johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Mjomba ni mama ndivyo wasemavyo Waswahili na hata Kule Uyahudi
Unawezaje kukiacha Hazina ya Nchi kwa Mtu na Mjomba wake halafu baadae unaanza kulialia Wakati umeyataka mwenyewe
Tujifunze kutokana na makosa, Yaliyopita si ndwele!
Unawezaje kukiacha Hazina ya Nchi kwa Mtu na Mjomba wake halafu baadae unaanza kulialia Wakati umeyataka mwenyewe
Tujifunze kutokana na makosa, Yaliyopita si ndwele!