Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tanzania hii hasa Tanganyika hali ni tete kwa sasa nipo Morogoro, nashuhudia mashindan ya kupandisha nauli kwa vyombo vya usafirishaji huku wakida EWURA imepandisha bei ya mafuta, wapo...
5 Reactions
11 Replies
151 Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Spika wa Bunge Letu Tukufu Mheshimiwa Zungu Ameitisha Kikao cha Dharura kwa ajili ya kujadili Mwenendo Mzima wa hali ya upatikanaji wa Mafuta Nchini,bei ya mafuta na hatua...
1 Reactions
Replies
Views
Ulimwengu wa sasa elimu kubwa yafaa ipewe kipaumbele sana kutokana na ushindani wa kidunia, Kuna nchi Duniani ambazo kwao Degree ni Elimu msingi (kwamba lazima kila mtu awe nayo). Naomba nishauri...
6 Reactions
104 Replies
795 Views
Moja kwa Moja kwenye maada. Kabla ya yote nadeclare interest, mimi Nangu Nyau mteja mzuri sana wa madada wauza papuchi aka wauza K aka makahaba. Pamoja na heshima yangu kwenye mambo nyeti hili...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
DIWANI AFARIKI DUNIA. Diwani wa Viti Maalum wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Semeni Musa Mtoka, alimefariki dunia leo Machi 31, 2026. Marehemu Mtoka amefariki Dunua wakati alipokuwa...
3 Reactions
5 Replies
66 Views
  • Redirect
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi 2026, alifanya mazungumzo katika Ikulu ya Dar es Salaam na wagombea wa vyama vya siasa waliowania nafasi ya...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mhe. Katibu Mkuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) YAH: KUJIUZULU NAFASI YA KATIBU WA KANDA - KASKAZINI Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Kwa heshima kubwa ninapenda...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wanabodi.... Kauli ya Rais ni Sheria.... Watanzania wote tuna imani na tunaamini kwamba Rais akitoa kauli juu ya jambo fulani bhasi hakuna mtu wa kupinga, kinachofuata hua ni utekelezaji...
0 Reactions
7 Replies
62 Views
TANU baba mzazi wa CCM aliyezaliwa 07/07/1954 na kuzikwa mwaka 05/02/1977 aliondoka na mambo yake yote. Kuzaliwa kwa CCM kulichagizwa na sababu ya Muungano wa nchi mbili Tanganyika ambaye ni...
1 Reactions
0 Replies
17 Views
Ni katika Salamu za Pasaka za mwaka huu wa 2026 Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza amesema kwamba kwa sasa vijana hawana cha...
14 Reactions
25 Replies
375 Views
Wakuu, Katika vifo vya viongozi vilivyotokea hivi karibuni comment sections mtandaoni zilikuwa zimesheheni furaha ya Wananchi huku wakishikuru kwa 'kidogo' walichopewa. Hii imekuwa tofauti kwa...
9 Reactions
13 Replies
230 Views
Wazee wa Busara na hekima akina Warioba, Bagonza, ( sijui kama kuna wengine) tumieni buaara na hekima zenu kumshawishi Samia amuachie Lisu apate matibabu. Butiku ameshakengeuka! Nani mwingine...
2 Reactions
25 Replies
236 Views
Na. M. M. Mwanakijiji Tuko Ripoti za CAG zilipoanza kuwekwa hadharani hadi hii leo kuna jambo moja halijabadilika. Wamekuwepo ma CAGs kadhaa walioandika ripoti zilizooneha weledi wa hali ya juu -...
27 Reactions
30 Replies
457 Views
CAG Kichere nakupongeza kwa kuonyesha madudu ya kutisha ya serikali inayoongozwa na Rais Samia. Mashirika ya Umma sasa yanashindana kupata hasara. CAG Kichere umetuonyesha hasara za Atcl, Bwawa la...
4 Reactions
11 Replies
181 Views
Nashangaa kuona Kuna upinzani washaanza kutoa mapovu it means licha ya kukaa bungeni akina heche hawajui utaratibu wa kufanyia KAZI report ya CAG...shame on you. Huwezi ukamshtaki mtu bila kumpa...
1 Reactions
25 Replies
183 Views
Rais Samia na mwanao andaeni mlio Rais Samia na mwanao Abdul andaeni mlio mtakaokuwa mkilia pale muda wa kukandwa kwenu utakapofika kwa madudu mnayoyafanya mkiwa Ikulu. 1. Kisiasa Kisiasa Rais...
41 Reactions
122 Replies
3K Views
Vita Iran: Tanzania yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta Serikali nchini Tanzania imetangaza bei mpya ya juu ya mafuta inayoanza kutekelezwa hii leo Jumatano tarehe mosi Aprili 2026. Kulingana na...
2 Reactions
13 Replies
115 Views
Kulingana na hali ya Mvutano unaoendelea Masharaiki ya Kati Mataifa mengi kwa sasa yanapitia hali ngumu kwenye issue ya mafuta hasa baada ya Iran kufunga Mlango mkuu wa bahari ya Hormuz...
4 Reactions
10 Replies
114 Views
Kwema wakuu, amani ya Bwana iwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake. Rejea mada tajwa. Wakuu, Lissu na makamu wake Heche Mungu awabariki sana. Kwa sasa kama CCM hawajui ,asilimia 85 ya...
11 Reactions
11 Replies
166 Views
Back
Top Bottom