Hamjambo wote!
Hili jambo limekuwa likija na kuondoka katika meza yetu hapa nyumbani. Mwanzoni nilifikiri anazungumza kama sehemu ya utani. Hiyo ni miaka saba iliyopita tena ilikuwa kipindi kile...
Kama kosa lake kubwa ni kufanya uchochezi kupitia hiyo module aliyokuwa anafundisha nadhani tutumie busara kuifutilia mbali ili kuepusha wahadhiri wengine kuingia mtegoni na kujikuta wanafanya...
https://youtu.be/tN1-smB7nOo?si=j1dEU9tUQi1fNu2N
Anasema:
1. Ameamua kutoka huko ili kuungana na wapigania haki wengine kuipigania haki, demokrasia na utawala bora Tanzania
2. Haoni chama...
Leo ndio nimesikiliza vizuri Namba 2 alipoongelea katiba mpya huku akisisitiza watu wapambane.
Kama aliyoyaongea yana ukweli, basi kuna watu wamemdhibiti Namba 1 ingawa nae anaonyesha udhaifu...
Siku ile aliyotoa hotuba Dr. Nchimbi kwamba Watanzania wapiganie Katiba mpya, sikumwelewa vizuri, lakini kwa sasa nadhani nimemwelewa kwa kwa asilimia kubwa.
Mambo makuu matatu aliyoyasema ambayo...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo, ikiwa ni mada mwendelezo wa
Kufuatia Kuteuliwa kwa Hisani, Baadhi Wanashindwa Kutenda Haki Kuepuka Utovu wa Fadhila...
Hivi maana ya Jela nini? Klni kutunza Wahalifu tu?.
Nategemea Gereza iwe sehem ya kurekebisha Watu .
Umemkamata na Bangi Kilo Moja, Huyu labda ilikua kwa matumizi yake binafsi, na hata kama...
Haina Sapoti yoyote kwenye mitandao ya kijamii. Huku ndiko watu wanajadili maisha ya kila siku. Siasa ndio maisha ya watu. Inabeba kila jambo linalomhusu mwananchi.
Ukiingia kwenye kila mtandao...
Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia kikomo cha uhalali wake mwezi Oktoba mwaka huu, na hivyo Watanzania...
KATOLIKI niliwahi waambia, Kosa mlofanya mkapelekea MAGUFULI kuondolewa, lisijirudie .
Magufuli hata kama alikosea, ila hakuligusa KANISA Wala RASIMALI ZA NCHI.
Licha ya makosa yake Madogo, Bado...
"Stop, O People, that I may give you ten rules for your guidance, in the battlefield. Do not commit treachery or deviate from the right path. You must not mutilate dead bodies. Neither kill a...
-Hao wanaomiliki kadi za ccm huko vyombo vya usalama na ulinzi hao ndio wamejifanya kuwa chama cha mapinduzi
-hao ndio wanapigana kufa na kupona ccm iendelee ku exist
-wengi wao ni wanachama na...
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea tamko kutoka kwa Jumuiya ya Madola linaloitaka kumwachia huru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ndani ya siku 30...
Taifa limekuwa kama taifa la Afrika kusini wakati wa utawala wa makaburu.
Yaani mtu hana haki ya kufanya critical analysis hata kama ni msomi.
Haki ya maandamano ipo kikatiba. Mwalimu akiwa...
Mtu ana Waumini hata Mia hawafiki, anaendesha Magari ya Million 300+ , anajipost anachezea Pesaaaa .
Ukweli ni Kua, Hakuna Mtumishi wa Mungu ambaye ana Mungu anayeweza jisifu juu ya Mali zake...
Najiuliza tu, what if sinema ya BWANA JELA vs LISSU jana ni mbinu ya Samia na serikali yake kukabiliana na tamko/matakwa ya Jumuiya ya Madola??
Sio siri kwamba hawana uhalali wowote wakumshikilia...
Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Sheikh Mwaipopo.
Kwanza napenda kukusalimu kwa heshima na upendo wa Kiislamu. Nakuandikia barua hii si kwa chuki wala nia ya kukushusha hadhi, bali...
Hii ni Taarifa yake aliyoiposti kwenye ukurasa wake wa X:
"Leo tarehe 26 Julai 2026 mimi PETER MADELEKA natangaza rasmi KUACHANA NA SIASA ZA ACT WAZALENDO.Nafanya hivyo ili nipate MUDA WA KUTOSHA...
Wanabodi
Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Leo
Ili Kupata Majaji Watenda Haki, Tuachane na Majaji wa Hisani, Majaji Akiwemo Jaji Mkuu, Waombe Kazi, Wasailiwe, Wenye Uwezo Ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.