johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Chadema imesema kimsingi Tanzania hakuna Madiwani kuna Mazombi tu
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hayo wakati akichambua Ripoti ya CAG hususani maeneo ya Tamisemi yaliyopigwa
Mh Jacob ni Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo na alikuwa anaongea na Waandishi mbalimbali Kutoka vyombo Vya Habari Vya Kimataifa
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hayo wakati akichambua Ripoti ya CAG hususani maeneo ya Tamisemi yaliyopigwa
Mh Jacob ni Meya mstaafu wa Manispaa ya Ubungo na alikuwa anaongea na Waandishi mbalimbali Kutoka vyombo Vya Habari Vya Kimataifa