Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami, mke wake, mtoto pamoja na dereva wao, wanahofiwa kufariki dunia baada ya gari walilokuwa...
7 Reactions
61 Replies
1K Views
Mwandishi wa habari nchini Uganda, Arnold Anthony Mukose, aliyeripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana mnamo Machi 29, 2026, amefikishwa mahakamani na kupelekwa gerezani kwa tuhuma za kutangaza...
0 Reactions
5 Replies
91 Views
Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu amesema kuwa Halmashauri zitakazobainika kuwa zilipuuza agizo la Serikali kununua dawa za malaria pamoja na kuwa zimepewa fedha, basi hatua kali zitachukuliwa...
0 Reactions
2 Replies
53 Views
Hii ni muhimu. Lazima kiandika historia ya CHADEMA kuweka kumbukumbu ya mapito waliyopitia.
3 Reactions
6 Replies
51 Views
  • Redirect
Wakuu, Njia iliyobaki kwa Rais Samia kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi kutokana na mauaji ya Oktoba 29, ni kuangusha lawama zote kwa vyombo vya ulinzi, kisha apishe kiti kuruhusu...
0 Reactions
Replies
Views
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu. Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya...
88 Reactions
726 Replies
18K Views
Taarifa njema Kwa wale wenye KADI za uanachama CCM na machawa, hakikisha una kadi yako ya CCM, Yani wewe ukifika tu sheli, chomoa KADI yako muoneshe muuza mafuta, basi atakuuzia mafuta kwa bei...
7 Reactions
12 Replies
144 Views
Ndugu Watanzania, Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi. Amekutana Na kufanya Mazungumzo na Mkuu wa Kanisa la Katoliki Duniani Papa Leo ndani...
1 Reactions
5 Replies
199 Views
https://www.youtube.com/watch?v=Ku1LCNIqQq8
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Na. M. M. Mwanakijiji Tuko Ripoti za CAG zilipoanza kuwekwa hadharani hadi hii leo kuna jambo moja halijabadilika. Wamekuwepo ma CAGs kadhaa walioandika ripoti zilizooneha weledi wa hali ya juu -...
35 Reactions
37 Replies
694 Views
Ni wazi kwamba mkapa alitawala kama rais wa muungano kwa miaka kumi,kafatiwa na kikwete ambaye naye anatimiza kumi mwakani. Nikiwaangalia wanasiasa wa zanzibar hakuna hata mmoja mwenye nguvu bara...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Bajeti mpya ya ununuzi wa Binadamu imepangwa, lengo kuu ni kununua viongozi kadhaa wa Chadema ili kudanganya umma kwamba chama hicho kina mgogoro Sababu kuu ya kujaribu Ujinga huu ulioshindwa...
18 Reactions
27 Replies
977 Views
Wazee wa Busara na hekima akina Warioba, Bagonza, ( sijui kama kuna wengine) tumieni buaara na hekima zenu kumshawishi Samia amuachie Lisu apate matibabu. Butiku ameshakengeuka! Nani mwingine...
5 Reactions
40 Replies
424 Views
Habari za muda huu Wana Bodi na Great Thinkers wote, Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa Taifa. Leo nimekuja na jambo ambalo linaendelea "chini ya kapeti" lakini lina athari...
8 Reactions
11 Replies
279 Views
Sijui kama Kuna Mji wowote ambao ni makao Makuu ya Mkoa au Mji wa kibiashara ambako Serikali ya Samia haijajenga au kuendelea na ujenzi wa stendi. Mfano Mkoa wa Manyara Mji wa Kateshi Kuna...
3 Reactions
170 Replies
2K Views
Hamjambo wote! 1. Nimemsikia RC Mtaka akiongea Siku ya wanawake. Akijaribu kuikosoa kauli nyuma ya Kila mafanikio ya Mwanaume kuna mwanamke. 2. Anthony Mtaka kauli hiyo aliikosoa vikali kauli...
24 Reactions
210 Replies
2K Views
RAIS SAMIA AKUTANA NA WAGOMBEA URAIS WA TANZANIA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi, 2026, alikutana...
6 Reactions
50 Replies
757 Views
Wanabodi, Saa hizi ni saa 12 :00 asubuhi, kumekucha na makucha yake! Siku ya leo, tarehe 21,leo ndio siku ya siku, imebatizwa jina la ”The Twenty First to remember!”, yaani ni ”Ishirini na moja...
52 Reactions
661 Replies
32K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la mwananchi la leo, https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/uchambuzi-wa-mayala-urais-2030-ndoto-halali-sio-jinai-5409324 Kuna ndoto za kweli na...
4 Reactions
10 Replies
150 Views
NI LEO: HOTUBA YA BAJETI OFISI YA WAZIRI MKUU 2026-2027 MUWASILISHAJI: Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. MAHALI: Bungeni, Dodoma. TAREHE: Aprili 1...
0 Reactions
4 Replies
104 Views
Back
Top Bottom