Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami, mke wake, mtoto pamoja na dereva wao, wanahofiwa kufariki dunia baada ya gari walilokuwa...
Mwandishi wa habari nchini Uganda, Arnold Anthony Mukose, aliyeripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana mnamo Machi 29, 2026, amefikishwa mahakamani na kupelekwa gerezani kwa tuhuma za kutangaza...
Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu amesema kuwa Halmashauri zitakazobainika kuwa zilipuuza agizo la Serikali kununua dawa za malaria pamoja na kuwa zimepewa fedha, basi hatua kali zitachukuliwa...
Wakuu,
Njia iliyobaki kwa Rais Samia kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi kutokana na mauaji ya Oktoba 29, ni kuangusha lawama zote kwa vyombo vya ulinzi, kisha apishe kiti kuruhusu...
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.
Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya...
Taarifa njema
Kwa wale wenye KADI za uanachama CCM na machawa, hakikisha una kadi yako ya CCM, Yani wewe ukifika tu sheli, chomoa KADI yako muoneshe muuza mafuta, basi atakuuzia mafuta kwa bei...
Ndugu Watanzania,
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi.
Amekutana Na kufanya Mazungumzo na Mkuu wa Kanisa la Katoliki Duniani Papa Leo ndani...
Na. M. M. Mwanakijiji
Tuko Ripoti za CAG zilipoanza kuwekwa hadharani hadi hii leo kuna jambo moja halijabadilika. Wamekuwepo ma CAGs kadhaa walioandika ripoti zilizooneha weledi wa hali ya juu -...
Ni wazi kwamba mkapa alitawala kama rais wa muungano kwa miaka kumi,kafatiwa na kikwete ambaye naye anatimiza kumi mwakani. Nikiwaangalia wanasiasa wa zanzibar hakuna hata mmoja mwenye nguvu bara...
Bajeti mpya ya ununuzi wa Binadamu imepangwa, lengo kuu ni kununua viongozi kadhaa wa Chadema ili kudanganya umma kwamba chama hicho kina mgogoro
Sababu kuu ya kujaribu Ujinga huu ulioshindwa...
Habari za muda huu Wana Bodi na Great Thinkers wote,
Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Leo nimekuja na jambo ambalo linaendelea "chini ya kapeti" lakini lina athari...
Sijui kama Kuna Mji wowote ambao ni makao Makuu ya Mkoa au Mji wa kibiashara ambako Serikali ya Samia haijajenga au kuendelea na ujenzi wa stendi.
Mfano Mkoa wa Manyara Mji wa Kateshi Kuna...
Hamjambo wote!
1. Nimemsikia RC Mtaka akiongea Siku ya wanawake. Akijaribu kuikosoa kauli nyuma ya Kila mafanikio ya Mwanaume kuna mwanamke.
2. Anthony Mtaka kauli hiyo aliikosoa vikali kauli...
RAIS SAMIA AKUTANA NA WAGOMBEA URAIS WA TANZANIA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi, 2026, alikutana...
Wanabodi,
Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake!
Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la mwananchi la leo,
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/uchambuzi-wa-mayala-urais-2030-ndoto-halali-sio-jinai-5409324
Kuna ndoto za kweli na...
NI LEO: HOTUBA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU 2026-2027
MUWASILISHAJI: Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
MAHALI: Bungeni, Dodoma.
TAREHE: Aprili 1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.