Lugoda lwa chuma
Senior Member
- Mar 21, 2023
- 179
- 338
Nimeangalia matangazo ya bunge kwa siku tatu mfululizo waheshimiwa wengi ambao ni wageni mjengoni, wamekuwa na katabia kama ka mashabiki wa mpira wa bongo wakiwa uwanja wa taifa wanavyofanya pindi camera ikiwazoom kwenye tv la pale uwanjani nadhani mwafahamu wanavyo fanyaga.
Kituko hiki nimekishangaa mjengoni! Yani Mhe. akijiona kwenye lile TV anawastua hadi alionao jirani na wote unawona wanajichekesha kwenye camera! Duh ushamba gani huu!
Mbaya zaid kuna hadi waheshmiwa wazoefu nao wamesha haribiwa na ma new comer, kuna mh mmoja alikuaga waziri enzi za shujaa anapenda kukaa backbench pale mjengoni, nae jana nimeshangaa baada ya kujiona akamshtua hadi mmama mmoja hivi asogee akae pembeni yake mana kiti cha kati kilikua wazi ilimradi wote wakenuze meno kwenye camera na miwani yake.
Kweli kila zama na vituko vipya.
Kituko hiki nimekishangaa mjengoni! Yani Mhe. akijiona kwenye lile TV anawastua hadi alionao jirani na wote unawona wanajichekesha kwenye camera! Duh ushamba gani huu!
Mbaya zaid kuna hadi waheshmiwa wazoefu nao wamesha haribiwa na ma new comer, kuna mh mmoja alikuaga waziri enzi za shujaa anapenda kukaa backbench pale mjengoni, nae jana nimeshangaa baada ya kujiona akamshtua hadi mmama mmoja hivi asogee akae pembeni yake mana kiti cha kati kilikua wazi ilimradi wote wakenuze meno kwenye camera na miwani yake.
Kweli kila zama na vituko vipya.