Ni wazi kwamba CCM imeanza mikakati ya kutafuta fedha za kampeni

Bwana Bima

JF-Expert Member
Jul 29, 2014
418
885
Kumeanza kuibuka wimbi la utolewaji wa ripoti za fedha za miradi ambazo zimekuwa na mashaka makubwa sana na hasa zinaumiza walipa kodi, kuna harufu ya rushwa na ibadhirifu mkubwa tu tena kwa miradi ambayo haina msingi sana.

Mfano bajeti ya ukarabati tu wa ofisi ya makamu wa rais ambayo imeonyesha zaidi ya 1.7 Bilion imektumika. Ukiachilia hilo mradi wa ujenzi wa mnara wa mashujaa ambao inadaiwa awamu ya kwanza tu bajeti ni bilioni 1 maana yake hapo bado kuna fedha zingine zinatafutwa.

Hapo hapo ripoti imetoka leo serikali ikipatiwa mamilion ya fedha za mkopo kutoka IMF. Hii ni hatari sana kwa taifa. Ni wazi kwamba pesa zote zinatafutwa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi wa 2025. Hii haina utofauti na uchaguzi uliopita zaidi ya bilion 10 zilitolewa kabla kwa ajili ya ukarabati wa viwanja vya mpira tena vya CCM.

Nchi shida sana hii watu wanahangaika na njaa mtaani watu wanatafuna tu pesa!
 
Kumeanza kuibuka wimbi la utolewaji wa ripoti za fedha za miradi ambazo zimekuwa na mashaka makubwa sana na hasa zinaumiza walipa kodi, kuna harufu ya rushwa na ibadhirifu mkubwa tu tena kwa miradi ambayo haina msingi sana.

Mfano bajeti ya ukarabati tu wa ofisi ya makamu wa rais ambayo imeonyesha zaidi ya 1.7 Bilion imektumika. Ukiachilia hilo mradi wa ujenzi wa mnara wa mashujaa ambao inadaiwa awamu ya kwanza tu bajeti ni bilioni 1 maana yake hapo bado kuna fedha zingine zinatafutwa.

Hapo hapo ripoti imetoka leo serikali ikipatiwa mamilion ya fedha za mkopo kutoka IMF. Hii ni hatari sana kwa taifa. Ni wazi kwamba pesa zote zinatafutwa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi wa 2025. Hii haina utofauti na uchaguzi uliopita zaidi ya bilion 10 zilitolewa kabla kwa ajili ya ukarabati wa viwanja vya mpira tena vya CCM.

Nchi shida sana hii watu wanahangaika na njaa mtaani watu wanatafuna tu pesa!
Uchaguzi wa 2025 bila rushwa hupiti na sisi wapiga kura tumeisha wasoma sio laki moja ni hela ya miaka mitano tunamalizana kabisaaaa maana tunajua ukipita utapata zingine kwa kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwazuia msichote
 
Kumeanza kuibuka wimbi la utolewaji wa ripoti za fedha za miradi ambazo zimekuwa na mashaka makubwa sana na hasa zinaumiza walipa kodi, kuna harufu ya rushwa na ibadhirifu mkubwa tu tena kwa miradi ambayo haina msingi sana.

Mfano bajeti ya ukarabati tu wa ofisi ya makamu wa rais ambayo imeonyesha zaidi ya 1.7 Bilion imektumika. Ukiachilia hilo mradi wa ujenzi wa mnara wa mashujaa ambao inadaiwa awamu ya kwanza tu bajeti ni bilioni 1 maana yake hapo bado kuna fedha zingine zinatafutwa.

Hapo hapo ripoti imetoka leo serikali ikipatiwa mamilion ya fedha za mkopo kutoka IMF. Hii ni hatari sana kwa taifa. Ni wazi kwamba pesa zote zinatafutwa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi wa 2025. Hii haina utofauti na uchaguzi uliopita zaidi ya bilion 10 zilitolewa kabla kwa ajili ya ukarabati wa viwanja vya mpira tena vya CCM.

Nchi shida sana hii watu wanahangaika na njaa mtaani watu wanatafuna tu pesa!
Waache wale nchi yao.
 
Kumeanza kuibuka wimbi la utolewaji wa ripoti za fedha za miradi ambazo zimekuwa na mashaka makubwa sana na hasa zinaumiza walipa kodi, kuna harufu ya rushwa na ibadhirifu mkubwa tu tena kwa miradi ambayo haina msingi sana.

Mfano bajeti ya ukarabati tu wa ofisi ya makamu wa rais ambayo imeonyesha zaidi ya 1.7 Bilion imektumika. Ukiachilia hilo mradi wa ujenzi wa mnara wa mashujaa ambao inadaiwa awamu ya kwanza tu bajeti ni bilioni 1 maana yake hapo bado kuna fedha zingine zinatafutwa.

Hapo hapo ripoti imetoka leo serikali ikipatiwa mamilion ya fedha za mkopo kutoka IMF. Hii ni hatari sana kwa taifa. Ni wazi kwamba pesa zote zinatafutwa kwa ajili ya kampeni za uchaguzi wa 2025. Hii haina utofauti na uchaguzi uliopita zaidi ya bilion 10 zilitolewa kabla kwa ajili ya ukarabati wa viwanja vya mpira tena vya CCM.

Nchi shida sana hii watu wanahangaika na njaa mtaani watu wanatafuna tu pesa!
CCM HAINA SABABU YA KUTAFUTA FEDHA ZA UCHAGUZI BALI INACHOTA HAZINA MSIDANGANYIKE ETI CCM INATAFUTA PESA BALI INAAGIZA FEDHA INAZOTAKA
MAGARI YA SERIKALI YANAPIGWA RANGI ZA KIJANI TRA INATOA NAMBA PLATE MPYA shughuli inaanza
 
Back
Top Bottom