Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nmb hawachukui hatua yoyote kusaidia wateja wao. Kama mtu umesahau kadi na uko safarini inakula kwako. Nmb mnafeli wapi?
6 Reactions
62 Replies
1K Views
Kwanza wamekwishampa uhalali wa kumtambua kuwa yeye ni "Mheshimiwa Rais" halali licha ya waTanzania kutomchagua kwa kura halali. Mwezi August, 2025 waliomba wakutane naye kujadili maswala muhimu...
26 Reactions
48 Replies
741 Views
SGR Ina shida mahali , unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu mwanzo mpaka mwisho wa safari hii imekaaje ?
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Haya Bwana lakini kwa Mungu hakuna tweeter (X)
0 Reactions
3 Replies
57 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimemsikiliza vyema sana Padre Charles Kitima neno kwa neno na kwa Umakini Mkubwa sana na kuangalia Uso na Macho yake pamoja na kuangalia Moyo wake kupitia Maneno yake na...
6 Reactions
60 Replies
475 Views
CHADEMA ni chama chenye sera nzuri sana, maono ya juu na ya mbali ya karne ya 21 na watu wenye akili kubwa sana ila kwa bahati mbaya wamekuwa wa upande mmoja zaidi wa Ukristo. Ni nadra kukuta...
20 Reactions
202 Replies
2K Views
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu. Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya...
93 Reactions
901 Replies
23K Views
  • Featured
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imeahirishwa hadi Jumatatu, Agosti 17, 2026, baada ya upande wa Jamhuri kuomba muda zaidi kutokana na changamoto za kiafya alizopata...
11 Reactions
60 Replies
1K Views
Kutokana na kile kinachoonekana kwamba viongozi wa imani fulani wameenda kumuona Maza na kuendelea kutoa ufafanuzi wa mazungumzo yao na maza;kuna kila dalili kwamba Mwaipopo ataruka tena hewani ku...
5 Reactions
16 Replies
334 Views
https://www.youtube.com/live/pMhiTp9NL64?si=xROoNvI7LdkavRdN Mjadala wa PPP na Maendeleo ya Tanzania Waendelea Arusha == Mjadala kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)...
4 Reactions
17 Replies
79 Views
YERICKO NYERERE ALIA NA UNAFIKI WA PROF. ANNA TIBAIJUKA. HII NI COPY AND PASTE WADAU, ... NINAWASILISHA! Yericko Nyerere kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika: · Nchi hii unafiki ni asili...
2 Reactions
22 Replies
320 Views
Habari za wakati huu, Kwanza, nianze kwa kuweka mtazamo wangu wazi kwamba kazi lazima iendelee na maisha lazima yaendelee. Hata hivyo, pamoja na msimamo huo, nieleze wazi kusikitishwa kwangu na...
3 Reactions
64 Replies
595 Views
Huenda Namba za simu pekee zinazopatikana na kupikelewa ni AZAM MEDIA, na Makampuni ya Mitandao ya Simu ( Kwa UFUPI Sekta Binafsi Iko vizuri). Njooo kwenye Taasisi za Serikali; Kwanza Picha...
11 Reactions
33 Replies
231 Views
Nimefurah SANA Sana kusikia Baraza la Maaskofu kupitia Rais wao Tec akitoa maazimio ya kikao kilichofanyika ikulu ya DODOMA Kwanza nawapongeza maaskofu pamoja na Rais kwa kuridhiana. Dhidi ya...
6 Reactions
24 Replies
500 Views
Kila akifungua kinywa chake yanatoka maneno ya Shari tupu. Vitisho, kejeli, malalamiko, manung'uniko nk. Hakuna tena neno la faraja kutoka kinywani mwake. Hivi ni dalili kuwa hana amani moyoni au...
5 Reactions
9 Replies
150 Views
Ni sababu zipi hasa, hufanya mwanasiasa anaetoka upinzani na kujiunga CCM kufaidika, kushamiri na kuneemeka kisiasa, kijamii na kiuchumi, tofauti na mwanasiasa anaetoka CCM na kujiunga upinzani...
0 Reactions
2 Replies
30 Views
Jarida la Indegazette.be, katika makala yake iliyochapishwa Agosti 13, 2026, limeangazia Tume mpya ya Uchunguzi ya Tanzania inayoongozwa na Jaji Shabani Ally Lila, likisema jukumu kubwa la tume...
2 Reactions
12 Replies
202 Views
  • Redirect
Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu na watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi akiwa katika Mahakama ya uhujumu uchumi (maarufu kama Mahakama ya Mafisadi) iliyopo Mikocheni jijini Dar es...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Inasemekana amekamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi. Soma chini tujuzane kama ni kweli
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom