johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa kamati kuu mchungaji Msigwa ametoa rai Watu tofauti tofauti kujitokeza na kuchambua Ripoti ya CAG.
Msigwa amesema Viongozi wa dini, Viongozi wa Ngo, Wanasheria na Wataalam wengine wasaidie kuchambua Ripoti ya CAG iliyojaa Wizi na Ufisadi badala ya kuwaachia Chadema Peke yao.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Msigwa amesema Viongozi wa dini, Viongozi wa Ngo, Wanasheria na Wataalam wengine wasaidie kuchambua Ripoti ya CAG iliyojaa Wizi na Ufisadi badala ya kuwaachia Chadema Peke yao.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!