Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

Castle_Lite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2016
Posts
4,504
Reaction score
9,944
Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030.

Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani.

Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Pale anaposhindwa au kuacha kutekeleza kazi na majukumu ya kiti chake.

Kama amepatikana na hatia ya kosa la jinai linaloonyesha utovu wa uaminifu.

Njia pekee ni kuanzisha Mchakato Bungeni

Raisi mwenyewe anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba Bunge lipitishe azimio la kumwondoa kwa madai ya kushindwa au kuacha kutekeleza kazi zake.

Au Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha hoja binafsi Bungeni ya kutaka kumwondoa madarakani kwa misingi ya kuvunja katiba au kukiuka maadili ya umma, na endapo taratibu na idadi maalum ya kura za wabunge zitafikiwa kwa mujibu wa sheria.

Au Yeye mwenyewe aandike barua ya kujiuzulu .

Ila Kumvua uanachama hakumwondoi moja kwa moja madarakani, kwani Katiba haina kifungu kinachomfuta kazi. kiongozi huyo papo hapo kwa kupoteza kadi ya chama chake.

au pengine Labda Itumike njia nyingne ya kumuondoa.
sijasema Kumuwekea Sumu.

Na hili halihusiani na Makamu wa Raisi.

Nimewaza tu.
 
Mnamzungumzia nani wakuu? Mbona mnanipoteza kirahisi kama mtoto wa mbwa.
Si imezoeleka ukienda kinyume na yeye anakuvua vyeo.

waziri wa mambo ya ndani,George Simbachawene baada ya kutoka hadharan na kusema polisi wakienda kumkamata mtu wafuate taratibu na wavae sare za kiaskari na waseme wanampeleka wapi yule mtu.

Baada ya siku 2 akapoteza uwaziri.

Kuna yule mwingne alisema Mama anakopa kopa na deni la taifa ni kubwa. Kesho yake akaandikiwa barua ya kujiuzulu Uspika.

Sasa huyu, kuna kaugumu kidogo.
Ndio maana anajiamini.
 
Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030.

Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani.

Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Pale anaposhindwa au kuacha kutekeleza kazi na majukumu ya kiti chake.

Kama amepatikana na hatia ya kosa la jinai linaloonyesha utovu wa uaminifu.

Njia pekee ni kuanzisha Mchakato Bungeni

Mkuu mwenyewe anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba Bunge lipitishe azimio la kumwondoa kwa madai ya kushindwa au kuacha kutekeleza kazi zake.

Au Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha hoja binafsi Bungeni ya kutaka kumwondoa madarakani kwa misingi ya kuvunja katiba au kukiuka maadili ya umma, na endapo taratibu na idadi maalum ya kura za wabunge zitafikiwa kwa mujibu wa sheria.

Au Yeye mwenyewe aandike barua ya kujiuzulu .

Ila Kumvua uanachama hakumwondoi moja kwa moja madarakani, kwani Katiba haina kifungu kinachomfuta kazi. kiongozi huyo papo hapo kwa kupoteza kadi ya chama chake.

au pengine Labda Itumike njia nyingne ya kumuondoa.
sijasema Kumuwekea Sumu.

Nimewaza tu.
Hivi Job Ndugai waliwezaje kumpokonya uspika? Kuna utaratibu wa kisheria uliotumika au ni wahuni wa mfumo walipewa kandarasi ya kumpiga chini
Hivi Kasim Majaliwa alizuiwa na nani kwenda kuchukua form ya kugombea tena baada ya kuahidi kugombea akiwa anaaga bunge?
 
Si imezoeleka ukienda kinyume na yeye anakuvua vyeo.

waziri wa mambo ya ndani,George Simbachawene baada ya kutoka hadharan na kusema polisi wakienda kumkamata mtu wafuate taratibu na wavae sare za kiaskari na waseme wanampeleka wapi yule mtu.

Baada ya siku 2 akapoteza uwaziri.

Kula yule mwingne alisema Mama anakopa kopa na deni la taifa ni kubwa. Kesho yake akaandikiwa barua ya kujiuzulu Uspika.

Sasa huyu, kuna kaugumu kidogo.
Ndio maana anajiamini.
Sasa nimeelewa.

Dah! Kwanza Imma ukimwqngalia tu anatisha, anamacho fulani mekunduuu!
 
Hivi Job Ndugai waliwezaje kumpokonya uspika? Kuna utaratibu wa kisheria uliotumika au ni wahuni wa mfumo walipewa kandarasi ya kumpiga chini
Hivi Kasim Majaliwa alizuiwa na nani kwenda kuchukua form ya kugombea tena baada ya kuahidi kugombea akiwa anaaga bunge?
Walimsihi Jobu ajiuzulu kabla maovu hayajamkuta.
 
Hivi Job Ndugai waliwezaje kumpokonya uspika? Kuna utaratibu wa kisheria uliotumika au ni wahuni wa mfumo walipewa kandarasi ya kumpiga chini
Hivi Kasim Majaliwa alizuiwa na nani kwenda kuchukua form ya kugombea tena baada ya kuahidi kugombea akiwa anaaga bunge?
Yule siku ile ile usiku alipigiwa simu na kufuatwa na Malecela kuwa aandike barua ya kujiuzulu maana amemkosea mkuu.
Na kabla hajaandika . Barua ikaandikwa na kupelekwa kwa katibu wa Bunge kuwa Anajiuzulu 😊😊😊😊.

Ukishangaa na Majaliwa. Shangaa pia ya Tulia Ackson. Alishachukua fomu ya kugombea uspika kwa awamu ya 2. Alaf hakurudisha fomu😊😊😊. Na jina lake likaondolewa.
 
Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030.

Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani.

Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Pale anaposhindwa au kuacha kutekeleza kazi na majukumu ya kiti chake.

Kama amepatikana na hatia ya kosa la jinai linaloonyesha utovu wa uaminifu.

Njia pekee ni kuanzisha Mchakato Bungeni

Mkuu mwenyewe anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba Bunge lipitishe azimio la kumwondoa kwa madai ya kushindwa au kuacha kutekeleza kazi zake.

Au Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha hoja binafsi Bungeni ya kutaka kumwondoa madarakani kwa misingi ya kuvunja katiba au kukiuka maadili ya umma, na endapo taratibu na idadi maalum ya kura za wabunge zitafikiwa kwa mujibu wa sheria.

Au Yeye mwenyewe aandike barua ya kujiuzulu .

Ila Kumvua uanachama hakumwondoi moja kwa moja madarakani, kwani Katiba haina kifungu kinachomfuta kazi. kiongozi huyo papo hapo kwa kupoteza kadi ya chama chake.

au pengine Labda Itumike njia nyingne ya kumuondoa.
sijasema Kumuwekea Sumu.

Nimewaza tu.
Kumwondoa madarakani ni rahisi sana. Ni kumvua uanachama wa CCM. Kwisha habari yake. Ndiyo maana kila siku nahubiri kuhusu Mgombea huru kuwa ndilo kimbilio la mageuzi hapa nchini
 
Back
Top Bottom