johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
Naweka tu kumbukumbu Sawa maana wapo wanaodhani TRA iliasisiwa na Rais wa awamu ya 3 hayati Mkapa
Kuna mambo mengi ya kijasiri yalifanywa na Serikali ya awamu ya 2 lakini yule mzee wetu Mwinyi siyo mpenda sifa
Wakati huo Nilikuwa mwanachama wa Chadema
Ahsante!
Kuna mambo mengi ya kijasiri yalifanywa na Serikali ya awamu ya 2 lakini yule mzee wetu Mwinyi siyo mpenda sifa
Wakati huo Nilikuwa mwanachama wa Chadema
Ahsante!