Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

15 September 2026 Maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani, yaliyofanyika leo Septemba 15 LIVE: JOHN HECHE ANAZUNGUMZA MUDA HUU MAKAO MAKUU YA CHADEMA https://m.youtube.com/watch?v=lFT4XNZsv50...
8 Reactions
25 Replies
388 Views
Friends and Our Enemies, Lisu,Heche na genge lake wamehusika moja kwa moja kwenye kuchochea na kuhamasisha vurugu za 29 October kisha kupelekea vugu vugu la kutaka kuipindua serikali kwa kutumia...
2 Reactions
55 Replies
299 Views
MTU Hana Silaha yoyote ile sio Kisu Wala Panga Wala Bunduki. Huenda ana Tatizo la Afya ya Akili. Huenda anapitia kipindi kigumu sana cha Uchumi Kiasi kwamba Hana pakushika, akilim kwake...
1 Reactions
5 Replies
80 Views
Katika hatua ya kuendelea kwa kesi ya uhaini inayomkabili Mhe. Tundu Lissu, Mahakama Kuu imeendelea na hatua ya re-examination ya shahidi wa upande wa utetezi, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara...
5 Reactions
16 Replies
327 Views
Wakuu, Kuna ndugu wa LISSU hapa anadai kua 'Lema na Mbowe, ndio walikua wanamtembelea LISSU majira ya usiku !!!
14 Reactions
50 Replies
1K Views
Yaan kwamba LEMA alona akiongea tu haitatosha, akaona aambatanishe na Nyaraka ya AI kuonyesha kua HECHE anaawasiiiano na DGIS. Hapa LEMA alikua anajaribu kujenga ile picha ya HECHE NDIO ANAMFANYA...
1 Reactions
5 Replies
88 Views
Nimeona matusi na sintofahamu nyingi mtandaoni baada ya kuchapisha ujumbe wa kutoa pole kwa Mama Samia, hasa niliponukuu salamu za pole za Mwenyekiti Lissu kutoka gerezani. Kwa sisi jamii...
14 Reactions
74 Replies
1K Views
Shahidi John Heche tayari amewasili mahakamani, ni siku nyingine tena tunaendelea kupambana na kesi ya uhaini ya Mh. Tundu Lissu aliyopewa na Jamhuri Kaa tayari kwa updates ======= Leo...
30 Reactions
236 Replies
8K Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu Jamaa ni Mwamba kwelikweliiiiiii Ambaye Watu wenye Uwezo Mdogo Aina ya John Heche Hawatakaa Wamsahau Huyu Mwamba . Mwamba Amemgeuza Geuza Heche utafikiri Samaki...
5 Reactions
107 Replies
704 Views
Machawa wanadandia kiki za kuuliza Chadema. Je makamu mstaafu Dr Mchimbi ambaye aliwahi kuwa katibu mkuu mbona mpaka leo hajaenda kutoa pole. Hilo ndilo swali la kujiuliza mwezi mmoja tu alikuwa...
3 Reactions
19 Replies
284 Views
1. Mods, wengine mlifika Hadi inbox kunionya. Mbarikiwe sana.🙏🙏 2. Members wote niliotukana nao, ikiwemo Leo. Mnisamehe 7*70 3. Members walioyashuhudia matusi yangu na kuwakera. Siijui kesho...
7 Reactions
20 Replies
216 Views
Kafulila na Ramani ya Uchumi wa Dola Trilioni Moja ==== Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Tanzania inaweza kufikia uchumi...
6 Reactions
35 Replies
770 Views
Polisi huwa wanaita kila mtu kuchukua maelezo yake kuhusu tuhuma zozote zile kabla ya kufikishwa mahakamani. Tundu lissu kapitia mengi Kitendo cha Freeman Mbowe kutokuitwa kuhojiwa kwa chochote...
0 Reactions
22 Replies
189 Views
Kwa mliokuwepo Arusha mwaka 2010 mtakumbuka siku ya kutangaza matokeo ya uchaguzi wa ubunge hali ilivyokuwa pale nje ya manispaa. Kulikuwa na umati mkubwa wa watu ukishinikiza Lema atangazwe kama...
7 Reactions
28 Replies
392 Views
Ukiona mtu kipindi hiki kigumu kwa maisha ya Lisu mtu anaibua mvurugano, ujue huyo ni pandikizi a CCM. Akili ya kawaida inakwambia kuwa muda huu ni kupigania maisha na uhuru wa Lisu. Mtu ambaye...
8 Reactions
32 Replies
281 Views
Mwenye interest asome hili andiko. ..........Congress implemented Clause 1, and the resulting elements of the offense are asfollows: 1. A person who owes an allegiance to the United States 2...
0 Reactions
2 Replies
16 Views
Maswali kama Heche una magari mangapi, uliyanunua lini, hoteli Dubai ulikuwa unalipiwa na nani, nani kakuwekea pesa benki, yatasaidia nini kuthibitisha uhaini wa Lissu. Kinachoendelea sasa...
9 Reactions
25 Replies
346 Views
Wakuu, Kuna suala limekuwa likichanganywa hapa hivi maridhiano ni kati ya serikali ya CCM na vyama vya upinzani? au ni kati ya Serikali ya CCM na wananchi, katika mambo ambayo yanatakafaklisha...
0 Reactions
4 Replies
44 Views
Mimi sio mwanasiasa lkn ni mfuatiliaji mzuri wa siasa na wanasiasa kwa muda mrefu. Kabla ya Zitto kufukuzwa Chadema 2015 nakumbuka nilitoa ushauri kama huu, akasema yeye atakuwa wa mwisho...
15 Reactions
37 Replies
524 Views
Back
Top Bottom