Geology of the University of Nairobi in Kenya and the University of Makerere in Uganda. He also has had extensive involvement as a board and steering committee member of numerous geological and environmental research projects and groups. Prof. Mruma has published over thirty international publications, mainly in the fields of structural geology, precambrian geology, stratigraphy and mineral deposits. He has consulted on and authored more than twenty technical reports in the fields of resource assessments and engineering geology. He is currently a member of the Geological Society of Africa and the Tanzania Geological Society. Prof. Mruma is also a Board Member of Williamson Diamonds Limited, Diamond Mine at Mwadui. The Williamson Diamond Mine is owned by De Beers and the Government of Tanzania.



Dr. David Groves, BSc, PhD, Geology - Director of Exploration

Dr. David Groves, BSc Honours and PhD, started his career working for the Geological Survey of Tasmania. In 1972, he joined the University of Western Australia where he progressed to full Professor by 1987, teaching undergraduate classes in field and structural geology and ore genesis/economic geology. From 1987 to 2005, Dr. Groves was Director of both the Centre for Strategic Mineral Deposits and Centre for Global Metallogeny. During his academic career, he authored and co-authored over 500 papers and is widely published on Archaean evolution, the nature and genesis of komatiite-hosted Ni-Cu and orogenic gold deposits, global metallogeny and conceptual targeting of mineral deposits. He was President of the Geological Society of Australia and the Society of Economic Geologists, and is currently President-Elect of SGA (European Society of Economic Geologists). He has received nine medals for his research, including the Silver Medal of the Society of Economic Geologists and the Geological Association of Canada Medal. Dr. Groves has also been contracted as a consultant to the Geological Survey of Tanzania.



About Douglas Lake

DLKM is an emerging mineral exploration company focused on exploring and developing gold, copper, nickel, uranium, and diamond mining opportunities in Tanzania. For more information, go to www.douglaslakeminerals.com



This release contains forward-looking statements which involve risks and uncertainties. Complete forward-looking statement available at www.douglaslakeminerals.com/forwardlooking.html.
Njoo na habari za kujenga hoja, sio Ku copy na Ku paste habari za kikanjanja Zisizo na tija kwa Taifa, ebooh!
 
Mh kwel ukiwa mpinzan utpinga ata godoro là gest kuwa limelaliwa na mtu mmoja kwa kutizma idadi Ya watu wlioingia
 
Ata kama ndo uxhabkie chako kiende Léo uo Ni unafki mkubwa xn Wa wapinzani

Kamuulize kalemani kule kwa wale wezvi alipataje post kubwa vile??Kwa mtanzania mwenye akili ndicho kitu cha kwanza kujiuliza ,halafu leo anasema ati tumuunge mkono rais.

Hivi hauni hawa wanataka Taifa lilipe zaidi ili kampuni zao zipate pesa mara dufu??Ni lini UVCCM mtatumia akili ndogo tu.Toka mwaka 1999-2015 alikuwa mkurugenzi kwenye makampuni ya madini ya kigeni na ana shares leo mnauhakika na Mruma na Kalemani??Wenye akili tumeshajua nia yao ovu ya hawa watu wawili.
 
takriban miaka mitatu iliyopita tulibahatika kuwa na kambi ya upinzani iliyosheheni watu wenye ueledi na uzalendo mkubwa. Laana ya kula 'matapishi' yao imewafanya watumwa na sasa wamegeuka kuwa adui namba moja wa nchi yetu Tanzania. Dhambi ya kufunika midomo na gundi imewafanya kuwa kama mazuzu na sasa wameamua kumtumikia kafiri.

Ukiangalia sasa ni fujo, sijui nini kimewapata. Wapo radhi nchi iingie vitani kuliko wananchi kunufaika na rasilimali zake eti kisa sifa zitamwendea raisi. Hapa ndipo ninapopata mashaka, kuna msemo unasema 'ukizoea kupinga au kubisha kila kitu mwishowe akili yako inaingia sumu na kuanza kujipinga au kujikana mwenyewe', sasa ndipo tulipo, wapinzani wanajikana.

Ukiangalia leo, Lema,Tundu,Msigwa,Mnyika ambao walishawishi wanchi waandamane ili rasilimali zisitoke bila masilahi yao kuzingatiwa leo wanapiga debe rasilimali hizo zitoke tu huku wakiweka vitisho na kuungana na makaburu,bure kabisa. Nikikumbuka jinsi kambi ya upinzani ilivyojipatia sifa zama za gesi ya Mtwara kwa kuungana na wananchi lakini leo wanawakana wananchi nawaonea huruma.

Wito, lazima mjue wananchi wanawaona vituko mnavyofanya mwaka 2020 sio mbali na hawatawaacha, mtapigwa ngwara kali kisiasa itakayowaacha hoi. Endeleeni kutumika na mabepari huku wakiwalipia kupata fursa ya picha zenu kukaa ukurasa wa mbele wa magazeti.

Nawasilisha
Uzalendo gani? CCM ndiyo walipitisha mikataba mibovu bungeni kama ni ubaya CCM ndiyo Sumu ya maendeleo ya Taifa hili CCM hawana Uzalendo kwani sasa wameifirisi Nchi kwa kurunga sheria mbovu kisha kuwahadaa watanzania eti wanafukua makaburi yao wanazuga kusaka sifa za kujinga jinga zitazoigharimu Nchi kwa ujinga wao.
 
Njoo na habari za kujenga hoja, sio Ku copy na Ku paste habari za kikanjanja Zisizo na tija kwa Taifa, ebooh!

Ni za kikanja sababu wewe huyo Kalemani na Mruma ndiye Mjambazi wakubwa mnaotaka kuendelea kuvuna hata kisicho chenu na akina Lissu wameshawashtukia,mmeona Madini yameisha sasa mnahitaji kuwavuna zaidi watanzanai ndiyo mmenoa,siri zenu zimeshavuja.

Huyo Mruma alishadeclare interest kwamba anashares kwenye hayo makampuni kabla hajaandika huo uongo??Je huyo Jambazi jingine aka NWNM naye ameshadeclare interest kwamba anashares kwenye makampuni ya majasusi??

Hivi kwanini nyie mnashindwa kuambiana ukweli??Mnadhani hawa watanzania mtawadanganya mpaka lini??

Dunia leo ni kama kijiji,ulisaini mkataba na makampuni ya kigeni wenzako wamewaweka juani mmeoteshwa jua mchana kweupe.
 
tatizo ni kukosa katibu mkuu mwenye msimamo; Nakumbuka kipindi cha Dr slaa.
 
Back
Top Bottom