Rais Samia awainua Mbowe na Lipumba kwenye baraza la Eid, amsifia Mbowe kupendeza kwa kanzu

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Akizungumza katika Baraza la Eid El Fitri katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Rais wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameendelea kuonesha na kuyaishi maono yake ya kuwa na Tanzania moja isiyogawanywa kwa misingi ya kisiasa

Kabla ya kuanza kuzungumza Rais Samia aliwapa nafasi wawakilishi wa vyama vya siasa waliopo kuzungumza ambapo kwanza alimakaribisha Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na kisha Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba

Baada ya kumaliza kuzungumza Rais Samia akaweka utani kidogo kuwa Mbowe anapendeza sana na vazi la Kanzu, hakika hii ndio Tanzania tunayoitaka ya kuishi, kula, kucheka na hata kutaniana pamoja bila kujali utofauti wa vyama vya siasa

Eid Mubaraq
 

Attachments

  • Freeman.mp4
    17.5 MB
Akizungumza katika Baraza la Eid El Fitri katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Rais wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameendelea kuonesha na kuyaishi maono yake ya kuwa na Tanzania moja isiyogawanywa kwa misingi ya kisiasa

Kabla ya kuanza kuzungumza Rais Samia aliwapa nafasi wawakilishi wa vyama vya siasa waliopo kuzungumza ambapo kwanza alimakaribisha Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na kisha Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba

Baada ya kumaliza kuzungumza Rais Samia akaweka utani kidogo kuwa Mbowe anapendeza sana na vazi la Kanzu, hakika hii ndio Tanzania tunayoitaka ya kuishi, kula, kucheka na hata kutaniana pamoja bila kujali utofauti wa vyama vya siasa

Eid Mubaraq
Haya tumesikia. Ndo Kazi wanazoweza
 
Tuwe kwenye vyama tofauti, dini tofauti, makabila tofauti, maeneo tofauti, UKWELI HAUBADILIKI, sisi sote tu wanadamu tulio sawa. Na kama Mungu wetu angetaka watu wa imani fulani wasiwepo, watu wa kabila fulani wasiwepo, watu wa chama fulani wasiwepo, asingeshindwa kuhakikisha hawapo.

Maadam tupo, basi Mungu ametutaka sisi sote tuwepo. Kubaguana, kuchukiana na kuendeana uovu ni ujinga wetu ulio kinyume na mpango wa Mungu.

Heri yao wanaoishi kwa kadiri ya mpango wa Mungu ambao, ni kuwa wamoja kama alivyo Mwana, Roho na Mungu Baba; kuwa na upendo kama Mungu wetu alivyoupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili kusiwepo na atakayepotea.
 
Akizungumza katika Baraza la Eid El Fitri katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Rais wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameendelea kuonesha na kuyaishi maono yake ya kuwa na Tanzania moja isiyogawanywa kwa misingi ya kisiasa

Kabla ya kuanza kuzungumza Rais Samia aliwapa nafasi wawakilishi wa vyama vya siasa waliopo kuzungumza ambapo kwanza alimakaribisha Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na kisha Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba

Baada ya kumaliza kuzungumza Rais Samia akaweka utani kidogo kuwa Mbowe anapendeza sana na vazi la Kanzu, hakika hii ndio Tanzania tunayoitaka ya kuishi, kula, kucheka na hata kutaniana pamoja bila kujali utofauti wa vyama vya siasa

Eid Mubaraq
View attachment 2596431
meinua wezi wa pesa za umma

USSR
 
Binafsi sifurahishwi na siasa za hivi..
Yaani tumekoea mpinzani mkorofi wa kuwabana ccm kuhusu wizi uliosemwa na CAG..yaani Ni masikitiko tunakoelekea
Mbowe amejitoa sana sadaka kwa Taifa hili.

Alipoharibifu shamba lake kama adhabu kwa kuwatetea watanzania, wewe ulifanya nini?

Mbowe alipowekwa mahabusu mara kadhaa kwa sababu ya kutetea haki za watanzania, wewe ulifanya nini?

Mbowe alipobambikiwa kodi kwenye biashara zake, na kisha kufungiwa bank accounts zake kwa vile tu anawapigania watanzania, wewe ulifanya nini?

Kama unadhani kazi aliyoifanya Mbowe ni nyepesi, jaribu, halafu upitie japo 10% ya yale aliyopitia, ndiyo utajua uzito wa kazi aliyoifanya.

Wapo watu waliowahi kujitoa sana nchi hii, lakini bahati mbaya walijitoa kwaajili ya watu wasiojielewa, na hivyo kufanya jitihada zao zote kuonekana si kitu.
 
22 /04 /2023

Msikiti Mfalme Mohammed VI
Dar es Salaam, Tanzania

LEO ULINZI TOFAUTI, HATUKUONA WAZI MABUNDUKI YA KIVITA YA KIKOSI CHA WALINZI WA USALAMA WALIOVAA KIJESHI


Rais Samia Suluhu Hassan leo alihudhuria swala ya Idd El Fitr kitaifa ilifanyika katika Msikiti wa Mfalme Mohammed VI uliopo mjini Dar es Salaam ule ulinzi wa mabunduki ya kivita kuwatisha wananchi haukuwepo bali ulinzi wa kujificha ulikuwa mkali ukichukua nafasi yake .
 
Momose mpya katika Enzi mpya... kila warsha yumo ana kula/lamba asali...
 
Turn out to be the really love between the two...
Mbowe na Mama wanaelewana sana.
Hata mimi nikikupa wewe fungu la hela tutaelewana mno hadi jamii itatushangaa.

Ila amini nakuambia siku huyo mama akikata mrija basi wanageuka maadui ndani ya dk tu.

Ni urafiki wa kitu, ni urafiki wa mashaka.

Nipe tutaelewana, ukininyima tunatifuana.
 
Back
Top Bottom