Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hii ni sahihi?. Kuwavisha wanaCCM mavazi haya ili kupumbaza wananchi?
1 Reactions
24 Replies
903 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu ya Salaam zangu za Krismasi kwenye gazeti la Mwananchi. Leo ni Sikukuu ya Krisimasi, Watanzania tunajiunga na watu wengine duniani, kuadhimisha sikukuu hii ya...
5 Reactions
22 Replies
462 Views
Wanaukumbi, Kuanzia leo Jumatano, 28 Septemba Mwananchi limeanza "series" zangu na za waandishi wengine kuhusu Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. Tusomeni kwa furaha. Mohamed Said...
26 Reactions
2K Replies
175K Views
Rais aliyeapishwa na jeshi lililomsaidia kuiba kura, ndiye aliyetoa amri kutangazwa kwa hali ya hatari iliyopelekea mauaji ya raia zaidi ya 10,000. Ameunda tume anayoìtuma kuchunguza mauaji hayo...
2 Reactions
15 Replies
307 Views
Tangu tupate uhuru, Tanzania imeongozwa na viongozi sita toka dini kuu mbili za kikoloni yaani Ukristo na Uislam. Watatu walikuwa Wakristo yaani JK Nyerere, Ben Mkapa na JP Magufuli ilhali...
4 Reactions
24 Replies
423 Views
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania , TEC, Askofu Wolfgang Pisa Muhtasari wa habari Kibwagizo cha ujumbe wa Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) katika Sala na Mafungo ya kuombea haki na...
42 Reactions
214 Replies
12K Views
Swali langu ni hilo tu tumjue huyu Lofa anasaligi parokia gani, tupate uhakika ni muumini mwenzetu au ni pandikizi?
5 Reactions
22 Replies
633 Views
GT History ipo wazi kabisa siasa na dini huwezi kuvitenganisha. Kama Martin Luther JR angekuwa na akili kama za Alhaji Malasusa sidhani kama wamarekani weusi wangepata haki zao mapema. KKKT ya...
7 Reactions
21 Replies
446 Views
Vita hupiganwa kwa njia nyingi, na leo mmeona jinsi ambavyo plan za Maandamano zilivyokuwa strategically planned and executed. Hali hii inakuja kwenye kila kitu cha Serikali ya CCM hadi wananchi...
4 Reactions
15 Replies
362 Views
Habari kutoka Kalenga zinasema leo asubuhi vijana wa ccm maarufu kama Green Guard wakiongozwa na katibu wa ccm jimbo la Kalenga wamevamia nyumba za Masista (Hizo ni hostel za masista ambazo kila...
8 Reactions
326 Replies
29K Views
- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - SOURCE: RAIA MWEMA, APRIL 18, 2018, pg. 12 - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - Ujumbe wa kwaresima umesababisha Polycarp...
13 Reactions
36 Replies
8K Views
Wanabodi, Nilikuwa naangalia bunge kuapishwa kwa waheshimiwa wabunge wapya. Ilipofika zamu ya Mhe. Upendo Furaha Peneza akiapa, nikamkumbuka Regia Mtema (RIP). Kwa waumini wa 'life after life'...
9 Reactions
129 Replies
33K Views
1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro. 2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua...
12 Reactions
122 Replies
6K Views
Watawa wa Shirika la Masista wa Afrika wa Benedektina Bikra Maria Msaada wa Kristo Ndanda wamesema wanamuunga mkono Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa...
1 Reactions
34 Replies
1K Views
  • Featured
Kanisa katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa kanisa katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama...
26 Reactions
121 Replies
6K Views
Hii ni thread muhimu ya Mambo muhimu ya kumdai mgombea Urais kupitia CCM tunapoelekea kufanya uchaguzi oktoba 29. Katika thread hii tuweke bila aibu ni mambo gani muhimu anatakiwa atimize iwapo...
1 Reactions
14 Replies
723 Views
Hadi leo jawabu sina ndiyo maana naleta sumbuko hilo kwenu. Kulikuwa na sababu gani hasa kwa ndg yetu huyo kuruka masharti ya dhamana?! Kwa nini hakuwa makini km mtu ambaye alitambua wazi kwamba...
13 Reactions
158 Replies
12K Views
Naomba niseme wazi, Sishabikii Kifo Cha Rais wetu Mzilankende, Ta Mwami Magufuli Joseph pombe na haitokaa itokee nishabikie kamwe, niseme pia sitokaa nimwombee Kwa Mungu eti amweke Pahala pema...
26 Reactions
85 Replies
6K Views
Salaam, Shalom. Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na...
17 Reactions
362 Replies
41K Views
✓Ni ajabu lakini ni kweli kuwa ndugu huyu ambaye amewahi kuwa RC maarufu sana enzi zile wa mkoa wenye watu wengi zaidi Tanzania yaani DSM analalamika kuwa anawindwa na kundi la watu ili wamuue...
27 Reactions
58 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…