Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,381
- 37,141
Ni dertimined political leader of modern times politics. Hayumbi, hayumbishwi wala hayumbishiki.
Uzalendo, ushawishi na dhamira yake kwa Taifa havina chembe ya shaka miongoni mwa waTanzania.
Nidhamu, utii, hekima, busara, na mienendo yake kisiasa, vina mpa uhakika wa hatua za kuyafikia malengo yake kwa 100%, huku nguvu kubwa zaidi akiipata kutoka ndani na nje ya chama chake tofauti na wengine.
God bless the statesman joney 2030-2040.
Una maoni gani?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Uzalendo, ushawishi na dhamira yake kwa Taifa havina chembe ya shaka miongoni mwa waTanzania.
God bless the statesman joney 2030-2040.
Una maoni gani?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
