Sifa zingine zinatia kinyaaDC anapenda Camera sana kaona hamulikwimulikwi kaamua kujumulikisha. Atapamisi sana Temeke
Umo Pasco!Hii ni conference muhimu, mtu ukiondoka na basi la kwanza, saa 4:00 uko Korogwe. Hii sio press conference ya kumiss
P
Duh...!, Mkuu Chakaza , yaani mimi unaniweka kwenye kundi la chawa?.Umo Pasco!
Wenzako wa Mwanza wameji organize wanapiga tuu ziara!View attachment 2633845
Bwana JUMA JUMA,ungetupa na update ya safari ya Uingereza na Marekani kwa vijana wa Kawe aliyotuahidi GWAJIMA iwapo tutamchagua kuwa Mbunge maana ulikuwa chawa wake mkubwa humu JF kumpigia debe acha kujikausha,au umehamishia uchawa kwa Jokate enh?? ulikuwa na maneno mengi sana kumpamba GWAJIMA humu JF,vipi kafanikisha lipi??OFISI YA MKUU WA WILAYA KOROGWE
PRESS CONFERENCE
Mkuu wa wilaya ya Korogwe Mhe. Jokate Mwegelo Kesho Tarehe 25-05-2023 atakuwa na 'PRESS CONFERENCE '
MUDA: Saa 5 Asubuhi.
MAHALI: OFISI YA MKUU WA WILAYA
View attachment 2633755