15 September 2026
Maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani, yaliyofanyika leo Septemba 15
LIVE: JOHN HECHE ANAZUNGUMZA MUDA HUU MAKAO MAKUU YA CHADEMA
https://m.youtube.com/watch?v=lFT4XNZsv50...
Friends and Our Enemies,
Lisu,Heche na genge lake wamehusika moja kwa moja kwenye kuchochea na kuhamasisha vurugu za 29 October kisha kupelekea vugu vugu la kutaka kuipindua serikali kwa kutumia...
MTU Hana Silaha yoyote ile sio Kisu Wala Panga Wala Bunduki.
Huenda ana Tatizo la Afya ya Akili.
Huenda anapitia kipindi kigumu sana cha Uchumi Kiasi kwamba Hana pakushika, akilim kwake...
Katika hatua ya kuendelea kwa kesi ya uhaini inayomkabili Mhe. Tundu Lissu, Mahakama Kuu imeendelea na hatua ya re-examination ya shahidi wa upande wa utetezi, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara...
Yaan kwamba LEMA alona akiongea tu haitatosha, akaona aambatanishe na Nyaraka ya AI kuonyesha kua HECHE anaawasiiiano na DGIS.
Hapa LEMA alikua anajaribu kujenga ile picha ya HECHE NDIO ANAMFANYA...
Nimeona matusi na sintofahamu nyingi mtandaoni baada ya kuchapisha ujumbe wa kutoa pole kwa Mama Samia, hasa niliponukuu salamu za pole za Mwenyekiti Lissu kutoka gerezani.
Kwa sisi jamii...
Shahidi John Heche tayari amewasili mahakamani, ni siku nyingine tena tunaendelea kupambana na kesi ya uhaini ya Mh. Tundu Lissu aliyopewa na Jamhuri
Kaa tayari kwa updates
=======
Leo...
Ndugu zangu Watanzania,
Huyu Jamaa ni Mwamba kwelikweliiiiiii Ambaye Watu wenye Uwezo Mdogo Aina ya John Heche Hawatakaa Wamsahau Huyu Mwamba .
Mwamba Amemgeuza Geuza Heche utafikiri Samaki...
Machawa wanadandia kiki za kuuliza Chadema. Je makamu mstaafu Dr Mchimbi ambaye aliwahi kuwa katibu mkuu mbona mpaka leo hajaenda kutoa pole. Hilo ndilo swali la kujiuliza mwezi mmoja tu alikuwa...
1. Mods, wengine mlifika Hadi inbox kunionya. Mbarikiwe sana.🙏🙏
2. Members wote niliotukana nao, ikiwemo Leo. Mnisamehe 7*70
3. Members walioyashuhudia matusi yangu na kuwakera.
Siijui kesho...
Kafulila na Ramani ya Uchumi wa Dola Trilioni Moja
====
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Tanzania inaweza kufikia uchumi...
Polisi huwa wanaita kila mtu kuchukua maelezo yake kuhusu tuhuma zozote zile kabla ya kufikishwa mahakamani. Tundu lissu kapitia mengi
Kitendo cha Freeman Mbowe kutokuitwa kuhojiwa kwa chochote...
Kwa mliokuwepo Arusha mwaka 2010 mtakumbuka siku ya kutangaza matokeo ya uchaguzi wa ubunge hali ilivyokuwa pale nje ya manispaa. Kulikuwa na umati mkubwa wa watu ukishinikiza Lema atangazwe kama...
Ukiona mtu kipindi hiki kigumu kwa maisha ya Lisu mtu anaibua mvurugano, ujue huyo ni pandikizi a CCM.
Akili ya kawaida inakwambia kuwa muda huu ni kupigania maisha na uhuru wa Lisu. Mtu ambaye...
Mwenye interest asome hili andiko.
..........Congress implemented Clause 1, and the resulting elements of the offense are asfollows:
1. A person who owes an allegiance to the United States
2...
Maswali kama Heche una magari mangapi, uliyanunua lini, hoteli Dubai ulikuwa unalipiwa na nani, nani kakuwekea pesa benki, yatasaidia nini kuthibitisha uhaini wa Lissu.
Kinachoendelea sasa...
Wakuu,
Kuna suala limekuwa likichanganywa hapa hivi maridhiano ni kati ya serikali ya CCM na vyama vya upinzani? au ni kati ya Serikali ya CCM na wananchi, katika mambo ambayo yanatakafaklisha...
Mimi sio mwanasiasa lkn ni mfuatiliaji mzuri wa siasa na wanasiasa kwa muda mrefu.
Kabla ya Zitto kufukuzwa Chadema 2015 nakumbuka nilitoa ushauri kama huu, akasema yeye atakuwa wa mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.