Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watanzania wamekereka kweli kweli na wanataka mabadiliko. Wanataka katiba mpya. Wanataka wabadhirifu wawajibishwe. Wanataka utawala bora, hawataki uwakilishi wa walamba asali au wa wahuni nk...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa Serikali, kusimamia vema rasilimali za nchi kwa kutumia mifumo na kuweka nidhamu, akisema kinyume na kufanya hivyo ni sawa na kuiua...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Chadema Sasa waja na mbinu ya Kufuturisha Ili kuvutia Watu kwenye Mikutano Yao 😁😁 Inaonesha Wananchi wamechoshwa na hadithi zisizo na matokeo.. Wakubwa wanalamba asali harafu wanakuja kuwapigia...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
Msikilize Mbunge wa Kahama akijenga hoja zake, simple and clear na very intelligent. Huwa namkubali sana huyu Jamaa maana Huwa ana think beyond the status quo..eg Kumuwekea vikwazo daktari...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Baada ya Vladmir Putin kutangaza kuwa Taifa hilo linapinga ndoa za jinsia moja, ilipelekea watu wengi sana wa dunia ya tatu kumuunga mkono licha ya udhalimu wake wa kupeleka majeshi Ukraine...
43 Reactions
144 Replies
13K Views
Na edo kumwembe Ni nchi ya ajabu kwa mwanadamu makini kuweza kuishi. Ni nchi inayoshangaza sana, ingawa raia wake hawaonyeshi kushangazwa na matukio kadhaa yanayotokea. Naizungumzia Tanzania...
7 Reactions
98 Replies
16K Views
Kati ya mataifa yaliyofanikiwa sana kwa kipindi kifupi ni Singapore. Mwaka 1961, wakati tunapata uhuru, Singapore, Malaysia na Thailand, tulikuwa kwenye kiwango kinachofanana cha umaskini. Lengo...
42 Reactions
91 Replies
5K Views
Juzi nililipa kwa dola. Dola ilikuw Tsh 2324. Shilingi ilikuwa imepanda sana. Nikasema safi. Leo nashangaa Dola ni 2345. Sidhani kama shilingi yetu imewahi kushuka namna hii. Pia mbona Ksh nayo...
5 Reactions
88 Replies
5K Views
1. Ni Nini tunaposema custom union? 2. Ni nini tunaposema monetary union 3. Common market je? 4. Federation je?
0 Reactions
0 Replies
396 Views
Ni vigumu wito wa kiongozi wa chama kutenganishwa na chama: Ingekuwa vyema tukapeana uthibitisho ili japo kujua tunaposimama. "Ikumbukwe kodi za kufikia nusu ya kwanza ya mwaka huu zilikwisha...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Luhaga Mpina ameamua kujivua gamba. Inawezekana ni kwakuwa yupo nje ya 18 za upigaji maana alipokuwa waziri sikuwahi kumsikia akiwa na akili kiasi hiki. Anashangaa hadi leo hii kumuona Mwigulu...
10 Reactions
156 Replies
5K Views
Sina haja ya kuwataja Mawaziri hao kwa sababu ukiisoma kwa Makini Ripoti ya CAG utawatambua tu. Wengi wanalidharau hili Bunge na kudai halina maajabu lakin nawahakikishieni linaenda kuwastaafisha...
12 Reactions
129 Replies
7K Views
Nashindwa na kuchoka kuelewa lengo la mleta taarifa.Lengo ni nini?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
UVCCM ni umoja uliowekwa na kulelewa katika misingi ya kuimba mapambio ya kusifu na kutukuza watawala hata pale pasipo stahili sifa. ACHENI. Anaandika Almaliki Mokiwa. Tuweke mkazo katika...
4 Reactions
3 Replies
932 Views
Mbunge wa Viti Maalum, Ngw'asi Kamani amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali vijana na kuondoa malipo ya kodi ya mwaka mmoja wanapoanza biashara. Akichangia bungeni Aprili 11, 2023...
0 Reactions
2 Replies
497 Views
Nimeshangaa utitiri wa matangazo ya iftal huko bungeni Dodoma kwa sasa! Na ndio maana nikaanza kufikiria na kutafakari kinachoendelea hukohuko Bungeni kwa sasa! Kuhusiana na ripoti ya CAG...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Ni wazi kwamba ndege ya ATCL inayokwenda Chato huwa inaenda tupu, bila abiria Abiria pekee ni mama Janeth Magufuli na watoto wake au Kalemani. Nashauri ruti hii ifutwe kwa maslahi ya taifa.
13 Reactions
60 Replies
4K Views
Kiukweli pamoja na kazi nzuri anazofanya Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan pamoja na watumishi wema na wanaomshauri vizuri juu ya ustawi wa Taida letu la Tamzania ni vizuri tuliangalie na hili...
2 Reactions
14 Replies
816 Views
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa...
11 Reactions
61 Replies
5K Views
Kwa ujumla Rais wa Urusi Vladmir Putin,amewashika pabaya na kuzidi kuwaweka njia Panda, USA na washirika wake wa NATO baada ya kuzisamehe ghafla nchi za kiafrika,madeni yaliyokuwa na thamani ya...
13 Reactions
115 Replies
6K Views
Back
Top Bottom