Waziri Mhagama awajulia hali Mama Janeth Magufuli na Mama Asina Kawawa

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,557
12,640
1-76-scaled.jpg


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, mara baada ya kuwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mama Janeth Magufuli, alipoenda kumjulia hali nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

3-45-scaled.jpg


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akiwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mama Asina Kawawa, mjane wa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Rashid Mfaume Kawawa, alipoenda kumjulia hali nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom