Maamuzi ya ndani

Maamuzi ya ndani

Haya mambo hayataki hila. Lazima ukweli, uwajibikaji then maridhiano yafanyike. Kinyume chake kila njia za hila ku solve itazaa matatizo mengine makubwa zaidi. Tunahairisha matatizo na kusuka mengine! Italeta matatizo mengi
 
Anaye achiwa si mjinga kuna jambo kaka mengi siandiki zaidi , uzuri hata huku CCM tunamuunga mkono
Haya mambo hayataki hila. Lazima ukweli, uwajibikaji then maridhiano yafanyike. Kinyume chake kila njia za hila ku solve itazaa matatizo mengine makubwa zaidi. Tunahairisha matatizo na kusuka mengine! Italeta matatizo mengi
 
Balozi asibezwe Nina taarifa fulan, kwenye mahojiano na kamati fulan ya maadili kuna mambo kawakazia macho! Yule KOSWE akajing’ata
Pamoja na uzuri anaopambwa nao huyo Balozi, lakini kwa mwendo wake huo atalisalimisha jahazi tulilotaka lizame moja kwa moja.

CCM ilivyo sasa hivi kamwe haiwezi kufanyiwa ukarabati wa juu juu kwa matumaini ya kurudisha ile ya zamani.
Balozi anajaribu kuweka bandage kwenye donda ndugu, akifikiri litapona!
Anapoza maumivu ya muda mfupi tu, huku donda ndugu likiwa bichi kabisa ndani kwa ndani.

Acha nikupe na mfano hai kabisa kama bado unamashaka kuhusu ninaloeleza hapa.
CCM ya Magufuli; uliiona? Mara PAAAA, Samia kaingia,.... Donda likaanza kutoa usaha kabisa.

Balozi anaweza kulituliza kidogo. Haliponi hilo!
 
Haya mambo hayataki hila. Lazima ukweli, uwajibikaji then maridhiano yafanyike. Kinyume chake kila njia za hila ku solve itazaa matatizo mengine makubwa zaidi. Tunahairisha matatizo na kusuka mengine! Italeta matatizo mengi
"Hila" ni tamaduni na desturi za Samia na Genge lake.
"Ukweli, uwajibikaji" usitarajie hata mara moja kuyaona hayo iwapo hayo maridhiano yatakuwa chini ya usimamizi wa kundi hilo.
 
Back
Top Bottom