Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Heri ya Christmas wakuu. Kuna Flyer nimeiona ya Ndg Nchemba, akitoa salamu za Christmas. Lakini pia anasema "WAMEJIFUNZA". Wamejifunza nini? Imekuwaje wamejifunza? Kuna line moja ya Tupac...
5 Reactions
2 Replies
202 Views
Bado haijaisha, usicheze na kanisa Katoliki.
3 Reactions
3 Replies
115 Views
Je, Mabeyo anaenda kusimama na wananchi ukiona anaongelea maji ujue anamengi sana maji na mauwaji, ni wazi mauwaji ni tatizo kubwa sana.
2 Reactions
8 Replies
296 Views
Samia Suluhu Hassan hana sifa hizo ndiyomaana anapambana kuua watu wenye upeo mkubwa wa akili wanaomwambia ukweli. "Ni hatari sana kuwa sahihi wakati serikali inakosea" Maxence Melo.
14 Reactions
28 Replies
455 Views
Mh. Juma Awesso, ni miongoni mwa mawaziri wanaopokea sifa nyingi sana kutoka kwa viongozi wenzake, baadhi ya watu maarufu na hata baadhi ya wananchi wa kawaida Hata hivyo, ukifanya tathimini...
9 Reactions
31 Replies
826 Views
Mzee Warioba ameongea mengi ambayo sasa yamenukuliwa mitandaoni Aliyoongea CCM ya sasa haina ubavu wa kuyaongea kwa vile sasa CCM si chama cha wananchi, bali viongozi ambao hawafai kuitwa...
23 Reactions
29 Replies
884 Views
Mimi najiuliza hivi ni kweli IGP wambura hana washauli wazuri wakumshauli namna bora ya utendaji kazi wa jeshi la polisi katika kutekeleza majukumu yake zaidi ya haya mambo yanayoendele ya utekaji...
7 Reactions
16 Replies
587 Views
Nakuagiza ututangazie alipo kama tulivyo tangaziwa alivyo teuliwa. Hii ni amri sio ombi.
10 Reactions
21 Replies
586 Views
Wanajukwaa nina maswali machache hapa naomba msaada tafadhali: 1. Yapi mabaya tuliyotendewa na wakoloni na hatutendewi na CCM? 2. Yapi mema ambayo CCM wanafanya, mkoloni hakuyafanya? 3. Mkoloni...
6 Reactions
7 Replies
186 Views
Mmetoa pongezi kwa wananchi kuwa wametunza amani. Ukweli ni huu: Watu bado wanatafakari the way forward baada ya vifo vya watu 10,000 ( as per current unconfirmed testaments). As long as...
5 Reactions
12 Replies
246 Views
Hizi nyimbo zina zaidi ya miaka 20, lakini yaliyoimbwa hiyo miaka 20 iliyopita ndiyo tunayaishi leo. 1. Prof. Jay - Nang'atuka 2. Juma Nature - Nini Chanzo
1 Reactions
1 Replies
152 Views
ASANTENI SANA WANANCHI KWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI YA NCHI , HUU SIO USHINDI WA MTU MMOJA NI USHINDI WA TAIFA. Hii nchi yetu ni, nikama FAMILIA changa ambayo inapambana dhidi ya UMASIKINI...
5 Reactions
20 Replies
340 Views
Kumeibuka na hili jambo watu kulazimisha wenzao kuandamana unakuta li mtu linalaumu wenzie hawajatoka mda huo lipo kitandani Kam kule TikTok mtu kafungua live anawaambia wenzie waandamane lenyewe...
5 Reactions
26 Replies
500 Views
Hivi ni vishindo vya wakoma waliokuwa wanadhani haiwezekani Tuko chini ya masaa 72 kuelekea kilele cha D9.. Hakuna mjadala mwingine wowote unaowavutia Watanganyika zaidi ya D9.. Iwe mitandaoni au...
15 Reactions
62 Replies
2K Views
MANGE KIMAMBI NA MARIA SARUNGI WAMEHUSIKA KUHUJUMU MAANDAMANO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Kukosa Uongozi wa Kitaalamu na Kimaadili Watu wenye tabia ya kuropoka au kutumia lugha ya...
13 Reactions
127 Replies
4K Views
Mkwamo wa Tanzania tangu kuanzishwa kwake umetokana na sababu kuu mbili. 1. Kuwapa kipaumbele zaidi wajinga na ujinga kuliko akili na wenye akili. 2. Rushwa na Ubinafsi. Kuhusu kuwapa...
19 Reactions
35 Replies
1K Views
Hivi kufungiwa kwa jizi lililokuwa linaiba nauliza za vivuko, linaiba Hela ya matengenezo, ya vivuko, kila siku linaelekeza vivuko vialubiwe Ili liombe malipo hewa Bado tuna liacha Muda wote tangu...
4 Reactions
22 Replies
907 Views
Hivi kipaumbele cha nchi ni kipi? ni Afya? ni Elimu? ni nini hasa? Mwanza unashuka kwenye Feli kutoka ziwa viktoria tayari upo katikati ya jjiji! Mwanza wanalia mgao wa maji? Sio siri jamani...
13 Reactions
38 Replies
625 Views
Miaka zaidi ya 60 ya CCM kuongoza nchi iliyojaa rasilimali, wananchi kulipishwa kodi, misaada na mikopo, Je vinaendana na hizi shida tunazopitia ?
1 Reactions
5 Replies
126 Views
Jaji Mkuu George Masaju, Desemba 23, 2025, akiwa Mbeya amesema kuwa kuanzia mwezi Februari 2026 Kanda za Mwanza, Mbeya, Arusha na Dar es Salaam zitakuwa na majopo ya majaji 4 kila moja (Dar...
1 Reactions
12 Replies
288 Views
Back
Top Bottom