Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa kamati kuu mchungaji Msigwa ametoa rai Watu tofauti tofauti kujitokeza na kuchambua Ripoti ya CAG.
Msigwa amesema Viongozi wa dini, Viongozi wa...
Chadema imesema kimsingi Tanzania hakuna Madiwani kuna Mazombi tu
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hayo wakati akichambua Ripoti ya CAG hususani maeneo ya Tamisemi...
Ukweli ni kwamba tunasubiria embe chini ya mkaratusi.
Tunaushangaa wizi na ubadhirifu wa pesa ya umma ulioibuliwa na CAG, kwani sisi tulikuwa na mategemeo gani? Hivi mwizi anaweza kuacha asili...
Huu ndio ulikuwa Wakati sahihi kabisa wa CCM kujivua Gamba kwa kuwaondoa Majambazi, Vibaka na Wezi wote bila kujali wanamilikiwa na Sukuma Gang, Lindi kuchele, Friends of Lowassa au Nungwi Aziz Ki...
Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amesema utoaji mikopo zaidi kutoka taasisi za kifedha zikiwemo benki, utachochea uwekezaji na ukuaji wa uchumi kupitia sekta mbalimbali zikiwemo...
Anaandika Paul Makonda katika mitandao ya kijamii
Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbeya, Majungu na Uongo. Na hata kama hakuna habari mbaya bado tunalazimisha tu ziwepo. Unaambiwa kabisa...
Nimeona wengi kwa mihemuko ya umbumbumbu wa kutojua taratibu na sheria zilizopo, wamekuwa wakimlaumu Rais kwa kutochukua hatua mara moja dhidi ya waliotajwa kwenye Report ya CAG.
Watu hao...
Msanii wa katuni KIPANYA ametoa kikatuni chenye salaam tosha kwa CCM.
Naamini kama kuna kiongozi mwenye kufuatilia miandaoni basi ujumbe atakuwa ameupata.
CCM jamani tumewachoka ebu tuwachieni...
Katika mjadala unaoendelea Bungeni kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 4 jioni ya leo April 11, 2023 Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina amesema katika uchambuzi wa ripoti ya CAG anaoendelea...
Inawezekana kuna kundi kubwa halijua maana ya elimu ndio maana imekuwa ni kawaida sana kuisimanga, kuibagaza na kuishusha elimu. Elimu ni maarifa, elimu ni ujuzi, elimu ni mwanga, elimu ni silaha...
Mchungaji Joseph at Gwajima wewe ni mbunge wa jimbo la Kawe. Upo bize kweli na siasa za Sukuma Gang ukisahau zile za jimbo lako.
Taarifa iliyopo ni kwamba eneo la mecco kunduchi "mashimoni"...
Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa...
Mjomba ni mama ndivyo wasemavyo Waswahili na hata Kule Uyahudi
Unawezaje kukiacha Hazina ya Nchi kwa Mtu na Mjomba wake halafu baadae unaanza kulialia Wakati umeyataka mwenyewe
Tujifunze...
Tunakumbushana tu kwa sababu siasa ni sayansi.
Kwa sasa Job Ndugai bado anataka kuendelea kuwa Spika na Dkt. Tulia Ackson anautamani uspika. Ili kuepusha shari CCM ina utamaduni wake kama huujui...
Mkuu wa mkoa wa Dsm mh Makonda amefanya kikao na viongozi wa dini kupitia jukwaa lao la Kamati ya maridhiano.
Makonda amewataka viongozi hao wa dini kuuombea uchaguzi mkuu ili wakapatikane...
------------
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Paulo Makonda amesema kuwa kwa fedha ya kitanzia ni kipato cha mtanzania kuwa na dola milioni mbili mpaka tatu kwenda mpaka milioni tisa mpaka kumi...
"Duniani kuna changamoto ya Corona, hata mimi nimekutana na Balozi wa China, Waziri wa Afya ametoa maelekezo, Rais wetu kaonesha kwa vitendo namna ya kusalimiana, muwe makini pia kuna wengine...
Ni miaka miwili sasa imetimia tangu kiongozi wa awamu ya sita kuingia madarakani, Lakini utafiti unaonyesha na hata unapojaribu kuuliza, Je, kuna jambo lolote la msingi na la maana unaloweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.