Mnaomshauri Rais juu ya Ikulu mpya Chamwino muogopeni Mungu

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,343
24,234
Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise. Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.

Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.
-Kutakuwepo na jengo la Samia Complex,
-Ukumbi wa mkutano wa watu 2000 hadi 3000.
-Uwanja wa ndege.
-Jengo la Zanzibar
-Majengo ya East Africa

Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, na wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, na ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?

Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% , majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.

Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.

Washauri wa Rais, kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?

Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
 
Walienda kuchukua ramani ulaya huko sijui nchi gani, na kwa wabongo walivyo wakafikia hotelini wakala bata wakapewa ramani feki, sawa na yule aliyepewa maboksi ya dawa ya korona feki.

Hawa wasomi wetu walishindwa nini kuchora mchoro wa ikulu ?

Ulisikia wapi ikulu ndani mna soko?
 
Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise.
Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.

Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.

Kutakuwepo na jengo la Samia Complex, ukumbi wa mkutano wa watu 2000 had 3000.
Uwanja wa ndege.
Jengo la Zanxibar
Majengo ya East Africa

Sasa hapo ikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, ukumbi ambao hauna commercial use.

Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa kiusalama.
Kwa 98% majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Washauriwa Rais kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?

Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Una hoja ya maana. Tatizo la watawala wa siku hizi ni umachinga na kushindwa kuwa wabunifu. Ikulu na kumbi za walevi wapi na wapi? Kesho wataingia vyangudoa, wauza madawa na mateja kiasi cha kufanya usalama wa rais kuwa hatarini. Ikulu, kama alivyosema marehemu baba wa taifa, ni mahali patakatifu. Watu wachafu wasiende kule. Kule hakuna biashara. Ni ofisi ya umma. Samia amenikumbusha uhovyo wa mzee Ruhusa na baadaye Njaa Kaya. Sijui hapa tatizo ni malezi au mazingira wala sijui.
 
Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise.
Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.

Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.

Kutakuwepo na jengo la Samia Complex, ukumbi wa mkutano wa watu 2000 had 3000.
Uwanja wa ndege.
Jengo la Zanxibar
Majengo ya East Africa

Sasa hapo ikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, ukumbi ambao hauna commercial use.

Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa kiusalama.
Kwa 98% majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Washauriwa Rais kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?

Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Raisu wa awamu hii anapeenda sana vitu vya starehestarehe sana
 
Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise.
Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.

Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.

Kutakuwepo na jengo la Samia Complex, ukumbi wa mkutano wa watu 2000 had 3000.
Uwanja wa ndege.
Jengo la Zanzibar
Majengo ya East Africa

Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?

Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.

Washauriwa Rais kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?

Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Mail, umeme, elimu na huduma za afya kwanza halafu ndio hizo ikulu zenu mwisho kabisa.
 
Walienda kuchukua ramani ulaya huko sijui nchi gani, na kwa wabongo walivyo wakafikia hotelini wakala bata wakapewa ramani feki, sawa na yule aliyepewa maboksi ya dawa ya korona feki.

Hawa wasomi wetu walishindwa nini kuchora mchoro wa ikulu ?

Ulisikia wapi ikulu ndani mna soko?
Kuhusu wasomi wetu kwakweli hapo ni zaidi ya amajnga, nilikuwa kwenye project moja ya serekali sisi tulipewa tenda ya kusafirisha vifaa vya huo mradi sasa wakaja Ma Engineer wa Serekali kukaguwa vifaa cha ajabu wao wanatuuliza sisi hiki kinaitwaje? mburaaaa 🤣 🤣 🤷‍♂️
 
Walienda kuchukua ramani ulaya huko sijui nchi gani, na kwa wabongo walivyo wakafikia hotelini wakala bata wakapewa ramani feki, sawa na yule aliyepewa maboksi ya dawa ya korona feki.

Hawa wasomi wetu walishindwa nini kuchora mchoro wa ikulu ?

Ulisikia wapi ikulu ndani mna soko?
Ikulu inabadilika kuwa pango la walanguzi na wanyang'anyi,hii nchi haija wahi isha vituko kabisa alafu anaye toa Maoni hayo ni honorable causa
 
Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise.
Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.

Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.

Kutakuwepo na jengo la Samia Complex, ukumbi wa mkutano wa watu 2000 had 3000.
Uwanja wa ndege.
Jengo la Zanzibar
Majengo ya East Africa

Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?

Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.

Washauriwa Rais kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?

Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
ndiyo sababu hata kupangilia miji hatujui. mpaka tukibananisha makazi ndiyo tunafurahi. Kumbi za mikutano Ikulu...za nini? Hata walivyorundika wizara zote pale mtumba ni poor planning, hata wageni wa serikali kutoka nje watakuwa wanashangaa. Wizara zinapaswa kutawanywa kuepusha msongamano na ikitokea tafrani, kwa mpangilio ule ni rahisi sana serikali kuminywa - wangekwenda hata Kinshasa wakaona namna ambavyo majengo ya serikali yametawanywa.

Hebu check hata bunge lilipo....ni aibu tupu, unawekaje bunge gereji jirani na stand ya mabasi; kisha unahamisha stand unaipeleka nje ya mji mahali pazuri penye hadhi nzuri panapostahili kujenga ofisi za bunge?

Ni aibu sana nchi hii makazi na hata majengo ya serikali yanavyobananishwa kama vile Tanzania ni nchi isyo na ardhi ya kutosha, ingekuwa ndogo kama rwanda sijui ingekuwaje!
 
Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?
Hii ni ajabu sana na ni matumizi mabaya ya rasilimali adimu za nchi..

Inawezekana washauri wanaona huu ubadhirifu ila hawathubutu kuusema ili kukwepa kukinzana na maoni kutoka juu, maana ndo mwanzo wa kutumbuliwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom