Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Unakumbuka ulikataa kumsalimia Makonda tena msibani? Hukujua kuwa demokrasia ya haki Haina upande? Kama uko sahihi, basi muombe radhi Paul Makonda, mana demokrasia Haina upande?
5 Reactions
22 Replies
377 Views
My Take Nadhani kuna shida mahali Kwa nyumbu wengi wa Chadomo ambao wameshikiwa akili na Heche na Mange. Maboksi wao wameonesha utu hapa 👇 👇...
5 Reactions
40 Replies
308 Views
Hapa ni Dar Tegeta Kibaoni wafanyabiashara wanatakiwa kutoka kwenye Maeneo yao haraka iwezekanavyo.Kila mtu atafikiwa kwa wakati wake usijione upo salama, tuungane kupigania haki.
3 Reactions
24 Replies
321 Views
TUUNGANE KUPIGANIA ΚΑΤΙΒΑ MPYA NA KUKABILIANA NA MKWAMO WA KISIASA NCHINI Chama cha ACT Wazalendo kinatoa wito kwa Watanzania wote kuungana na kudai kwa nguvu zote kuanzishwa mara moja kwa...
1 Reactions
1 Replies
56 Views
Bado Tupo! Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao. Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake...
24 Reactions
122 Replies
6K Views
Nilitegemea madini" on the law regarding treason indictment. Lakini sivyo, ni KITCHEN PARTY ya akina mama wakiwa jikoni kuchambua mchele wa ndoa ya mkeka! nilitegemea kusikia arguments kuhusu...
5 Reactions
6 Replies
139 Views
Hii ni kwasababu, wanajua kabisa anachokutananacho Heche mahakamani, kinaweza kuwakuta IGP, CDF na DCI hasa ikitokea Lissu anawafanyia cross examination iwapo mashahidi hao watamgeuka. Wanajua...
3 Reactions
17 Replies
243 Views
Vijana mmesikia ushauri kutoka kwa mbunge? ========== Akizungumza katika kipindi cha One on One kinachorushwa na Wasafi TV, Mbunge wa Viti Maalum, Rahma Kisuo, amewataka vijana wanapomaliza masomo...
1 Reactions
0 Replies
38 Views
Jenerali Ulimwengu, amekosoa utamaduni unaoendelea nchini wa kukwepa kuhoji au kutowajibika pindi matatizo yanapojitokeza katika michakato ya uchaguzi na mfumo wa kidemokrasia. Akizungumza leo...
1 Reactions
0 Replies
74 Views
03 September 2026 Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030 Is CCM at risk in 2027 ? Prof. Mihanjo reveals serious new details regarding Dr. Nchimbi and also...
13 Reactions
54 Replies
2K Views
Kuna mtu Kitanzi kinamwita... ● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania? 🔴 LISSU: Ndiyo. ● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba? 🔴 LISSU: Ndiyo. ● KATUGA...
1 Reactions
25 Replies
570 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche amesema kuwa iwapo ananufaika kisiasa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuwa gerezani, basi mamlaka zinazomshikilia zimwachie ili manufaa hayo...
12 Reactions
12 Replies
410 Views
Kama kawaida yake, katika nyakati usizomtegemea, huku akiwa amefungiwa mitandao yake ya jamii, lakini sauti yake iliyao nyikani imeweza kupenya na kuwafikia watanzania juu ya uhuni wa kisiasa...
10 Reactions
16 Replies
349 Views
Nipo Kiwanja kimoja hapa mtaani naona wamesema Wasafi TV wanashuhudia tukio la 40 ya Sandrah mtoto wa Diamond Kuna jambo nimekuona siyo la kawaida, jukwaani yupo Mzee Yusuph na Zuchu wanaimba...
12 Reactions
55 Replies
1K Views
Ni Kijana mmoja ambaye bado hajafahamika utambulisho wake, anayedaiwa kuwa dereva wa bodaboda, amekutwa ameuawa katika mashamba ya Likamba, kitongoji cha Olomoshira, Kata ya Musa, Wilaya ya...
1 Reactions
1 Replies
56 Views
Walianza na FAM& Co. Wamemgeuka sasa Yule Aliekua akifanya nao zile mission za kumchomoa Joka la Kengeza. Ila Lema Uzuri awezi kubali Kufa Kizembe Atamwaga mboga. Kamwaga ya Direct Contact ya...
5 Reactions
22 Replies
342 Views
Kuna kada wa CCM anaitwa Marry Nchimbi kafariki kibaha Je Marry Nchimbi ni nani? Mwenye CV yake
5 Reactions
10 Replies
393 Views
Kwa hizi kashfa zinazoendelea nchini—ikiwemo tuhuma za utekaji, mauaji, kesi za uhaini, kwenda EDA, wizi, rushwa na ajali nyingi za barabarani—itakuwa ngumu sana kwa kiongozi mwanamke kukubalika...
0 Reactions
3 Replies
58 Views
🅻🅸🆅🅴 MWABUKUSI RAIS WA TLS ANAZUNGUMZA MUDA HUU. Rais wa TLS mwanasheria Boniface Mwabukusi akiongoea na waandishi wa habari kuhusu hatua walizochikua kuzuia maandamano ya jana tarehe 23 September...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom