Mbowe hujahudhuria uzinduzi wa ikulu mpya, who knows siku moja waweza kuishi Chamwino

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,819
18,558
Uzinduzi wa ikulu mpya Chamwino umefanyika leo ambapo viongozi mbalimbali wamehudhuria.

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania Freeman Mbowe hakuhudhuria. Wakati uzinduzi unaendelea Mbowe na viongozi wengine wa Chadema wameendelea na operation +255 huko Kasulu mkoani Kigoma.

Hongera Mbowe na Chadema kwa kuonesha kuwa mnawajali wananchi zaidi kwa kuwapa elimu ya uraia na katiba mpya. Kwa juhudi zako ni matumaini yetu siku moja Chamwino patakuwa makazi yako.
 
Uzinduzi wa ikulu mpya Chamwino umefanyika leo ambapo viongozi mbalimbali wamehudhuria.

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania Freeman Mbowe hakuhudhuria. Wakati uzinduzi unaendelea Mbowe na viongozi wengine wa Chadema wameendelea na operation +255 huko Kasulu mkoani Kigoma.

Hongera Mbowe na Chadema kwa kuonesha kuwa mnawajali wananchi zaidi kwa kuwapa elimu ya uraia na katiba mpya. Kwa juhudi zako ni matumaini yetu siku moja Chamwino patakuwa makazi yako.
Ujinga mtupu.
Ingekuwa busara sana kumuunga mkono mama ni vile tu binadamu ni wasahaulifu
 
Mbowe hawezi kuingia kuwa Rais wa Tz, hivyo ni vyema hizi ndoto ukabaki nazo mwenyewe.
Ccm huwa wanashangilia Mbowe akiteuliwa kuwa mgombea! Go to the data, alipata percent ngapi ya kura aliposimama halafu linganisha na zile za Tundu!
 
Back
Top Bottom