Ushauri kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Ngungenge

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
2,863
3,192
Kwanza nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya wizara ya kilimo. Mimi ni kati ya wachache niliyewahi kutoa maoni kuwa Upewe Wizara ya kilimo na Alhamdulilah Mh. Rais akakuona na ukapewa uwaziri kamili.

Kwakuwa nakujua wewe u mtu mchapakazi sana na unaejitoa usiku na mchana bila kuchoka, napenda kukushauri urekebishe mambo machache.

Mradi wa BBT ni over exaggerated cost unrealist na zitasumbua kwenye ku calculate return pia zinaleta ukakasi to the public sasa naweza kufikiri uliwaza ku install drip technology ili kufanya annual farming. OK ku install kwa hekari moja ni 4.5 million plus seeds, agrochemicals nk unapata jumla 6 million maximum

Mradi umeweka 16 million hapo million 10 per acres times number of beneficiaries hio pesa tunapoteza am sure unaweza kuipata kwenye eneo jingine tuu ambala haliitaji public attention. Simaanishi wewe ndio unataka ila kama umeridhia bas wako watu wanataka kupitia wewe. Nakusihi u reverse BBT program kabla hujaanza ku implement.

Jambo la pili
Ni kitu kizuri ku enroll hawa vijana wadogo kuingia kwenye kilimo but trust me hautapata result. Ndio maana USAID, JICA, SIDA na KOIKA wamedevelop co-engagement na Entreprises na wanapata BIG result interms of no of employment, tonnage, livelihood nk hawa vijana walitakiwa kwanza wa engage na entriprises kwa ajili ya learning, formular uliyotumia ni ya ki communist na haiwezi kufanya kazi hapa tanzania labda maeneo machache ya nchi yaliyozungukwa na uchumi wa kilimo formular hii ni kwa wale cleam kweli kweli otherwise watakimbia mashamba na tutapoteza pesa.

Sasa ongeza nguvu kwenye ile program ya makampuni ikiwezekana toa incentive. Tena usiwape wanasiasa bali wakulima wakubwa na wa kati pamoja na kuiwezesha Bank ya kilimo kutoa mikopo hio tena kwa haraka.

Pia kwa BBT
Economy inahitaji kutumia low cost kupata Super profit sasa uo mradi hatakama ulipanga iwe 5 yrs bila maboresho please nakushauri twende kidogo kidogo

Tuanze na 3 million per acre ili tupate 4-5m watakaofanya vizuri waongezewe mtaji na maeneo ili kupima ukuaji utachuja na kupata vijana wazuri ambao utaweza ku invest 50-100 million ambao watazalisha ajira na ku create MSMEs.
 
Alafu huyu Waziri anajisikia sana kama anasoma rejea mgogoro wa Mbeya TARI uyole
 
Ambao tunafanya kilimo tumekwishamshauri sana. Kama hatauchukua ushauri wetu, atakapofail itakuwa ni uzembe, siyo jwamba hakujua au hakuambiwa.

Njia sahihi ni kuwasaidia na kuwawezesha watu ambao tayari wapo kwenye kilimo. Hawa tayari wana ownership ya shughuli za kilimo.

Mimi ningekuwa Waziri wa kilimo, ningetoa vigezo vya kuweza wakulima kusaidiwa:

1) wawe na mashamba kwenye eneo moja.

2) Eneo hilo kwa ujumla lisipungue ekari 1000, na liwe na nafasi ya kuongeza mpaka kufikia siyo chini ya ekari 10,000.

3) Eneo lithibitike kuwa na chanzo cha maji kwenye umbali usiozidi 20km au uwepo wa maji ya kutosha chini ya ardhi.

4) Wakulima kwenye eneo husika wawe tayari kufanya kilimo cha umwagiliaji, na kufanya kilimo kwa mwaka mzima.

Msaada ambao Serikali itautoa utahusisha:

1) kuchonga barabara mpaka eneo la shamba.

2) kupelekewa umeme mpaka eneo la shamba.

3) Kupeleka bomba kubwa la maji mpaka eneo lilipo shamba, au kuchimba visima virefu eneo la shamaba au karibu na shamba, au kujenga mabwawa ya maji yenye uwezo wa kutunza maji kwa mwaka mzima.

3) mikopo ya kununulia zana za kilimo, miundombinu ya usambazaji maji kwaajili ya umwagiliaji na pembejeo yenye riba isiyozidi 5%, mikopo ikitolewa kwa awamu kwa kupima mafanikio, uaminifu na uwezo wa mkulima.

4)extension services umbali usiozidi 20km.

5) Kituo cha ununuzi wa mazao katika umbali usiozidi 20km.

Hiyo nina uhakika ingeleta tija. Na Serikali ingeyatumia mashamba hayo kuonesha mafanikio ya hao wakulima, na mafanikiobya waliopo kwenye kilimo yangewavuta watu wengine pia kuingia kwenye kilimo. Wakulima wapya, kipaumbele cha kupata msaada wa serikali ingekuwa pembezoni mwa mashamba hayo makubwa ili kupunguza gharama za uwekaji miundombinu ya barabara na umeme.

Lakini hawa vijana waliosombwa mjini na kupewa mafunzo ya wiki moja, ni upotevu wa pesa, hawatafanikiwa. Kilimo ni sayansi inayohitaji elimu ya muda mrefu, uvumilivu wa hali ya juu, tafiti za muda mrefu ambazo zaidi ni za vitendo kuliko nadharia.
 
Mh Bashe, uliwahi kuwa member hapa JF, tafadhali pokea feedbacks na ushauri kutoka ndani na nje ya circle yako.

Huo mradi tungetamani kweli uguse, ubadili na kuinua uchumi na vipata vya vijana na nchi kwa ujumla. Lakini kwa approach ya sasa ni wazi hatutafanikiwa.

Yaliyomo katika uzi na nyingine kama humu yatakupa mrejesho na mbinu bora zaidi za kufanikisha huo mradi na kuleta tija kwa taifa.
Tafadhali zingatia ushauri mheshimiwa Waziri
 
Kwanza nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya wizara ya kilimo. Mimi ni kati ya wachache niliyewahi kutoa maoni kuwa Upewe Wizara ya kilimo na Alhamdulilah Mh. Rais akakuona na ukapewa uwaziri kamili.

Kwakuwa nakujua wewe u mtu mchapakazi sana na unaejitoa usiku na mchana bila kuchoka, napenda kukushauri urekebishe mambo machache.

Mradi wa BBT ni over exaggerated cost unrealist na zitasumbua kwenye ku calculate return pia zinaleta ukakasi to the public sasa naweza kufikiri uliwaza ku install drip technology ili kufanya annual farming. OK ku install kwa hekari moja ni 4.5 million plus seeds, agrochemicals nk unapata jumla 6 million maximum

Mradi umeweka 16 million hapo million 10 per acres times number of beneficiaries hio pesa tunapoteza am sure unaweza kuipata kwenye eneo jingine tuu ambala haliitaji public attention. Simaanishi wewe ndio unataka ila kama umeridhia bas wako watu wanataka kupitia wewe. Nakusihi u reverse BBT program kabla hujaanza ku implement.

Jambo la pili
Ni kitu kizuri ku enroll hawa vijana wadogo kuingia kwenye kilimo but trust me hautapata result. Ndio maana USAID, JICA, SIDA na KOIKA wamedevelop co-engagement na Entreprises na wanapata BIG result interms of no of employment, tonnage, livelihood nk hawa vijana walitakiwa kwanza wa engage na entriprises kwa ajili ya learning, formular uliyotumia ni ya ki communist na haiwezi kufanya kazi hapa tanzania labda maeneo machache ya nchi yaliyozungukwa na uchumi wa kilimo formular hii ni kwa wale cleam kweli kweli otherwise watakimbia mashamba na tutapoteza pesa.

Sasa ongeza nguvu kwenye ile program ya makampuni ikiwezekana toa incentive. Tena usiwape wanasiasa bali wakulima wakubwa na wa kati pamoja na kuiwezesha Bank ya kilimo kutoa mikopo hio tena kwa haraka.

Pia kwa BBT
Economy inahitaji kutumia low cost kupata Super profit sasa uo mradi hatakama ulipanga iwe 5 yrs bila maboresho please nakushauri twende kidogo kidogo

Tuanze na 3 million per acre ili tupate 4-5m watakaofanya vizuri waongezewe mtaji na maeneo ili kupima ukuaji utachuja na kupata vijana wazuri ambao utaweza ku invest 50-100 million ambao watazalisha ajira na ku create MSMEs.
BBT=Building Bashe Tomorrow.
Yule jamaa anajua kila kitu!
 
Ambao tunafanya kilimo tumekwishamshauri sana. Kama hatauchukua ushauri wetu, atakapofail itakuwa ni uzembe, siyo jwamba hakujua au hakuambiwa.

Njia sahihi ni kuwasaidia na kuwawezesha watu ambao tayari wapo kwenye kilimo. Hawa tayari wana ownership ya shughuli za kilimo.

Mimi ningekuwa Waziri wa kilimo, ningetoa vigezo vya kuweza wakulima kusaidiwa:

1) wawe na mashamba kwenye eneo moja.

2) Eneo hilo kwa ujumla lisipungue ekari 1000, na liwe na nafasi ya kuongeza mpaka kufikia siyo chini ya ekari 10,000.

3) Eneo lithibitike kuwa na chanzo cha maji kwenye umbali usiozidi 20km au uwepo wa maji ya kutosha chini ya ardhi.

4) Wakulima kwenye eneo husika wawe tayari kufanya kilimo cha umwagiliaji, na kufanya kilimo kwa mwaka mzima.

Msaada ambao Serikali itautoa utahusisha:

1) kuchonga barabara mpaka eneo la shamba.

2) kupelekewa umeme mpaka eneo la shamba.

3) Kupeleka bomba kubwa la maji mpaka eneo lilipo shamba, au kuchimba visima virefu eneo la shamaba au karibu na shamba, au kujenga mabwawa ya maji yenye uwezo wa kutunza maji kwa mwaka mzima.

3) mikopo ya kununulia zana za kilimo, miundombinu ya usambazaji maji kwaajili ya umwagiliaji na pembejeo yenye riba isiyozidi 5%, mikopo ikitolewa kwa awamu kwa kupima mafanikio, uaminifu na uwezo wa mkulima.

4)extension services umbali usiozidi 20km.

5) Kituo cha ununuzi wa mazao katika umbali usiozidi 20km.

Hiyo nina uhakika ingeleta tija. Na Serikali ingeyatumia mashamba hayo kuonesha mafanikio ya hao wakulima, na mafanikiobya waliopo kwenye kilimo yangewavuta watu wengine pia kuingia kwenye kilimo. Wakulima wapya, kipaumbele cha kupata msaada wa serikali ingekuwa pembezoni mwa mashamba hayo makubwa ili kupunguza gharama za uwekaji miundombinu ya barabara na umeme.

Lakini hawa vijana waliosombwa mjini na kupewa mafunzo ya wiki moja, ni upotevu wa pesa, hawatafanikiwa. Kilimo ni sayansi inayohitaji elimu ya muda mrefu, uvumilivu wa hali ya juu, tafiti za muda mrefu ambazo zaidi ni za vitendo kuliko nadharia.
Hakika
 
Back
Top Bottom