Tuanzie kwa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere hadi uchaguzi wa 2025.
Ni uchaguzi upi ambao ulikuwa huru na haki?
Ikumbukwe enzi za Mwalimu, uchaguzi wa Rais ilikuwa ni Nyerere against kivuli...
Wazungu wanao msemo wao maarufu usemao "nionyeshe rafiki zako ili nikwambie tabia yako", wakimaanisha kuwa kama ukiwa na marafiki shoga na wewe upo uwezekano mkubwa ni shoga vilevile au huuchukii...
1. Umri (uzee), kwa umri wake anatakiwa kuwa nyumbani analea wajukuu kama JK
2. Huduma za jamii kuzorota
3. Pesa za umma kupigwa ovyo
4. Serikali kukosa fedha.. na utegemezi kwa wafadhili na...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
UTANGULIZI
1. Uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba Unatawaliwa na...
Pengine wanajua ama hawajui lakini ndivyo ilivyo. Chukua hesabu za haraka kama shule za sekondari zipo zaidi ya elfu 5 na Kila shule ya sekondari Kuna walimu walioajiriwa kama walimu wakafundishe...
Salaam Wakuu,
Kwenye hii picha kuna nguo na viatu vya aliyekuwa rais wa Tanzania Hayati John Magufuli.
Tutumie picha hii kutafakari Watanzania tulipo, Tulipotoka na tunapoenda?
Chemsha bongo...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuanza ziara kabambe ya Kikazi kwenye Kanda ya Kusini.
Katibu wa Kanda hiyo Governor Kaduma amewaambia waandishi wa habari Mjini Masasi...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, (Mb) ameipongeza Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Kuratibu vyema mashindano mbalimbali yanayofanyika ndani na nje ya...
Juzi kumefanyika Mabadiliko ya Watendaji wa Tume ya Uchaguzi kwa Kumwondoa Bwana Mahera na Kumweka Bwana Kailima kuwa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi.
Mabadiliko hayo hayana tija yoyote kwa tume...
Mabingwa wa Afrika wa Mpira wa Miguu kwa Shule za Sekondari ambao ni Shule ya Fountain Gate wakiwa Bungeni jijini Dodoma kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim...
Tangu enzi za wizi wa Tangold na Meremeta, wizi wa fedha za Tegeta - Escrow na hata sasa wizi unaonekana kwenye Ripoti ya CAG, kila hatu ya wizi huo wahusika wakuu huwa ni wasomi wabobevu wa fani...
Ndugu zangu watanzania,
Naomba niende moja kwa moja kueleza kwa kina Mambo yatakayombeba na kumpa ushindi wa kishindo Rais Samia Uchaguzi Ujao.
Moja, Rais Samia anakubalika na watanzania wa Rika...
Huyu mtu simply ni Mhalifu, japo anajificha kwenye kijisauti chake kile tunamwona kama Mcha Mungu vile.
Kwa miezi michache aliyokaa kama CG - TRA, Philip Mpango aliwatisha Wafanyabiashara na...
Kama Philip Mpango bado yuko ofisini hadi sasa hivi basi kinacho endelea ni kiini macho tu hakuna kitu hapa.Mama ana hadaaa Umma na inabidi yeye ndio tudili naye, Mama anawalindaafisadi na...
Hawa wote walosomwa na CAG ni asilimia 90 mpaka 95 ni wateule wa Magufuli.
Kila ripoti ikitoka hamna kitu bunge linafanya, kwasababu bunge lote ni la chama kimoja ambacho lilitokana na kuiba...
Mungu ni wa ajabu sana na utukufu wake ni wa kutisha sana, kwani hukumu zake ni za haki
Ninachokifahamu ni hivi! Mtu akiuwa mtu, maisha yake yote huwa hawezi kupata Amani abadani kwa sababu...
Mpango wa Serikali ni kuwarudisha nchini na wataishi kwenye vituo mahususi vilivyotengwa (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM na Kihansi kuanzia Aprili mwaka huu," alisema Chande na kuongeza kuwa...
Jamani wana jamii wenzangu samahanini kwa kutokuwepo mtandaone kwa muda kidogo.
Hivi ina maana Muungwana haoni kelele zote hizi wanazopigiwa hawa mafisadi.Yule aliyekuwa mkurugenzi BOT na...
Je, Kikatiba, Makamu wa Rais ana uwezo wa kukataza au hata kuamrisha chochote? I mean, ana uwezo wowote wa hire and fire yoyote yule Tanzania?
Nauliza kwa maana isije kuwa tunalishwa matango...