Na. M. M. Mwanakijiji
Tuko Ripoti za CAG zilipoanza kuwekwa hadharani hadi hii leo kuna jambo moja halijabadilika. Wamekuwepo ma CAGs kadhaa walioandika ripoti zilizooneha weledi wa hali ya juu -...
Ni wazi kwamba mkapa alitawala kama rais wa muungano kwa miaka kumi,kafatiwa na kikwete ambaye naye anatimiza kumi mwakani. Nikiwaangalia wanasiasa wa zanzibar hakuna hata mmoja mwenye nguvu bara...
Bajeti mpya ya ununuzi wa Binadamu imepangwa, lengo kuu ni kununua viongozi kadhaa wa Chadema ili kudanganya umma kwamba chama hicho kina mgogoro
Sababu kuu ya kujaribu Ujinga huu ulioshindwa...
Habari za muda huu Wana Bodi na Great Thinkers wote,
Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Leo nimekuja na jambo ambalo linaendelea "chini ya kapeti" lakini lina athari...
Sijui kama Kuna Mji wowote ambao ni makao Makuu ya Mkoa au Mji wa kibiashara ambako Serikali ya Samia haijajenga au kuendelea na ujenzi wa stendi.
Mfano Mkoa wa Manyara Mji wa Kateshi Kuna...
Hamjambo wote!
1. Nimemsikia RC Mtaka akiongea Siku ya wanawake. Akijaribu kuikosoa kauli nyuma ya Kila mafanikio ya Mwanaume kuna mwanamke.
2. Anthony Mtaka kauli hiyo aliikosoa vikali kauli...
RAIS SAMIA AKUTANA NA WAGOMBEA URAIS WA TANZANIA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi, 2026, alikutana...
Wanabodi,
Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake!
Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la mwananchi la leo,
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/uchambuzi-wa-mayala-urais-2030-ndoto-halali-sio-jinai-5409324
Kuna ndoto za kweli na...
NI LEO: HOTUBA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU 2026-2027
MUWASILISHAJI: Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
MAHALI: Bungeni, Dodoma.
TAREHE: Aprili 1...
Na GULATONE MASIGA
Katika kipindi cha hivi karibuni, mjadala kuhusu ongezeko la bei za mafuta umekuwa mkubwa mtaani na katika majukwaa ya kitaifa na kimataifa. Hoja hii si mpya katika historia ya...
Ama kweli duniani kuna vituko na malimwengu ndio wahanga wa vituko,
Magenge ya uhalifu nchini yapo mengi sana, lakini hili la Lebanon limevuja rekodi,
Kama huyajui magenge yanayotisha/yenye...
Uzi wa matukio mbalimbali ya CHADEMA . Madhila wanayopitia.. Vita wanazopigana.. Mafanikio wanayopa .. Na namna wanavyomgaragaza adui kwenye kila kona.. Kila saa na kila wakati
Karibuni wote...
Tafadhali, naomba msikate clip za mahojiano nusunusu kwa lengo la kupotosha maana na kuzua taharuki, ilhali nia ilikuwa ni njema kuomba Arena kwa faida ya tasnia nzima...kwanza kabisa 'sinaga'...
Bei za mafuta zimetangazwa, wakisema imechangiwa na vita mashariki ya kati. Ile stock walisema ipo ya kutosha hadi July imeishia wapi?
Wazee wa kupiga dili washaingia mzigoni, yaani wanasahau...
Hapo juu wanakabana koo,
Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief!
Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti...
25 Aprili 2025
https://m.youtube.com/watch?v=wbk2XLS77j8
Ushindi haupatikani kwa kutegemea 'chawa' wala wingi wa kadi. Watu wana kadi na mapenzi kwa vyama hata vitatu. CCM iwe makini wanatakiwa...
Kwanza ijulikane wazo la kuwapunguza wamasai wa Tafara ya Ngorongoro na kuwapelekea nje ya Ngorongoro lipo kitambo tangua enzi za JK, Ila hakikuwa na nguvu na msukumo, wakati huo wazo lilio kuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.