Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,320
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuanza ziara kabambe ya Kikazi kwenye Kanda ya Kusini.
Katibu wa Kanda hiyo Governor Kaduma amewaambia waandishi wa habari Mjini Masasi kwamba kwenye Mikutano hiyo ya hadhara , Kikosi kazi cha Chadema kitaongozwa na yule yule Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe.
Pamoja na kufanya mikutano ya hadhara Chama hicho kitakagua uhai wa chama , kufungua matawi mapya na kupokea Wanachama wapya.
Kivutio kikubwa kwenye mikutano hiyo ni Uwepo wa Tundu Lissu , ambaye atapewa nafasi ya kusalimia Wananchi (Subirini Spana za CAG).
Ratiba Kamili ya Mikutano hiyo ambayo ni Nonstop hii hapa.
12/4 Kilwa kaskazini na Kilwa kusini
13/4 Mchinga na Lindi Mjini
14/4 Mtama na Nachingwea
15/4 Liwale
16/4 Mtwara vijijini na Mtwara mjini
17/4 Newala Vijijini na Newala Mjini
18/4 Masasi
19/4 Tunduru kusini na Tunduru Kaskazini
20/4 Namtumbo na Songea Mjini
Mungu Ibariki Chadema
UPDATES
========
View attachment 2585930
Katibu wa Kanda hiyo Governor Kaduma amewaambia waandishi wa habari Mjini Masasi kwamba kwenye Mikutano hiyo ya hadhara , Kikosi kazi cha Chadema kitaongozwa na yule yule Mwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe.
Pamoja na kufanya mikutano ya hadhara Chama hicho kitakagua uhai wa chama , kufungua matawi mapya na kupokea Wanachama wapya.
Kivutio kikubwa kwenye mikutano hiyo ni Uwepo wa Tundu Lissu , ambaye atapewa nafasi ya kusalimia Wananchi (Subirini Spana za CAG).
Ratiba Kamili ya Mikutano hiyo ambayo ni Nonstop hii hapa.
12/4 Kilwa kaskazini na Kilwa kusini
13/4 Mchinga na Lindi Mjini
14/4 Mtama na Nachingwea
15/4 Liwale
16/4 Mtwara vijijini na Mtwara mjini
17/4 Newala Vijijini na Newala Mjini
18/4 Masasi
19/4 Tunduru kusini na Tunduru Kaskazini
20/4 Namtumbo na Songea Mjini
Mungu Ibariki Chadema
UPDATES
========
View attachment 2585930