Unadhani hii inaweza kua imetokana na nini na inaonyesha picha gani kubwa na ya jumla kisiasa humu nchini?
Sifahamu sana ikiwa vyama vingine vya siasa nchini viko katika hali ya kutokubalika kama...
Kichwa cha Marehemu James Temba Chadaiwa kupatikana maeneo ya Kitunda Kibeberu. Ni yule aliyeookotwa Mto msimbazi akiwa anaelea bila kicwa ambapo mwili wake ulisafirishwa kwenda kwao Moshi na...
Na. M. M. Mwanakijiji
Inashangaza na inakera kwa wakati mmoja. Mojawapo ya mambo yanayoshangaza sana ni kwa jinsi gani wapinzani uchwara wa CHAUMA wanajitahidi sana kufuatilia mambo yanayoendelea...
UCHAMISHAJI WA TAASISI ZA UMMA: TISHIO KWA UTAWALA BORA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Katika mfumo wa taifa la kisasa, kuna tofauti kubwa kati ya chama cha siasa, serikali na taifa. Chama...
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amekosoa mwelekeo wa mchakato wa Katiba Mpya nchini, akidai kuwa watawala wanajaribu kusukuma...
Nimeziona picha zilizotumwa mtandaoni zikiwaonyesha viongozi wa vyama vya siasa waliokua wakimsikiliza Samia, ama kwa hakika ni aibu na hawatii matumaini kwa Tanzania ijayo. Yani ule ukumbi...
Joseph Mrindoko wa Wachokonozi amesema hakushangazwa na tukio lililomhusisha, akieleza kuwa alilitarajia kutokana na mazingira na upeo wa watu wanaohusika. Amesisitiza kuwa, kwa uelewa wake wa...
Katibu Baraza la Wazee la CHADEMA Jimbo la Katavi, Anthony Mwamba Kalala, ameunga mkono wito uliotolewa na Viongozi wa CHADEMA kwenye Mikoa na Wilaya mbalimbali wa kumtaka Msajili aingie kati...
Hii barabara ndio kipimo cha namna gani mabwenyeye wa CCM hawawajali raia.
Kwa basi hii barabara haifai kabisa yaaani ni makorongo tu na rami ilishachoka zaidi ya miaka minne.
CCM hawajali kitu.
Tusidanganyane mfumo imara hujengwa na watu majasiri,shupavu na walio imara kwenye kusimamia sheria. je hao watu tunao?
Mfumo imara hutegemea wananchi imara wenye kujua sheria na taratibu za nchi...
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika mkutano na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika leo, Julai 30, 2026, jijini Dar es Salaam, amesema jukumu la kuilinda Tanzania ni la kila Mtanzania...
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la Leo, nikimpongeza Jaji Mkuu, CJ. Masaju kwa kukemea hukumu za mahakama kudharauliwa kwa kutotekelezwa na watu mbali mbali au taasisi...
Wakuu
Binafsi sielewi ni nani HASA alieamua kuwa kazi ya siasa ndio iwe na malipo na posho kubwa sana kuliko taaluma nyingine yeyote hapa nchini.
Wataalamu wa taaluma mbali mbali wameacha kada...
YAH:- MWALIMU CALVIN TWARILA WA KIBO AACHIWE HURU ANAONEWA!!
NAWEKA USHAHIDI WA MAOVU YOTE YA NGONYANI!!
Somo tajwa hapo juu lahusika.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa viongozi wote...
1. Naam... Sababu kubwa ni Siasa kwa maana ya siasa kuelekea uchaguzi, huku ikikolezwa na mafahari wawili wakimataifa wasioweza kukaa katika zizi moja.
Hao mafahari wananguvu na wanaingilia hadi...
Kichwa cha habari chahusika.
ANC, PAC, SWAPO, ZANU, ZAPU, MPLA, FRELIMO, ni vyama vilivyojihusisha na mapambano ya silaha, ikiwemo kuharibu miundombinu.
Je, kwa tafsiri ya ugaidi ambayo CCM...
CHADEMA kuna fukuto la ufisadi linaendelea dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche. Hili naomba tuliweke sawa, katika siasa, hakuna kiongozi anayepaswa kupewa kinga dhidi ya maswali...
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira amesema; "Mahakama inaendelea vizuri. Tena yeye Tundu Lissu, rafiki yangu, anaitumia mahakama kama shule ya sheria; yeye anajitetea mwenyewe...