Wakati umma ukiendelea kusubiri ripoti ya Kamati ya Mwakyembe baada ya muda iliopewa ile kamati hiyo kuchunguza nini kinachosababisha wanafunzi wa Shule ya Sheria Tanzania kufeli kwa kiwango cha...
Mbunge, Luhaga Mpina amesema bungeni kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewasilisha taarifa ya uongo bungeni na kulisingizia Bunge kuwa lilipitisha Azimio la Bunge la kusamehe...
Jambo Jambo?
Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linalotawaliwa na wabunge wa CCM, huwa linanishangaza kiasi kwenye uchagiaji wa upitishajishwaji wa bajeti za wizara kadha wa kadha za...
Kumeanza kuibuka wimbi la utolewaji wa ripoti za fedha za miradi ambazo zimekuwa na mashaka makubwa sana na hasa zinaumiza walipa kodi, kuna harufu ya rushwa na ibadhirifu mkubwa tu tena kwa...
Hivi kama siasa ingekua ni Kwa ajili ya watu hivi Kuna haja ya kuwa na viongozi rundo sehemu Moja mfano. Wilayani Kuna mkurugenzi, mkuu wa wilaya, katibu tawala, Mwenyekiti wa halmashauri, wakuu...
JamboJambo?
Kumekuwa na tabia inayokua au iliyoshamiri kwa muda sasa juu ya kusifia sifia inayofanywa na wenzetu wa habari.
Huwa nakereka kuangalia baadhi ya jarida, ripoti au habari mbalimbali...
Ndugu zangu watanzania,
Panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu, Rais wetu Samia atakapokuwa anastaafu na kumaliza muda wake wa kulitumikia Taifa letu mwaka 2030, kwa hakika atakumbukwa sana na...
Viongozi na Mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania TANROADS Wamepatiwa mafunzo ili kuwaongezea uwezo, kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kutimiza malengo ya Serikali ya awamu ya sita...
Nani asiyejua kilio cha watu kutoka nchi ya Zanzibar kuhusu kutozwa ushuru wakati wanaingiza bidhaa nchi ya Tanganyika?
Vilio vyao vimekuwa vingi mara Sukari yetu imezuiwa, mara mafuta...
Kiukweli mh Mpina kila akisimama bungeni hanaga mambo ya kupoteza muda kwa maneno ya utani na masikhara kama akina Kibajaj, Yeye ni kumwaga pweinti tu
Mungu wa mbinguni mbariki sana huyu mbunge...
Kwa mujibu wa takwimu mpya za Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), pato la Taifa la Tanzania limeongezeka hadi kufikia Dola za Marekani Bilioni $85.42 (Shilingi 200 trilioni za Tanzania) kwa mwaka...
Nenda Afrika ya kusini waafrika wanataabika na kuteseka maana hawapo huru kiuchumi bali wapo huru kisiasa tu.
Wana uhuru wa kuzurula na kuropoka tu.
Uhuru wa kiuchumi hawana. Wengi ni masikini...
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema katika miaka miwili ya uongozi wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan amewafanyia mengi wafanyakazi ikiwa ni pamoja na kuongeza mishahara...
Leo nimesikia kwa masikio yangu mwenyewe kiongozi mmoja wa CCM akimkoromea mtendaji wa Kata kwanini hakusanyi michango ya mwenge. Hili jambo limemisikitisha sana kwa kweli. Unajua tangu zamani...
Watu wengi wanataka kuwaaminisha watu kuwa tukiwa na katiba mpya basi tumemaliza changamoto zetu zote si kweli, Mfano Marekani wanaonekana kuwa na katiba nzuri, katiba yao ni ya mwaka 1776...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia Utiaji Saini wa Mikataba ya Makubaliano (Framework Agreements) Kati ya Serikali na Kampuni tatu za Madini kutoka Perth...
Sijui kama wizara Ina maono gani kuhusu usajili wa taasisi za dini, hasa makanisa. Kwa upande wangu naona ni muda muafaka Sasa kupitia upya vigezo vya usajili wa makanisa kabla hatujachelewa...
Hii ni Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro ambaye amedai gharama za mchakato huo zimewekwa ndani ya bajeti ya Wizara hiyo itakayosomwa bungeni hivi karibuni.
Amesema kwamba...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein mwinyi amemteua Ramadhan Bukini kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).
Taarifa iliyotolewa leo Aprili 25...
Katika makosa ambayo Chama Cha Mapinduzi chini ya aliyekuwa Mwenyekiti taifa mwaka 2020 iliyafanya ni kumpendekeza Jerry Slaa kuwa mbunge wa Ukonga.
CCM ilijipa Certificate ya kukataliwa moja kwa...