Unakumbuka ulikataa kumsalimia Makonda tena msibani? Hukujua kuwa demokrasia ya haki Haina upande?
Kama uko sahihi, basi muombe radhi Paul Makonda, mana demokrasia Haina upande?
Hapa ni Dar Tegeta Kibaoni wafanyabiashara wanatakiwa kutoka kwenye Maeneo yao haraka iwezekanavyo.Kila mtu atafikiwa kwa wakati wake usijione upo salama, tuungane kupigania haki.
TUUNGANE KUPIGANIA ΚΑΤΙΒΑ MPYA NA KUKABILIANA NA MKWAMO WA KISIASA NCHINI
Chama cha ACT Wazalendo kinatoa wito kwa Watanzania wote kuungana na kudai kwa nguvu zote kuanzishwa mara moja kwa...
Bado Tupo!
Mchezaji anaweza mzuri kwenye ku- defence, ku-drible, kushambulia lakini akawa anashindwa kwenye final touch kumalizia kufunga Bao.
Huyo Mbowe tayari alikuwa ametepeta, Timu yake...
Nilitegemea madini" on the law regarding treason indictment. Lakini sivyo, ni KITCHEN PARTY ya akina mama wakiwa jikoni kuchambua mchele wa ndoa ya mkeka!
nilitegemea kusikia arguments kuhusu...
Hii ni kwasababu, wanajua kabisa anachokutananacho Heche mahakamani, kinaweza kuwakuta IGP, CDF na DCI hasa ikitokea Lissu anawafanyia cross examination iwapo mashahidi hao watamgeuka.
Wanajua...
Vijana mmesikia ushauri kutoka kwa mbunge?
==========
Akizungumza katika kipindi cha One on One kinachorushwa na Wasafi TV, Mbunge wa Viti Maalum, Rahma Kisuo, amewataka vijana wanapomaliza masomo...
Jenerali Ulimwengu, amekosoa utamaduni unaoendelea nchini wa kukwepa kuhoji au kutowajibika pindi matatizo yanapojitokeza katika michakato ya uchaguzi na mfumo wa kidemokrasia.
Akizungumza leo...
03 September 2026
Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030
Is CCM at risk in 2027 ? Prof. Mihanjo reveals serious new details regarding Dr. Nchimbi and also...
Kuna mtu Kitanzi kinamwita...
● KATUGA: Umesema unaiheshimu Katiba ya Tanzania?
🔴 LISSU: Ndiyo.
● KATUGA: Na unakubali kwamba hakuna mtu aliye juu ya Katiba?
🔴 LISSU: Ndiyo.
● KATUGA...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche amesema kuwa iwapo ananufaika kisiasa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuwa gerezani, basi mamlaka zinazomshikilia zimwachie ili manufaa hayo...
Kama kawaida yake, katika nyakati usizomtegemea, huku akiwa amefungiwa mitandao yake ya jamii, lakini sauti yake iliyao nyikani imeweza kupenya na kuwafikia watanzania juu ya uhuni wa kisiasa...
Nipo Kiwanja kimoja hapa mtaani naona wamesema Wasafi TV wanashuhudia tukio la 40 ya Sandrah mtoto wa Diamond
Kuna jambo nimekuona siyo la kawaida, jukwaani yupo Mzee Yusuph na Zuchu wanaimba...
Ni Kijana mmoja ambaye bado hajafahamika utambulisho wake, anayedaiwa kuwa dereva wa bodaboda, amekutwa ameuawa katika mashamba ya Likamba, kitongoji cha Olomoshira, Kata ya Musa, Wilaya ya...
Walianza na FAM& Co.
Wamemgeuka sasa Yule Aliekua akifanya nao zile mission za kumchomoa Joka la Kengeza.
Ila Lema Uzuri awezi kubali Kufa Kizembe Atamwaga mboga.
Kamwaga ya Direct Contact ya...
Kwa hizi kashfa zinazoendelea nchini—ikiwemo tuhuma za utekaji, mauaji, kesi za uhaini, kwenda EDA, wizi, rushwa na ajali nyingi za barabarani—itakuwa ngumu sana kwa kiongozi mwanamke kukubalika...
🅻🅸🆅🅴 MWABUKUSI RAIS WA TLS ANAZUNGUMZA MUDA HUU.
Rais wa TLS mwanasheria Boniface Mwabukusi akiongoea na waandishi wa habari kuhusu hatua walizochikua kuzuia maandamano ya jana tarehe 23 September...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.