johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,026
Mtu anayetenda Wizi au Ubadhirifu hiyo ni Jinai na Wanaohusika nao ni DCI, DPP na Takukuru
Bungeni yanafanyika maamuzi ya kisiasa na kisera, swala la nani ashtakiwe kwa mujibu wa sheria ni la DPP
Panahitajika Elimu ya kuitisha itolewe Watanzania walelewe majukumu ya kikatiba ya Bunge, DPP, Takukuru na CAG
Wengi wanaamini Bunge linaweza kufanya majukumu yasiyo yake kisheria Kitu ambacho hakiwezekani
Kama TRC ilivuruga tenda ya Mabehewa maana yake Takukuru hailisubiri Bunge ili ifundishwe cha kufanya inatakiwa iwe imeshafanya kabla ya November
Kamati maalumu za Bunge ndio hujaga na mambo Mapya siyo hawa akina PAC na LAAC
Eid mubarak!
Bungeni yanafanyika maamuzi ya kisiasa na kisera, swala la nani ashtakiwe kwa mujibu wa sheria ni la DPP
Panahitajika Elimu ya kuitisha itolewe Watanzania walelewe majukumu ya kikatiba ya Bunge, DPP, Takukuru na CAG
Wengi wanaamini Bunge linaweza kufanya majukumu yasiyo yake kisheria Kitu ambacho hakiwezekani
Kama TRC ilivuruga tenda ya Mabehewa maana yake Takukuru hailisubiri Bunge ili ifundishwe cha kufanya inatakiwa iwe imeshafanya kabla ya November
Kamati maalumu za Bunge ndio hujaga na mambo Mapya siyo hawa akina PAC na LAAC
Eid mubarak!