Tanzania hii hasa Tanganyika hali ni tete kwa sasa nipo Morogoro, nashuhudia mashindan ya kupandisha nauli kwa vyombo vya usafirishaji huku wakida EWURA imepandisha bei ya mafuta, wapo...
Ndugu zangu Watanzania,
Spika wa Bunge Letu Tukufu Mheshimiwa Zungu Ameitisha Kikao cha Dharura kwa ajili ya kujadili Mwenendo Mzima wa hali ya upatikanaji wa Mafuta Nchini,bei ya mafuta na hatua...
Ulimwengu wa sasa elimu kubwa yafaa ipewe kipaumbele sana kutokana na ushindani wa kidunia, Kuna nchi Duniani ambazo kwao Degree ni Elimu msingi (kwamba lazima kila mtu awe nayo).
Naomba nishauri...
Moja kwa Moja kwenye maada.
Kabla ya yote nadeclare interest, mimi Nangu Nyau mteja mzuri sana wa madada wauza papuchi aka wauza K aka makahaba.
Pamoja na heshima yangu kwenye mambo nyeti hili...
DIWANI AFARIKI DUNIA.
Diwani wa Viti Maalum wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Semeni Musa Mtoka, alimefariki dunia leo Machi 31, 2026.
Marehemu Mtoka amefariki Dunua wakati alipokuwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi 2026, alifanya mazungumzo katika Ikulu ya Dar es Salaam na wagombea wa vyama vya siasa waliowania nafasi ya...
Mhe. Katibu Mkuu,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
YAH: KUJIUZULU NAFASI YA KATIBU WA KANDA - KASKAZINI
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kwa heshima kubwa ninapenda...
Habari wanabodi.... Kauli ya Rais ni Sheria....
Watanzania wote tuna imani na tunaamini kwamba Rais akitoa kauli juu ya jambo fulani bhasi hakuna mtu wa kupinga, kinachofuata hua ni utekelezaji...
TANU baba mzazi wa CCM aliyezaliwa 07/07/1954 na kuzikwa mwaka 05/02/1977 aliondoka na mambo yake yote.
Kuzaliwa kwa CCM kulichagizwa na sababu ya Muungano wa nchi mbili Tanganyika ambaye ni...
Ni katika Salamu za Pasaka za mwaka huu wa 2026 Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza amesema kwamba kwa sasa vijana hawana cha...
Wakuu,
Katika vifo vya viongozi vilivyotokea hivi karibuni comment sections mtandaoni zilikuwa zimesheheni furaha ya Wananchi huku wakishikuru kwa 'kidogo' walichopewa. Hii imekuwa tofauti kwa...
Na. M. M. Mwanakijiji
Tuko Ripoti za CAG zilipoanza kuwekwa hadharani hadi hii leo kuna jambo moja halijabadilika. Wamekuwepo ma CAGs kadhaa walioandika ripoti zilizooneha weledi wa hali ya juu -...
CAG Kichere nakupongeza kwa kuonyesha madudu ya kutisha ya serikali inayoongozwa na Rais Samia. Mashirika ya Umma sasa yanashindana kupata hasara.
CAG Kichere umetuonyesha hasara za Atcl, Bwawa la...
Nashangaa kuona Kuna upinzani washaanza kutoa mapovu it means licha ya kukaa bungeni akina heche hawajui utaratibu wa kufanyia KAZI report ya CAG...shame on you.
Huwezi ukamshtaki mtu bila kumpa...
Rais Samia na mwanao andaeni mlio
Rais Samia na mwanao Abdul andaeni mlio mtakaokuwa mkilia pale muda wa kukandwa kwenu utakapofika kwa madudu mnayoyafanya mkiwa Ikulu.
1. Kisiasa
Kisiasa Rais...
Vita Iran: Tanzania yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta
Serikali nchini Tanzania imetangaza bei mpya ya juu ya mafuta inayoanza kutekelezwa hii leo Jumatano tarehe mosi Aprili 2026.
Kulingana na...
Kulingana na hali ya Mvutano unaoendelea Masharaiki ya Kati Mataifa mengi kwa sasa yanapitia hali ngumu kwenye issue ya mafuta hasa baada ya Iran kufunga Mlango mkuu wa bahari ya Hormuz...
Kwema wakuu, amani ya Bwana iwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Rejea mada tajwa.
Wakuu, Lissu na makamu wake Heche Mungu awabariki sana. Kwa sasa kama CCM hawajui ,asilimia 85 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.