Diamond Platnumz: Sina itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, mimi siyo mwanaharakati

Diamond Platnumz: Sina itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, mimi siyo mwanaharakati

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
788
Reaction score
2,597
Tafadhali, naomba msikate clip za mahojiano nusunusu kwa lengo la kupotosha maana na kuzua taharuki, ilhali nia ilikuwa ni njema kuomba Arena kwa faida ya tasnia nzima...kwanza kabisa 'sinaga' itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, hivyo mimi siyo mwanaharakati…

Na ndiyo maana hata kwenye mahojiano yangu nimezungumza na kupongeza Wizara na serikali yangu jinsi inajitahidi kusaidia tasnia ya muziki kwenye nyanja mbalimbali lakini pia hadi kwenye kusaidia wasanii mmoja mmoja…. lakini nikasema kwenye Arena bado hatujapata ila wenzetu wa mpira wanapata sehemu nyingi…

Yawezekana ikawa nimewasilisha kwa hisia kwasababu muziki ni tasnia yetu, lakini point ya msingi ilikuwa ni kuendelea kuiomba serikali yetu watuwekee vijana wao Arena nasi tujimwaemwae!", chapisho la msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ikiwa ni saa chache baada ya kufanya mahojiano na Wasafi FM

1775043142469.png
Pia soma: PostGE2025 - Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii wanatudharau, wanatuthamini kipindi cha kampeni tu
 
😄😄

Bwege asiwapangie watu jinsi ya kumuelewa yeye kazi yake ni kuongea tu Bali kazi ya kuelewa kile alicho kiongea na ya watu wanao msikiliza

Apart from that kwenye ile interview Alianza Kwa kusema kwamba hapendagi kuongelea mambo ya serikali cause anaweza kuongea akatafsirika different halafu Akaanza kutoa lawama
 
Tafadhali, naomba msikate clip za mahojiano nusunusu kwa lengo la kupotosha maana na kuzua taharuki, ilhali nia ilikuwa ni njema kuomba Arena kwa faida ya tasnia nzima...kwanza kabisa 'sinaga' itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, hivyo mimi siyo mwanaharakati…

Na ndiyo maana hata kwenye mahojiano yangu nimezungumza na kupongeza Wizara na serikali yangu jinsi inajitahidi kusaidia tasnia ya muziki kwenye nyanja mbalimbali lakini pia hadi kwenye kusaidia wasanii mmoja mmoja…. lakini nikasema kwenye Arena bado hatujapata ila wenzetu wa mpira wanapata sehemu nyingi…

Yawezekana ikawa nimewasilisha kwa hisia kwasababu muziki ni tasnia yetu, lakini point ya msingi ilikuwa ni kuendelea kuiomba serikali yetu watuwekee vijana wao Arena nasi tujimwaemwae!", chapisho la msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ikiwa ni saa chache baada ya kufanya mahojiano na Wasafi FM

Pia soma: PostGE2025 - Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii wanatudharau, wanatuthamini kipindi cha kampeni tu
Diamond hajui maana ya mwana harakati? Hajui kwamba hata yye ni mwana harakati wa muziki?
Nchi hii watu wanaujua wanaharakati ni wanaoikosoa serikali tu
 
Tafadhali, naomba msikate clip za mahojiano nusunusu kwa lengo la kupotosha maana na kuzua taharuki, ilhali nia ilikuwa ni njema kuomba Arena kwa faida ya tasnia nzima...kwanza kabisa 'sinaga' itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, hivyo mimi siyo mwanaharakati…

Na ndiyo maana hata kwenye mahojiano yangu nimezungumza na kupongeza Wizara na serikali yangu jinsi inajitahidi kusaidia tasnia ya muziki kwenye nyanja mbalimbali lakini pia hadi kwenye kusaidia wasanii mmoja mmoja…. lakini nikasema kwenye Arena bado hatujapata ila wenzetu wa mpira wanapata sehemu nyingi…

Yawezekana ikawa nimewasilisha kwa hisia kwasababu muziki ni tasnia yetu, lakini point ya msingi ilikuwa ni kuendelea kuiomba serikali yetu watuwekee vijana wao Arena nasi tujimwaemwae!", chapisho la msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ikiwa ni saa chache baada ya kufanya mahojiano na Wasafi FM

Pia soma: PostGE2025 - Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii wanatudharau, wanatuthamini kipindi cha kampeni tu
Pdidy ulimharibu sana huyu kijana kiasi cha kuwa mlenda pori.
 
Kumbe kukemea wizi , utekaji , mauaji, ufisadi ni kuponda hicho kinachoitwa serikali?

Akitekwa mama yake au mdogo wake inamuhitaji awe mwanaharakati kukemea?
 
Wekezeni nguvu kwenye kilimo,uvivu nk hayo mambo ya arena sijui nini haina tija sana kwa taifa,ni mambo yanayokuja na kuondoka

Ova
 
Tafadhali, naomba msikate clip za mahojiano nusunusu kwa lengo la kupotosha maana na kuzua taharuki, ilhali nia ilikuwa ni njema kuomba Arena kwa faida ya tasnia nzima...kwanza kabisa 'sinaga' itikadi za kutafuta sifa za kijinga kupondaponda serikali, hivyo mimi siyo mwanaharakati…

Na ndiyo maana hata kwenye mahojiano yangu nimezungumza na kupongeza Wizara na serikali yangu jinsi inajitahidi kusaidia tasnia ya muziki kwenye nyanja mbalimbali lakini pia hadi kwenye kusaidia wasanii mmoja mmoja…. lakini nikasema kwenye Arena bado hatujapata ila wenzetu wa mpira wanapata sehemu nyingi…

Yawezekana ikawa nimewasilisha kwa hisia kwasababu muziki ni tasnia yetu, lakini point ya msingi ilikuwa ni kuendelea kuiomba serikali yetu watuwekee vijana wao Arena nasi tujimwaemwae!", chapisho la msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ikiwa ni saa chache baada ya kufanya mahojiano na Wasafi FM

Pia soma: PostGE2025 - Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii wanatudharau, wanatuthamini kipindi cha kampeni tu
Uuze unga halafu upate ujasiri wa kuiponda serekali?
 
Back
Top Bottom