Maofisa habari wa taasisi za Serikali na binafsi nchini wametakiwa kutojitenga na mfumo wa usajili wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kigezo cha kuwa watumishi wa taasisi hizo...
Wakuu,
Inawezekana kabisa Serikali, Polisi, Usalama wa Taifa na CCM hawahusiki kabisa kabisa kwenye matukio ya utekaji, they have no idea nani anatenda matukio haya na kuwachafua, lakini...
Mwaka jana 2025 alisimama bungeni kuitangazia Dunia kuwa Samia amemmwagia mabilioni kedekede kwaajili ya ujenzi wa barabara nk, kwahio (hamdai Samia) mbunge huyo huyo jana 21 Mei, 2026 kasimama...
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema Tume ya Jaji Chande ilipaswa kuweka wazi iwapo mauaji yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa halali au ya jinai, pamoja na...
Ndugu zangu watanzania,
Wiki iliyopita niliumia sana kuona mkutano wa CHADEMA kule kanda ya ziwa ukigeuka jukwaa la kuwatukana, kuwadhalilisha,kuwatweza na kuwavunjia heshima askari wetu ambao...
Wakili Peter Madeleka amesema amesema "Taifa limekwama kabisa katika namna ambayo haijawahi kutokea tangu tupate uhuru. Mkwamo ni kwamba... mkwamo unasababishwa na uongozi mbovu.
Kwa sababu ili...
Rio Ferdinand anatuhumiwa anatumika kufanya sportswashing kusafisha na kuyafanya mauaji ya Oct/29 kua halali kwa kupitia michezo naona mijadala imeanza huko times pia wamepost
Reddit watu...
Ni wazi, huenda kinachochochea sarakasi na drama zinazoendelea ndani ya CHADEMA ni mapambano na vita vya kupindua na kunyakua mamlaka ya kitaifa ya chama hicho, kutokana na muonekano wa hali ya...
Adai Yeye atagombea Urais 2030 na kipaumbele Chake ni Kutokomeza Rushwa.
Huyu ni Bilionea, ambaye anaumizwa na Rushwa.
Unfortunately tunaye mwanamke wa kizanzibar, Yéye anawaambia Wala Rushwa...
Ni wazi sasa kiongozi wa watekaji anaitwa Mafwete ambaye ni Polisi na yeye ndiye aliyeenda kumchukua Polepole eti leo anasema anafanya msako wa kutafuta na kubaini walio mshambulia msaidizi wa...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi Mei 19, 2026 imemuachilia huru kwa kumfutia KESI ya UHAINI Mchungaji Godfrey Malisa, kwa masharti kwamba asifanye kosa ndani ya Miezi 12.
Picha hii imeboreshwa na...
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.
Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia...
Maana mivutano ni mkali sana ndani ya Chadema taifa kwasasa baina ya wanaotaka Lissu atoke korokoroni dhidi ya wale wanaotaka Lissu aendelee kusota korokoroni.
Je, unadhani vita hii inalenga...
Ni drama iliyopikwa na watu wasio wazoefu katika kucheat, lakini pia the main character ni kama vile hakufanya rehearsal vizuri au hafundishiki, na ilimuwia vigumu sana kuact kama alivyoelekezwa...
Na Dr. Zack,Zanzibar
Hivi karibuni, ulimwengu umeshuhudia hatua ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani (State Department) kumtangaza Kamanda Faustine Jackson Mafwele, Afisa Mwandamizi wa Jeshi la...
Msaidizi wa Tundu Lissu, David Djumbe inadaiwa ametekwa usiku huu na wanaodhaniwa kuwa Maafisa wa Usalama wa Taifa ambao walikuwa na silaha za moto.
Djumbe ametekwa akiwa nje ya geti la nyumbani...
Katiba ya sasa haifai maana ilitungwa na WanaCCM 22 na haiwapi wananchi madaraka juu ya taifa lao baada ya uchaguzi.
Taifa letu linatakiwq liwe na katiba ambayo itawapa mamlaka wananchi kumfuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.