Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Msanii wa katuni KIPANYA ametoa kikatuni chenye salaam tosha kwa CCM.
Naamini kama kuna kiongozi mwenye kufuatilia miandaoni basi ujumbe atakuwa ameupata.
CCM jamani tumewachoka ebu tuwachieni nchi yetu maana hamna leseni wala hati ya kuitawala nchi hii.
Naamini kama kuna kiongozi mwenye kufuatilia miandaoni basi ujumbe atakuwa ameupata.
CCM jamani tumewachoka ebu tuwachieni nchi yetu maana hamna leseni wala hati ya kuitawala nchi hii.