Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://www.youtube.com/watch?v=Ku1LCNIqQq8
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Na. M. M. Mwanakijiji Tuko Ripoti za CAG zilipoanza kuwekwa hadharani hadi hii leo kuna jambo moja halijabadilika. Wamekuwepo ma CAGs kadhaa walioandika ripoti zilizooneha weledi wa hali ya juu -...
35 Reactions
37 Replies
687 Views
Ni wazi kwamba mkapa alitawala kama rais wa muungano kwa miaka kumi,kafatiwa na kikwete ambaye naye anatimiza kumi mwakani. Nikiwaangalia wanasiasa wa zanzibar hakuna hata mmoja mwenye nguvu bara...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Bajeti mpya ya ununuzi wa Binadamu imepangwa, lengo kuu ni kununua viongozi kadhaa wa Chadema ili kudanganya umma kwamba chama hicho kina mgogoro Sababu kuu ya kujaribu Ujinga huu ulioshindwa...
18 Reactions
27 Replies
977 Views
Wazee wa Busara na hekima akina Warioba, Bagonza, ( sijui kama kuna wengine) tumieni buaara na hekima zenu kumshawishi Samia amuachie Lisu apate matibabu. Butiku ameshakengeuka! Nani mwingine...
5 Reactions
40 Replies
424 Views
Habari za muda huu Wana Bodi na Great Thinkers wote, Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Leo nimekuja na jambo ambalo linaendelea "chini ya kapeti" lakini lina athari...
8 Reactions
11 Replies
274 Views
Sijui kama Kuna Mji wowote ambao ni makao Makuu ya Mkoa au Mji wa kibiashara ambako Serikali ya Samia haijajenga au kuendelea na ujenzi wa stendi. Mfano Mkoa wa Manyara Mji wa Kateshi Kuna...
3 Reactions
170 Replies
2K Views
Hamjambo wote! 1. Nimemsikia RC Mtaka akiongea Siku ya wanawake. Akijaribu kuikosoa kauli nyuma ya Kila mafanikio ya Mwanaume kuna mwanamke. 2. Anthony Mtaka kauli hiyo aliikosoa vikali kauli...
24 Reactions
210 Replies
2K Views
RAIS SAMIA AKUTANA NA WAGOMBEA URAIS WA TANZANIA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi, 2026, alikutana...
6 Reactions
50 Replies
753 Views
Wanabodi, Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake! Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja...
52 Reactions
661 Replies
32K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la mwananchi la leo, https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/uchambuzi-wa-mayala-urais-2030-ndoto-halali-sio-jinai-5409324 Kuna ndoto za kweli na...
4 Reactions
10 Replies
149 Views
NI LEO: HOTUBA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU 2026-2027 MUWASILISHAJI: Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. MAHALI: Bungeni, Dodoma. TAREHE: Aprili 1...
0 Reactions
4 Replies
101 Views
Na GULATONE MASIGA Katika kipindi cha hivi karibuni, mjadala kuhusu ongezeko la bei za mafuta umekuwa mkubwa mtaani na katika majukwaa ya kitaifa na kimataifa. Hoja hii si mpya katika historia ya...
2 Reactions
14 Replies
147 Views
Ama kweli duniani kuna vituko na malimwengu ndio wahanga wa vituko, Magenge ya uhalifu nchini yapo mengi sana, lakini hili la Lebanon limevuja rekodi, Kama huyajui magenge yanayotisha/yenye...
73 Reactions
493 Replies
97K Views
Uzi wa matukio mbalimbali ya CHADEMA . Madhila wanayopitia.. Vita wanazopigana.. Mafanikio wanayopa .. Na namna wanavyomgaragaza adui kwenye kila kona.. Kila saa na kila wakati Karibuni wote...
16 Reactions
139 Replies
883 Views
Tafadhali, naomba msikate clip za mahojiano nusunusu kwa lengo la kupotosha maana na kuzua taharuki, ilhali nia ilikuwa ni njema kuomba Arena kwa faida ya tasnia nzima...kwanza kabisa 'sinaga'...
5 Reactions
21 Replies
426 Views
Bei za mafuta zimetangazwa, wakisema imechangiwa na vita mashariki ya kati. Ile stock walisema ipo ya kutosha hadi July imeishia wapi? Wazee wa kupiga dili washaingia mzigoni, yaani wanasahau...
11 Reactions
82 Replies
2K Views
Hapo juu wanakabana koo, Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief! Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti...
28 Reactions
70 Replies
2K Views
25 Aprili 2025 https://m.youtube.com/watch?v=wbk2XLS77j8 Ushindi haupatikani kwa kutegemea 'chawa' wala wingi wa kadi. Watu wana kadi na mapenzi kwa vyama hata vitatu. CCM iwe makini wanatakiwa...
49 Reactions
228 Replies
12K Views
Kwanza ijulikane wazo la kuwapunguza wamasai wa Tafara ya Ngorongoro na kuwapelekea nje ya Ngorongoro lipo kitambo tangua enzi za JK, Ila hakikuwa na nguvu na msukumo, wakati huo wazo lilio kuwepo...
2 Reactions
4 Replies
862 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…