Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Unadhani hii inaweza kua imetokana na nini na inaonyesha picha gani kubwa na ya jumla kisiasa humu nchini? Sifahamu sana ikiwa vyama vingine vya siasa nchini viko katika hali ya kutokubalika kama...
3 Reactions
60 Replies
539 Views
Kichwa cha Marehemu James Temba Chadaiwa kupatikana maeneo ya Kitunda Kibeberu. Ni yule aliyeookotwa Mto msimbazi akiwa anaelea bila kicwa ambapo mwili wake ulisafirishwa kwenda kwao Moshi na...
2 Reactions
83 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Inashangaza na inakera kwa wakati mmoja. Mojawapo ya mambo yanayoshangaza sana ni kwa jinsi gani wapinzani uchwara wa CHAUMA wanajitahidi sana kufuatilia mambo yanayoendelea...
26 Reactions
33 Replies
624 Views
Hii Nchi Wenye akili waliuliwa October 29. Endeleeen kupumzika kwa Amani ndugu zetu.🙏
2 Reactions
5 Replies
151 Views
UCHAMISHAJI WA TAASISI ZA UMMA: TISHIO KWA UTAWALA BORA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Katika mfumo wa taifa la kisasa, kuna tofauti kubwa kati ya chama cha siasa, serikali na taifa. Chama...
3 Reactions
0 Replies
55 Views
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amekosoa mwelekeo wa mchakato wa Katiba Mpya nchini, akidai kuwa watawala wanajaribu kusukuma...
1 Reactions
2 Replies
81 Views
Nimeziona picha zilizotumwa mtandaoni zikiwaonyesha viongozi wa vyama vya siasa waliokua wakimsikiliza Samia, ama kwa hakika ni aibu na hawatii matumaini kwa Tanzania ijayo. Yani ule ukumbi...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Joseph Mrindoko wa Wachokonozi amesema hakushangazwa na tukio lililomhusisha, akieleza kuwa alilitarajia kutokana na mazingira na upeo wa watu wanaohusika. Amesisitiza kuwa, kwa uelewa wake wa...
1 Reactions
4 Replies
200 Views
Katibu Baraza la Wazee la CHADEMA Jimbo la Katavi, Anthony Mwamba Kalala, ameunga mkono wito uliotolewa na Viongozi wa CHADEMA kwenye Mikoa na Wilaya mbalimbali wa kumtaka Msajili aingie kati...
1 Reactions
34 Replies
626 Views
Hii barabara ndio kipimo cha namna gani mabwenyeye wa CCM hawawajali raia. Kwa basi hii barabara haifai kabisa yaaani ni makorongo tu na rami ilishachoka zaidi ya miaka minne. CCM hawajali kitu.
1 Reactions
5 Replies
144 Views
Tusidanganyane mfumo imara hujengwa na watu majasiri,shupavu na walio imara kwenye kusimamia sheria. je hao watu tunao? Mfumo imara hutegemea wananchi imara wenye kujua sheria na taratibu za nchi...
11 Reactions
49 Replies
4K Views
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika mkutano na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika leo, Julai 30, 2026, jijini Dar es Salaam, amesema jukumu la kuilinda Tanzania ni la kila Mtanzania...
1 Reactions
8 Replies
228 Views
Ikiwa ameishinda Jamhuri ataondoka gerezani? Kama alifungwa na Jamhuri na Jamhuri ni sisi raia, kwani sisi raia alitukosea nini?
9 Reactions
30 Replies
406 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la Leo, nikimpongeza Jaji Mkuu, CJ. Masaju kwa kukemea hukumu za mahakama kudharauliwa kwa kutotekelezwa na watu mbali mbali au taasisi...
4 Reactions
25 Replies
485 Views
Wakuu Binafsi sielewi ni nani HASA alieamua kuwa kazi ya siasa ndio iwe na malipo na posho kubwa sana kuliko taaluma nyingine yeyote hapa nchini. Wataalamu wa taaluma mbali mbali wameacha kada...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Anonymous
YAH:- MWALIMU CALVIN TWARILA WA KIBO AACHIWE HURU ANAONEWA!! NAWEKA USHAHIDI WA MAOVU YOTE YA NGONYANI!! Somo tajwa hapo juu lahusika. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa viongozi wote...
26 Reactions
122 Replies
11K Views
1. Naam... Sababu kubwa ni Siasa kwa maana ya siasa kuelekea uchaguzi, huku ikikolezwa na mafahari wawili wakimataifa wasioweza kukaa katika zizi moja. Hao mafahari wananguvu na wanaingilia hadi...
2 Reactions
6 Replies
351 Views
Kichwa cha habari chahusika. ANC, PAC, SWAPO, ZANU, ZAPU, MPLA, FRELIMO, ni vyama vilivyojihusisha na mapambano ya silaha, ikiwemo kuharibu miundombinu. Je, kwa tafsiri ya ugaidi ambayo CCM...
6 Reactions
12 Replies
168 Views
CHADEMA kuna fukuto la ufisadi linaendelea dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche. Hili naomba tuliweke sawa, katika siasa, hakuna kiongozi anayepaswa kupewa kinga dhidi ya maswali...
2 Reactions
18 Replies
193 Views
  • Featured
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira amesema; "Mahakama inaendelea vizuri. Tena yeye Tundu Lissu, rafiki yangu, anaitumia mahakama kama shule ya sheria; yeye anajitetea mwenyewe...
4 Reactions
67 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…