Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,165
- 29,866
Huwezi kuacha kujiuliza hili swali.
Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.
Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi isiyopingika ya watu wa visiwani.
Inaelekea ni vijana wa vyombo vya ulinzi na usalama , maana walikuwa na silaha.
Polisi sasa hivi inajimunya munya kueleza tukio ambalo halina kichwa wala miguu
Amiri jeshi mkuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais wetu Samia Suluhu.
Lakini kwa matukio kukithiri na hakuna maelezo yoyote toka Waziri wa Mambo ya Ndani wala kiongozi yeyote Polisi, inamaana wako katika ganzi fulani.
Twajiuliza, Je Mama Samia anahusika na huu utekaji?
Maoni yenu wakuu!
Kwa matukio ya hivi karibuni, hasa hili la jaribio la kutekwa kwa kada wa CHADEMA aitwaye Jumbe, wengi tumejiuliza.
Watekaji inasemekana walikuwa na lafudhi isiyopingika ya watu wa visiwani.
Inaelekea ni vijana wa vyombo vya ulinzi na usalama , maana walikuwa na silaha.
Polisi sasa hivi inajimunya munya kueleza tukio ambalo halina kichwa wala miguu
Amiri jeshi mkuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama ni Rais wetu Samia Suluhu.
Lakini kwa matukio kukithiri na hakuna maelezo yoyote toka Waziri wa Mambo ya Ndani wala kiongozi yeyote Polisi, inamaana wako katika ganzi fulani.
Twajiuliza, Je Mama Samia anahusika na huu utekaji?
Maoni yenu wakuu!