Ripoti ya CAG: Wananchi Tunajipa Matumaini Hewa

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,489
40,997
Ukweli ni kwamba tunasubiria embe chini ya mkaratusi.

Tunaushangaa wizi na ubadhirifu wa pesa ya umma ulioibuliwa na CAG, kwani sisi tulikuwa na mategemeo gani? Hivi mwizi anaweza kuacha asili yake? Mwizi wa shati hawezi kuacha kuiba suruali ikikaa kwenye mapito yake. Wala mwizi wa maboga hawezi kuacha kuiba pesa kama ikimfikia. Halikadhalika mwizi wa kura, mwizi wa madaraka, hawezi kuacha kuiba pesa kama ikimkaribia.

Katiba inasema Waziri mkuu atateuliwa miongoni mwa wabunge wa kuchaguliwa. Majaliwa, alichaguliwa na wapiga kura wa wapi? Alipata kura ngapi? Kwa uhakika ni kwamba hakuchaguliwa na mpiga kura yeyote. Hana hata kura moja ya mpiga kura.

Badala yake alianda mipango ya kishetani ya kumteka na kumtesa mpinzani wake kwa kipigo cha kuelekea kumwua. Halafu akatangazwa eti amepita bila kupingwa.

Hatujui aliwalipa nini majambazi aliyoyakodi kumteka na kumpiga mpinzani wake.

Hatujui alimlipa nini OCD ili akatae kuchukua hatua zozote dhidi ya majambazi aliowatuma

Hatujui alimpa nini Msimamizi wa uchaguzi ili amtangaze kuwa amepita bila kupingwa.

Halafu mtu mwovu wa kiwango hicho utarajie atakuwa mwadilifu kwenye kwenye utumishi wake?

2) Hawa wanaoitwa Mawaziri, wote katika kuupata ubunge walifanya mambo aliyoyafanya huyu kiongozi wao au yanayokaribiana nayo.

Hii ni wakeup call kwa wananchi kuwa kiongozi aliyeupata uongozi kwa uovu, mbele ya safari hawezi kuondoka kwenye asili yake ya uovu.

Pia PM atolee ufafanuzi wa ghorofa lake la Dodoma linalojengwa kwa gharama ya mfanyabiashara. Ni urafiki tu au ni kwa gharama ya umma.

Wananchi tunatakiwa kufahamu kuwa tupo kwenye nyakati ngumu sana. Tunaongozwa na waovu lakini tunasubiria mema. Waziri mkuu mwovu wa uchaguzi, mawaziri waovu wa uchaguzi, wabunge waovu wa uchaguzi. Hawa watu ni waovu dhidi ya umma. Hawastahili hata kuitwa viongozi.

Rais Samia kama una dhamira njema, harakisha mchakato wa katiba mpya ili tuweke mazingira yatakayozuia siku za mbeleni watu waovu kupata madaraka kwa njia ya uovu wao.

Na iwekwe sheria kuwa yeyote ambaye amewahi kutumia uovu kwenye uchaguzi kwa nia ya kudhulumu mamlaka ya wananchi au haki ya mshindani wake, ni marufuku kuomba upngozi kwenye ngazi yoyote ile maisha yao yote.
 
CAG kuna maeneo kafanya ukaguzi ambao haukufanyika Kwa miaka mingi ..karibu miaka mitano .

Hii ripoti sio ya mwaka mmoja WA fedha ..kuna Taasisi ni ripoti ya miaka mitatu au zaidi.
 
Nashangaa hata wale wanaotarajia bunge litajadili hiyo ripoti ya CAG na kuwawajibishwa waliotajwa. Zaidi ya nusu ya wabunge wa bunge hili kibogoyo, wako huko ndani kwa uhuni wa uchaguzi wa 2020. Watu wachafu wanawezaje kujadili uchafu unaofanana na uliowaingiza bungeni?
 
Nashangaa hata wale wanaotarajia bunge litajadili hiyo ripoti ya CAG na kuwawajibishwa waliotajwa. Zaidi ya nusu ya wabunge wa bunge hili kibogoyo, wako huko ndani kwa uhuni wa uchaguzi wa 2020. Watu wachafu wanawezaje kujadili uchafu unaofanana na uliowaingiza bungeni?
Mtu akiwa mchafu anakosa ujasiri wa kumwajibisha mchafu mwingine. Dhamira itamsuta.
 
Ukweli ni kwamba tunasubiria embe chini ya mkaratusi.

Tunaushangaa wizi na ubadhirifu wa pesa ya umma ulioibuliwa na CAG, kwani sisi tulikuwa na mategemeo gani? Hivi mwizi anaweza kuacha asili yake? Mwizi wa shati hawezi kuacha kuiba suruali ikikaa kwenye mapito yake. Wala mwizi wa maboga hawezi kuacha kuiba pesa kama ikimfikia. Halikadhalika mwizi wa kura, mwizi wa madaraka, hawezi kuacha kuiba pesa kama ikimkaribia.

Katiba inasema Waziri mkuu atateuliwa miongoni mwa wabunge wa kuchaguliwa. Majaliwa, alichaguliwa na wapiga kura wa wapi? Alipata kura ngapi? Kwa uhakika ni kwamba hakuchaguliwa na mpiga kura yeyote. Hana hata kura moja ya mpiga kura.

Badala yake alianda mipango ya kishetani ya kumteka na kumtesa mpinzani wake kwa kipigo cha kuelekea kumwua. Halafu akatangazwa eti amepita bila kupingwa.

Hatujui aliwalipa nini majambazi aliyoyakodi kumteka na kumpiga mpinzani wake.

Hatujui alimlipa nini OCD ili akatae kuchukua hatua zozote dhidi ya majambazi aliowatuma

Hatujui alimpa nini Msimamizi wa uchaguzi ili amtangaze kuwa amepita bila kupingwa.

Halafu mtu mwovu wa kiwango hicho utarajie atakuwa mwadilifu kwenye kwenye utumishi wake?

2) Hawa wanaoitwa Mawaziri, wote katika kuupata ubunge walifanya mambo aliyoyafanya huyu kiongozi wao au yanayokaribiana nayo.

Hii ni wakeup call kwa wananchi kuwa kiongozi aliyeupata uongozi kwa uovu, mbele ya safari hawezi kuondoka kwenye asili yake ya uovu.

Pia PM atolee ufafanuzi wa ghorofa lake la Dodoma linalojengwa kwa gharama ya mfanyabiashara. Ni urafiki tu au ni kwa gharama ya umma.

Wananchi tunatakiwa kufahamu kuwa tupo kwenye nyakati ngumu sana. Tunaongozwa na waovu lakini tunasubiria mema. Waziri mkuu mwovu wa uchaguzi, mawaziri waovu wa uchaguzi, wabunge waovu wa uchaguzi. Hawa watu ni waovu dhidi ya umma. Hawastahili hata kuitwa viongozi.

Rais Samia kama una dhamira njema, harakisha mchakato wa katiba mpya ili tuweke mazingira yatakayozuia siku za mbeleni watu waovu kupata madaraka kwa njia ya uovu wao.

Na iwekwe sheria kuwa yeyote ambaye amewahi kutumia uovu kwenye uchaguzi kwa nia ya kudhulumu mamlaka ya wananchi au haki ya mshindani wake, ni marufuku kuomba upngozi kwenye ngazi yoyote ile maisha yao yote.
Huu ndiyo uzuri wa multiparty, mtu ana rukhsa kutukana hadi jioni. La muhimu ni kusubiri miaka mitano mitano - kama mbataka katiba mpya insyoruhusu matusi, wekeni kwenye Ilani 2025 mkishinda mtekeleze. Mnaomba hdani Dr Samia ili iweje?
 
Ukweli ni kwamba tunasubiria embe chini ya mkaratusi.

Tunaushangaa wizi na ubadhirifu wa pesa ya umma ulioibuliwa na CAG, kwani sisi tulikuwa na mategemeo gani? Hivi mwizi anaweza kuacha asili yake? Mwizi wa shati hawezi kuacha kuiba suruali ikikaa kwenye mapito yake. Wala mwizi wa maboga hawezi kuacha kuiba pesa kama ikimfikia. Halikadhalika mwizi wa kura, mwizi wa madaraka, hawezi kuacha kuiba pesa kama ikimkaribia.

Katiba inasema Waziri mkuu atateuliwa miongoni mwa wabunge wa kuchaguliwa. Majaliwa, alichaguliwa na wapiga kura wa wapi? Alipata kura ngapi? Kwa uhakika ni kwamba hakuchaguliwa na mpiga kura yeyote. Hana hata kura moja ya mpiga kura.

Badala yake alianda mipango ya kishetani ya kumteka na kumtesa mpinzani wake kwa kipigo cha kuelekea kumwua. Halafu akatangazwa eti amepita bila kupingwa.

Hatujui aliwalipa nini majambazi aliyoyakodi kumteka na kumpiga mpinzani wake.

Hatujui alimlipa nini OCD ili akatae kuchukua hatua zozote dhidi ya majambazi aliowatuma

Hatujui alimpa nini Msimamizi wa uchaguzi ili amtangaze kuwa amepita bila kupingwa.

Halafu mtu mwovu wa kiwango hicho utarajie atakuwa mwadilifu kwenye kwenye utumishi wake?

2) Hawa wanaoitwa Mawaziri, wote katika kuupata ubunge walifanya mambo aliyoyafanya huyu kiongozi wao au yanayokaribiana nayo.

Hii ni wakeup call kwa wananchi kuwa kiongozi aliyeupata uongozi kwa uovu, mbele ya safari hawezi kuondoka kwenye asili yake ya uovu.

Pia PM atolee ufafanuzi wa ghorofa lake la Dodoma linalojengwa kwa gharama ya mfanyabiashara. Ni urafiki tu au ni kwa gharama ya umma.

Wananchi tunatakiwa kufahamu kuwa tupo kwenye nyakati ngumu sana. Tunaongozwa na waovu lakini tunasubiria mema. Waziri mkuu mwovu wa uchaguzi, mawaziri waovu wa uchaguzi, wabunge waovu wa uchaguzi. Hawa watu ni waovu dhidi ya umma. Hawastahili hata kuitwa viongozi.

Rais Samia kama una dhamira njema, harakisha mchakato wa katiba mpya ili tuweke mazingira yatakayozuia siku za mbeleni watu waovu kupata madaraka kwa njia ya uovu wao.

Na iwekwe sheria kuwa yeyote ambaye amewahi kutumia uovu kwenye uchaguzi kwa nia ya kudhulumu mamlaka ya wananchi au haki ya mshindani wake, ni marufuku kuomba upngozi kwenye ngazi yoyote ile maisha yao yote.
Mungu akubariki mkuu. Hakuna mti mbaya unaoweza kuzaa matunda mazuri! Never!
 
Huu ndiyo uzuri wa multiparty, mtu ana rukhsa kutukana hadi jioni. La muhimu ni kusubiri miaka mitano mitano - kama mbataka katiba mpya insyoruhusu matusi, wekeni kwenye Ilani 2025 mkishinda mtekeleze. Mnaomba hdani Dr Samia ili iweje?
Tusi liko wapi? Ukiambiwa namna ulivyo au ulovyofanya, siyo tusi bali ndivyo ulivyo.

Kwani ni uwongo kuwa tuna Bumge bandia kwa sababu wabunge waliomo humo hawakuchaguliwa na wananchi, na kwamba kutokana na hao wabunge bandia ndiyo alipatikana Waziri mkuu na mawaziri wengine?

Au mtu kuambiwa ukweli namna alivyotenda au alivyo, ni tusi?

Kama kuna watu waliowatukana sana Watanzania na kuwaona si chochote ni hao walioendesha uchaguzi bandia mwaka 2020, kisha kuwapachika ubunge watu waliowataka.

Wabunge halali ni hao tu walioteuliwa na Rais kwa sababu katiba inaruhusu kufanya hivyo.
 
Hii report ya CAG itapotea kama report nyingine zilivyopotea kwa sababu hizi;
1. Wizi huratibiwa na watu ndani ya ccm
2. Serikali inasimamiwa na ccm
3. Udokozi, wizi, ufisadi na unafiki ni 'sera ya ccm'.
 
Huu ndiyo uzuri wa multiparty, mtu ana rukhsa kutukana hadi jioni. La muhimu ni kusubiri miaka mitano mitano - kama mbataka katiba mpya insyoruhusu matusi, wekeni kwenye Ilani 2025 mkishinda mtekeleze. Mnaomba hdani Dr Samia ili iweje?
Kutukana ndio nini? nani katukana?
Kusema kweli ndio kutukana?
Aliyekunyima akili alikuweza
 
Back
Top Bottom