Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Ndonde Totinan amejiondoa rasmi katika nafasi yake pamoja na kujivua uanachama wa chama hicho, akieleza kuwa uamuzi...
3 Reactions
13 Replies
187 Views
Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake imeliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 12.5 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Hayo yameelezwa leo...
2 Reactions
23 Replies
310 Views
Yangu ni hayo kwa Leo. Chadema iko kwenye mioyo ya watu. NI IMANI THABITI NDANI yangu, ndani yako na wewe. CHADEMA NI KAMA IMANI YA DINI, HUWEZI KUIUA.
4 Reactions
3 Replies
55 Views
  • Redirect
BoT yasitisha uuzaji wa dhahabu kufuatia kushuka kwa bei duniani
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Anaendelea kuonyesha na kudhihirisha kuwa yeye ni chaguo la Mungu Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu Mwenyewe...
1 Reactions
Replies
Views
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdalla Hamid amewasilisha salamu za pole za Chama kwa Algeria, kutokana na kifo...
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Tanzania hii hasa Tanganyika hali ni tete kwa sasa nipo Morogoro, nashuhudia mashindan ya kupandisha nauli kwa vyombo vya usafirishaji huku wakida EWURA imepandisha bei ya mafuta, wapo...
6 Reactions
11 Replies
175 Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Spika wa Bunge Letu Tukufu Mheshimiwa Zungu Ameitisha Kikao cha Dharura kwa ajili ya kujadili Mwenendo Mzima wa hali ya upatikanaji wa Mafuta Nchini,bei ya mafuta na hatua...
1 Reactions
Replies
Views
Ulimwengu wa sasa elimu kubwa yafaa ipewe kipaumbele sana kutokana na ushindani wa kidunia, Kuna nchi Duniani ambazo kwao Degree ni Elimu msingi (kwamba lazima kila mtu awe nayo). Naomba nishauri...
6 Reactions
104 Replies
805 Views
Moja kwa Moja kwenye maada. Kabla ya yote nadeclare interest, mimi Nangu Nyau mteja mzuri sana wa madada wauza papuchi aka wauza K aka makahaba. Pamoja na heshima yangu kwenye mambo nyeti hili...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
DIWANI AFARIKI DUNIA. Diwani wa Viti Maalum wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Semeni Musa Mtoka, alimefariki dunia leo Machi 31, 2026. Marehemu Mtoka amefariki Dunua wakati alipokuwa...
3 Reactions
5 Replies
77 Views
  • Redirect
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi 2026, alifanya mazungumzo katika Ikulu ya Dar es Salaam na wagombea wa vyama vya siasa waliowania nafasi ya...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mhe. Katibu Mkuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) YAH: KUJIUZULU NAFASI YA KATIBU WA KANDA - KASKAZINI Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Kwa heshima kubwa ninapenda...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wanabodi.... Kauli ya Rais ni Sheria.... Watanzania wote tuna imani na tunaamini kwamba Rais akitoa kauli juu ya jambo fulani bhasi hakuna mtu wa kupinga, kinachofuata hua ni utekelezaji...
0 Reactions
7 Replies
74 Views
TANU baba mzazi wa CCM aliyezaliwa 07/07/1954 na kuzikwa mwaka 05/02/1977 aliondoka na mambo yake yote. Kuzaliwa kwa CCM kulichagizwa na sababu ya Muungano wa nchi mbili Tanganyika ambaye ni...
2 Reactions
0 Replies
24 Views
CAG Kichere nakupongeza kwa kuonyesha madudu ya kutisha ya serikali inayoongozwa na Rais Samia. Mashirika ya Umma sasa yanashindana kupata hasara. CAG Kichere umetuonyesha hasara za Atcl, Bwawa la...
4 Reactions
11 Replies
190 Views
Nashangaa kuona Kuna upinzani washaanza kutoa mapovu it means licha ya kukaa bungeni akina heche hawajui utaratibu wa kufanyia KAZI report ya CAG...shame on you. Huwezi ukamshtaki mtu bila kumpa...
1 Reactions
25 Replies
185 Views
Rais Samia na mwanao andaeni mlio Rais Samia na mwanao Abdul andaeni mlio mtakaokuwa mkilia pale muda wa kukandwa kwenu utakapofika kwa madudu mnayoyafanya mkiwa Ikulu. 1. Kisiasa Kisiasa Rais...
41 Reactions
122 Replies
3K Views
Vita Iran: Tanzania yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta Serikali nchini Tanzania imetangaza bei mpya ya juu ya mafuta inayoanza kutekelezwa hii leo Jumatano tarehe mosi Aprili 2026. Kulingana na...
2 Reactions
13 Replies
131 Views
Back
Top Bottom