Aliyekuwa Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Yericko Nyerere, amemshutumu vikali Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, akimtaja kuwa chanzo kikuu cha kuvurugika kwa mchakato wa...
Askofu Musomba, akiwa kwenye homilia amehoji mambo mengi muhimu:
1. Amesema, zamani mtu akifariki watu walikuwa wanahuzunika na kulia sana, imekuwaje sasa, mtu anakufa, watu wanashangilia...
Tundu Antipas Lissu wakati anatukana kwa bahati nzuri alishangiliwa na Wengi akageuka kama mandela wa kizazi hiki sadly Mandela alikaa 27 years Tundu Lissu amekaa mwaka mmoja milio imeshaanza...
Habari wandugu,
Hawa jamaa sijui upeo wao upoje,badala ya kukaa na kutafuta solution wanasema serikali imeongeza bei kidogo kuliko wengine ,nilitegemea watajadili inflation inayokuja au endapo...
Maisha bhana! Leo Tulia Ackson ni wa kujificha kweli!
Hakuna hafla yoyote ya enzi za Uspika wake hakuhudhuria, hata za uzinduzi wa mwenge hakuwahi kukosa, Alikuwa kinara wa matamasha ya kijinga...
Tangu yalipofanyika maandamano na baadaye vurugu wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na baada ya hapo, kumekuwa na hofu kubwa kwa wananchi kutokana na kuongezwa kwa ulinzi wa polisi na Jeshi la...
Niliwahi sikia fununu za kupigwa 60B za Jeshi na jina lilikuwa ni hili....enzi za JIWE.
Huyu mtu ndio yule aliyepata zike kashfa au ni mwingine? Jamii siasa nipeni taarifa nkoi.
CAG Kichere nakupongeza kwa kuonyesha madudu ya kutisha ya serikali inayoongozwa na Rais Samia. Mashirika ya Umma sasa yanashindana kupata hasara.
CAG Kichere umetuonyesha hasara za Atcl, Bwawa la...
Itende HAKI na HAKI itakutenda Milele.
Ikatae pressure ya Executive, tenda Haki na nenda zako, usisubiri shukrani au cheo toka Executive.
Mtendee Lisu HAKI NA WALA SI UPENDELEO
Siku 40 or so...
Hamjambo!
1. Dc Magoti japokuwa anapenda kuongea kwa misifa, majigambo, na kidogo utani Jambo ambalo wakati mwingine anatoaga Boko. Round hii ninaungana naye kwenye hoja yake hii;
2. Mamlaka...
Habari mi sio mtaalamu sana ila kwann ishu ya nyeti imekuja kipindi hiki? Ambapo report ya cag inahadiliwa na watanzania
Wakati huu pia report ya October ikisubiliwa
Kwann nyeti zimepotea tunduma...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, makala ya leo ni makala elimishi ikielimisha kuhusu heshima ni kitu cha bure...
Serikali inaendelea na usaili wa watu inaowahitaji kutumika kwenye kada mbalimbali katika utumishi wa umma.
Hata hivyo kuna mambo yanaendelea katika zoezi hilo la usaili linaloendeshwa na watu wa...
More to come…
Kaiweka barua mwenyewe mtandaoni:
=======
Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na...
Pamoja na kusifiwa sana, rais Mama kazidi. Jana, kwa kutumia viti kumi vya rais vya ubwete, alimteua mtu wake aka black box ya mama Angela Kizigha kuwa mbunge. SIyo huyu ambaye marehemu Magufuli...
Uteuzi wa ubunge wa Kizigha , licha ya kuwa na kashfa lukuki , ktk manunuzi serikali kwenye vyombo vya Ulinzi na usalama , kunaonyesha kwamba Utendaji , wa sieji Una walakini au katika mrorongó...
Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, akizungumza kwa njia ya mtandao usiku wa Septemba 3, 2025, amesema,
"Turidhiane sasa, na Mtanzania yeyote mwenye mapenzi mema na...
Siasa ni mchezo mchafu. Vita vya kiti cha Uenyekiti chadema kati ya chawa wa pande mbili ni vita vilivyotengezwa na Tiss. Wakiwatumia vijana wao kuna yeriko. Ni vita vya kupigania pesa za rushwa...
Bei za mafuta zimetangazwa, wakisema imechangiwa na vita mashariki ya kati. Ile stock walisema ipo ya kutosha hadi July imeishia wapi?
Wazee wa kupiga dili washaingia mzigoni, yaani wanasahau...
Huu ndio mtazamo wangu na kama kuna watanzania wanaamini hivyo, basi hao ni watanzania mzigo kwa Taifa hili.
Na hata viongozi wa Bunge sitaki kuamini nao walikuwa hawana taarifa kiasi kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.