Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Enzi za jiwe tuliogopa kuchunguza vyeti FEKI kwenye majeshi hasa jeshi la polisi, ILA Nina wasi wasi huyu shahidi Amini Mihamba kwenye kesi inayomkabili Tundu Lissu Kuna mmoja alikuwa anesoma na...
8 Reactions
11 Replies
201 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 10 Agosti, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia...
26 Reactions
238 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA Wameumia sana kuona Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ameonana na kufanya Mazungumzo na...
4 Reactions
36 Replies
285 Views
Huenda Namba za simu pekee zinazopatikana na kupikelewa ni AZAM MEDIA, na Makampuni ya Mitandao ya Simu ( Kwa UFUPI Sekta Binafsi Iko vizuri). Ebwanaaa Njooo kwenye Taasisi za Serikali Kwanza...
1 Reactions
9 Replies
51 Views
Wanabodi, Angalizo. Simple minds discuss people, great minds discuss ideas, hili sio bandiko la kudiscuss people, ndio maana hakuna jina la mtu yeyote limetajwa humu, hivyo nakuomba hata kama...
2 Reactions
10 Replies
148 Views
In preparation for the Kizimkazi Festival (Kizimkazi Festival 2026), Vice President of the United Republic of Tanzania Ambassador Dr. Emmanuel Nchimbi has arrived in Zanzibar today, August 11...
2 Reactions
15 Replies
215 Views
================= Tumuulize Bwana Kamusi tujue exactly maana ya neno "nyukua" na mnyambuliko wake... Na hii ndiyo maana yake... NYUKUA: Ni kitenzi cha Kiswahili kinachomaanisha kufinya...
3 Reactions
16 Replies
387 Views
Najaribu kutafakari namna ya kutoka na picha kubwa kwenye falsafa za 4R za Rais Samia. Kwa kuwa falsafa hizo zimejikita zaidi katika misingi ya siasa bora na demokrasia, Je sio vema zikajumuishwa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu, amewajibu wakosoaji wanaojiuliza na kuhoji kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar, akieleza kuwa ushindi huo mkubwa wa asilimia 97 ulitokana na mshikamano mkubwa kati ya...
6 Reactions
69 Replies
1K Views
Mkakati au "project" mbalimbali za kisiasa zenye lengo la kuibomoa, kuidhoofisha au kuigawa CHADEMA zimefeli kwa kiasi kikubwa, kwani chama hicho bado kimesimama imara kama nguzo kuu ya upinzani...
12 Reactions
32 Replies
258 Views
Kwanza, Ninampongeza Waziri mkuu kwa kutatua mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo uliodumu kwa siku 3 mfufulizo. Katikati ya mgomo huo mpaka kutatuliwa kwake tumeona na kusikia mengi hususani...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwako Rais wa JMT, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Awali ya yote natanguliza shukrani kwa Mwenyezi Mungu kutujalia afya njema na kutoa pole nyingi kwa wote waliopoteza Ndugu, jamaa na marafiki kutokana...
1 Reactions
19 Replies
513 Views
Kwako Rais wa JMT Mhe.Samia Suluhu Hassan, ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe.Rais, kwa namna ya pekee pekee ninapenda kuchukua nafasi kukupongeza kwa kuwa kielelezo...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari wana jf, Huu ndio ushauri wangu kwa Rais Samia , CCM ,Vyama vya Upinzani na watanzania kwa ujumla hususani katika maridhiano na kuliponya taifa kunakozungumzwa . Kwa katiba tuliyonayo...
0 Reactions
4 Replies
51 Views
Wakili Peter Madeleka ametoa wito wa kufutwa kwa kesi za ugaidi zinazoendelea katika mahakama mbalimbali nchini, akieleza kuwa hazina msingi wa kisheria iwapo hakuna vitendo halisi vya ugaidi...
1 Reactions
1 Replies
28 Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu Padri Ameonyesha waziwazi kuwa na chuki binafsi na Rais wetu Mpendwa,ameonyesha tangia awali kuwa na kinyongo na utawala huu, ameonyesha kuwa na dharau na maneno ya...
5 Reactions
249 Replies
5K Views
kumekua na kauli za viongozi zilizojaa dharau majivuno kejeli kuhusu suala la october 29. Kuendelea kuongelea suala hili tena kwa dharau ni kuamsha hisia za victim. Sio kwamba serikali imeshinda...
1 Reactions
2 Replies
30 Views
Nitaweka baadhi tuu ya miradi n programu kubwa na muhimu alizofanya na anazoendelea kufanya ambazo ni game changer ya maendeleo ya Nchi. 1. Amemaliza kupeleka umeme Kila Kijiji,Sasa anaendeleza...
6 Reactions
265 Replies
4K Views
Peter Madeleka:"Sasa kwa nini kwenye tukio hili kubwa, tena ambalo linahusisha mauaji ya watu zaidi ya mia tano, Polisi hawafanyi kazi yao, TISS pia inafanya kazi gani? Eh? Kwa hiyo kwenda...
11 Reactions
61 Replies
704 Views
Kama TEC haiku raise issue hizi, basi imejitia unajisi 1. Kupigwa kwa Fr. Kitima and government inaction to investigate the atrocity 2. Utekaji 3. Mauaji 4. Katiba mpya 5. Tume huru ya UCHAGUZI...
12 Reactions
37 Replies
519 Views
Back
Top Bottom