Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kulingana na hali ya Mvutano unaoendelea Masharaiki ya Kati Mataifa mengi kwa sasa yanapitia hali ngumu kwenye issue ya mafuta hasa baada ya Iran kufunga Mlango mkuu wa bahari ya Hormuz...
4 Reactions
10 Replies
125 Views
Kwema wakuu, amani ya Bwana iwe juu yenu kila mmoja kwa imani yake. Rejea mada tajwa. Wakuu, Lissu na makamu wake Heche Mungu awabariki sana. Kwa sasa kama CCM hawajui ,asilimia 85 ya...
11 Reactions
11 Replies
180 Views
Balozi Humphrey Polepole kabla ya kutekwa na kupotezwa alitabiri mambo mengi kwa nchi yetu Tanzania ikiwa itaendelea kuwa chini Rais Samia (2025-2030). Leo nawaletea tabiri mbili tu ambazo nimeona...
7 Reactions
12 Replies
290 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Februari, 2026, fursa za ajira 625,273 zimezalishwa Tanzania ambapo kati ya ajira zilizozalishwa, ajira 242,656 za wazawa zilitokana na...
0 Reactions
2 Replies
40 Views
Mfanyabiashara Azim Dewji amesema Iran imewahi kuisaidia Tanzania katika nyakati ngumu, ikiwemo msaada wa meli mbili za mafuta miaka ya 70 wakati wa uhaba mkubwa. Amesisitiza kuwa urafiki wa...
3 Reactions
35 Replies
397 Views
Sensa ni mpango wa kuhesabu idadi ya watu waliomo pamoja na Mambo Mengine, ikiwemo elimu Yao nk, lengo kuu likiwa ni kuwafikishia huduma kwa kadri ya idadi yao Baada ya Mauaji ya kinyama...
1 Reactions
3 Replies
50 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ametoa kauli nzito kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), akidai kuwa ripoti hiyo...
0 Reactions
2 Replies
50 Views
MIAKA 4 YA SAMIA, TRA YAKUSANYA TZS 121 TRILIONI. MIAKA 5 KABLA YA SAMIA ILIKUSANYA TZS 91 TRILIONI. Miaka minne (4) ya Rais Samia TRA imekusanya jumla ya TZS 120.8 Trilioni~121T. Wakati...
6 Reactions
72 Replies
2K Views
Nchini kwetu tuna vitaru vingi vinavyozalisha gesi asilia kutoka mikoa ya kusini (lindi ,mtwara) na hiyo gesi inafaa kwa matumizi mbalimbali (domestic & economically) Je kwanini serikali...
4 Reactions
14 Replies
167 Views
GHATI CHOMETE ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MHE. LUKUVI, IRINGA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Ghati Zephania Chomete (Mb), tarehe 31 Machi 2026 alishiriki ibada ya mazishi ya aliyekuwa...
1 Reactions
2 Replies
67 Views
Hongera sana Samia, hongera sana TRA ya Kamishna Mwenda na hongera sana Walipakodi wote. My Take Hizi ndio takwimu ambazo zinawaudhi sana Chadomo na wale mataga kuona Mama amekuwa extra...
2 Reactions
39 Replies
929 Views
Ndugu zangu Watanzania, Mamillioni kwa mamillioni ya watanzania wameonyesha kuguswa na kukoshwa sana na Hatua ya Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka...
0 Reactions
40 Replies
362 Views
Kuna ufisadi wa kutisha kwenye ujenzi wa barabara za mitaa Kariakoo lakini diwani wa kata hiyo Haji Manara yuko bize kutetea matajiri na kuhamasisha wamachinga wafukuzwe kila kona! Wanachokifanya...
4 Reactions
10 Replies
186 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Tanzania Tupo level za juu sana, tupo mbali sana ,tunacheza katika anga letu linapokuja suala la mikakati na mipango. Sisi ni Taifa kubwa ,sisi ni Taifa La...
6 Reactions
70 Replies
2K Views
My Take Kila awamu iliyotangulia ilijenga msingi wa mafanikio ya awamu inayofuata.Ni Juu ya Kiongozi wa awamu husika kuchakata maono na akili zake kukusanya pesa zaidi Ili kuhudumia Wananchi. Pia...
7 Reactions
506 Replies
10K Views
Jamhuri imeshindwa kuthibitisha Uhaini wa Lissu, lkn Mahakama itakuja na maamuzi kuwa Lissu ana kesi ya kujibu. Kwa vile wanajua watashindwa kesi na mmoja wa mashahidi wa utetezi ni Samia Suluhu...
9 Reactions
31 Replies
814 Views
Huu ni ushauri tu kabla mambo hayajawa mabaya na kuvumbuliwa. Yaani lita moja ya petroli ambayo wiki mbili zilizopita ilikuwa ikiuzwa 3100 leo ni 4000? Bado serikali inaona ni sawa? Endapo hali...
3 Reactions
8 Replies
155 Views
Huyu ndiye kinara wa kuharibu matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 , hakuna aliyesahau , alipandikiza watu wake kwenye Tume ya Uchaguzi ili kuwabeba wagombea wa chama chake, aliamuru...
29 Reactions
65 Replies
10K Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema uchumi wa Tanzania unaendelea kukua akibainisha kuwa kasi ya ukuaji wa kitaifa imepaa hadi kufikia 6.0% licha ya...
2 Reactions
5 Replies
79 Views
Wasiojulikana? Inakuwaje taifa linakuwa na watu wasiojulikana? Tangu afariki Mzee Kibao kwa kifo ambacho kilishangaza dunia kwa mtu kunyakuliwa kama kuku kwenye basi kisha kupatikana amekufa...
3 Reactions
9 Replies
147 Views
Back
Top Bottom