Najiuliza tu, what if sinema ya BWANA JELA vs LISSU jana ni mbinu ya Samia na serikali yake kukabiliana na tamko/matakwa ya Jumuiya ya Madola??
Sio siri kwamba hawana uhalali wowote wakumshikilia TAL, lakini pia hawawezi kumuachilia tu just like that. So... pengine wanachofanya ni kutoa mwanya wa kesi yake kutupiliwa mbali "kisheria" 🤔
Pia Soma Kesi ya Lissu: Bwana Jela wa Ukonga, Andrew Ntamamiro akifanyiwa dodoso na Tundu Lissu